Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Kifo cha Sauli na wanawe (1-14)

1 Mambo ya Nyakati 10:1

Marejeo

  • +1Sa 31:1-5; 2Sa 1:21, 25

1 Mambo ya Nyakati 10:2

Marejeo

  • +1Nya 8:33

1 Mambo ya Nyakati 10:3

Marejeo

  • +1Sa 26:9, 10

1 Mambo ya Nyakati 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wasije kunitesa.”

Marejeo

  • +Amu 16:21, 23
  • +1Nya 10:13

1 Mambo ya Nyakati 10:6

Marejeo

  • +1Sa 31:6, 7

1 Mambo ya Nyakati 10:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika nchi tambarare ya chini.”

1 Mambo ya Nyakati 10:8

Marejeo

  • +1Sa 28:4; 31:8-10

1 Mambo ya Nyakati 10:9

Marejeo

  • +Amu 16:23, 24

1 Mambo ya Nyakati 10:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hekalu la.”

Marejeo

  • +1Sa 5:2

1 Mambo ya Nyakati 10:11

Marejeo

  • +1Sa 11:1
  • +1Sa 31:11-13

1 Mambo ya Nyakati 10:12

Marejeo

  • +2Sa 2:5; 21:12

1 Mambo ya Nyakati 10:13

Marejeo

  • +1Sa 13:13; 15:22, 23
  • +Law 20:6; 1Sa 28:7

1 Mambo ya Nyakati 10:14

Marejeo

  • +Ru 4:17; 1Sa 13:14; 15:27, 28; 2Sa 5:3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 10:11Sa 31:1-5; 2Sa 1:21, 25
1 Nya. 10:21Nya 8:33
1 Nya. 10:31Sa 26:9, 10
1 Nya. 10:4Amu 16:21, 23
1 Nya. 10:41Nya 10:13
1 Nya. 10:61Sa 31:6, 7
1 Nya. 10:81Sa 28:4; 31:8-10
1 Nya. 10:9Amu 16:23, 24
1 Nya. 10:101Sa 5:2
1 Nya. 10:111Sa 11:1
1 Nya. 10:111Sa 31:11-13
1 Nya. 10:122Sa 2:5; 21:12
1 Nya. 10:131Sa 13:13; 15:22, 23
1 Nya. 10:13Law 20:6; 1Sa 28:7
1 Nya. 10:14Ru 4:17; 1Sa 13:14; 15:27, 28; 2Sa 5:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 10:1-14

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

10 Sasa Wafilisti walikuwa wakipigana na Waisraeli. Na wanaume wa Israeli wakawakimbia Wafilisti, na wengi wakauawa kwenye Mlima Gilboa.+ 2 Wafilisti wakamkaribia sana Sauli na wanawe, nao wakamuua Yonathani, Abinadabu, na Malki-shua,+ wana wa Sauli. 3 Vita vikawa vikali sana dhidi ya Sauli, na wapiga mishale wakampata na kumjeruhi.+ 4 Ndipo Sauli akamwambia mtu aliyembebea silaha: “Chomoa upanga wako unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa wasije kunitendea kikatili.”*+ Lakini mtu aliyembebea silaha hakutaka kufanya hivyo, kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akachukua upanga na kuuangukia.+ 5 Mtu aliyembebea silaha alipoona kwamba Sauli amekufa, yeye pia akauangukia upanga wake mwenyewe na kufa. 6 Basi Sauli na wanawe watatu wakafa, na watu wote wa nyumba yake wakafa pamoja.+ 7 Watu wote wa Israeli waliokuwa bondeni* walipoona kwamba kila mtu amekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaanza kuyaacha majiji yao na kukimbia; kisha Wafilisti wakaja na kukaa humo.

8 Siku iliyofuata, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa vitu walivyokuwa navyo, walimkuta Sauli na wanawe wakiwa wameanguka kwenye Mlima Gilboa.+ 9 Basi wakamvua mavazi yake, wakamkata kichwa na kuchukua silaha zake, nao wakatuma ujumbe kotekote katika nchi ya Wafilisti ili habari hizo zienezwe kwa sanamu+ zao na watu. 10 Kisha wakaweka silaha zake katika nyumba ya* mungu wao na kulitundika fuvu lake kwenye nyumba ya Dagoni.+

11 Wakaaji wote wa Yabeshi+ kule Gileadi waliposikia mambo yote ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli,+ 12 mashujaa wote wakaondoka na kubeba maiti ya Sauli na maiti za wanawe. Wakawaleta Yabeshi na kuzika mifupa yao chini ya mti mkubwa kule Yabeshi,+ nao wakafunga kwa siku saba.

13 Kwa hiyo Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa Yehova kwa maana hakutii neno la Yehova,+ na pia kwa sababu alitafuta ushauri kutoka kwa mtu aliyewasiliana na roho+ 14 badala ya kutafuta ushauri kutoka kwa Yehova. Kwa hiyo Akamuua na kumpa Daudi mwana wa Yese ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki