Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Kuanzia Adamu mpaka Abrahamu (1-27)

      • Wazao wa Abrahamu (28-37)

      • Waedomu na wafalme wao na mashehe wao (38-54)

1 Mambo ya Nyakati 1:1

Marejeo

  • +Mwa 4:25

1 Mambo ya Nyakati 1:2

Marejeo

  • +Mwa 5:12, 15
  • +Mwa 5:18

1 Mambo ya Nyakati 1:3

Marejeo

  • +Ebr 11:5
  • +Mwa 5:25, 28

1 Mambo ya Nyakati 1:4

Marejeo

  • +Mwa 5:29
  • +Mwa 11:10
  • +Mwa 6:10

1 Mambo ya Nyakati 1:5

Marejeo

  • +Isa 66:19
  • +Eze 27:13
  • +Mwa 10:2

1 Mambo ya Nyakati 1:6

Marejeo

  • +Mwa 10:3; Eze 27:14

1 Mambo ya Nyakati 1:8

Marejeo

  • +Isa 11:11
  • +Mwa 10:6

1 Mambo ya Nyakati 1:9

Marejeo

  • +Zb 72:10
  • +Eze 27:22
  • +Mwa 10:7

1 Mambo ya Nyakati 1:10

Marejeo

  • +Mwa 10:8, 9

1 Mambo ya Nyakati 1:11

Marejeo

  • +Yer 46:9
  • +Mwa 10:13, 14

1 Mambo ya Nyakati 1:12

Marejeo

  • +Eze 29:14
  • +Yos 13:2, 3
  • +Kum 2:23; Amo 9:7

1 Mambo ya Nyakati 1:13

Marejeo

  • +Isa 23:2
  • +Mwa 10:15-18

1 Mambo ya Nyakati 1:14

Marejeo

  • +Amu 1:21
  • +Mwa 15:16; Hes 13:29; Kum 3:8
  • +Kum 7:1

1 Mambo ya Nyakati 1:15

Marejeo

  • +Yos 9:3, 7

1 Mambo ya Nyakati 1:16

Marejeo

  • +Eze 27:11

1 Mambo ya Nyakati 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Wafuatao ni wana wa Aramu. Angalia Mwa 10:23.

Marejeo

  • +Ezr 4:9
  • +Eze 27:23
  • +Mwa 10:22, 23

1 Mambo ya Nyakati 1:18

Marejeo

  • +Mwa 11:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 8-9

1 Mambo ya Nyakati 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mgawanyiko.”

  • *

    Au “wakaaji wa dunia walikuwa wamegawanyika.”

Marejeo

  • +Mwa 11:19

1 Mambo ya Nyakati 1:20

Marejeo

  • +Mwa 10:26-29

1 Mambo ya Nyakati 1:23

Marejeo

  • +1Fa 9:28
  • +Mwa 2:11; 25:18

1 Mambo ya Nyakati 1:25

Marejeo

  • +Mwa 11:19
  • +Mwa 11:21

1 Mambo ya Nyakati 1:26

Marejeo

  • +Mwa 11:23
  • +Mwa 11:25
  • +Mwa 11:26

1 Mambo ya Nyakati 1:27

Marejeo

  • +Mwa 17:5

1 Mambo ya Nyakati 1:28

Marejeo

  • +Mwa 21:3
  • +Mwa 16:11, 12

1 Mambo ya Nyakati 1:29

Marejeo

  • +Mwa 28:9
  • +Eze 27:21
  • +Mwa 25:13-15

1 Mambo ya Nyakati 1:32

Marejeo

  • +Mwa 25:1-4
  • +Mwa 37:28
  • +Ayu 2:11
  • +Isa 21:13

1 Mambo ya Nyakati 1:33

Marejeo

  • +Isa 60:6

1 Mambo ya Nyakati 1:34

Marejeo

  • +Mdo 7:8
  • +Mwa 25:25
  • +Mwa 32:28

1 Mambo ya Nyakati 1:35

Marejeo

  • +Mwa 36:4, 5

1 Mambo ya Nyakati 1:36

Marejeo

  • +Oba 9
  • +Mwa 36:11, 12

1 Mambo ya Nyakati 1:37

Marejeo

  • +Mwa 36:13

1 Mambo ya Nyakati 1:38

Marejeo

  • +Mwa 36:8
  • +Mwa 36:20, 21

1 Mambo ya Nyakati 1:39

Marejeo

  • +Mwa 36:22

1 Mambo ya Nyakati 1:40

Marejeo

  • +Mwa 36:23, 24

1 Mambo ya Nyakati 1:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana.”

Marejeo

  • +Mwa 36:25, 26

1 Mambo ya Nyakati 1:42

Marejeo

  • +1Nya 1:38
  • +Mwa 36:27, 28

1 Mambo ya Nyakati 1:43

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

Marejeo

  • +Mwa 32:3
  • +Mwa 36:31-39

1 Mambo ya Nyakati 1:44

Marejeo

  • +Yer 49:13

1 Mambo ya Nyakati 1:46

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “shamba.”

1 Mambo ya Nyakati 1:51

Maelezo ya Chini

  • *

    Shehe alikuwa mkuu wa kabila.

Marejeo

  • +Mwa 36:40-43

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 1:1Mwa 4:25
1 Nya. 1:2Mwa 5:12, 15
1 Nya. 1:2Mwa 5:18
1 Nya. 1:3Ebr 11:5
1 Nya. 1:3Mwa 5:25, 28
1 Nya. 1:4Mwa 5:29
1 Nya. 1:4Mwa 11:10
1 Nya. 1:4Mwa 6:10
1 Nya. 1:5Mwa 10:2
1 Nya. 1:5Isa 66:19
1 Nya. 1:5Eze 27:13
1 Nya. 1:6Mwa 10:3; Eze 27:14
1 Nya. 1:8Isa 11:11
1 Nya. 1:8Mwa 10:6
1 Nya. 1:9Zb 72:10
1 Nya. 1:9Eze 27:22
1 Nya. 1:9Mwa 10:7
1 Nya. 1:10Mwa 10:8, 9
1 Nya. 1:11Yer 46:9
1 Nya. 1:11Mwa 10:13, 14
1 Nya. 1:12Eze 29:14
1 Nya. 1:12Yos 13:2, 3
1 Nya. 1:12Kum 2:23; Amo 9:7
1 Nya. 1:13Isa 23:2
1 Nya. 1:13Mwa 10:15-18
1 Nya. 1:14Amu 1:21
1 Nya. 1:14Mwa 15:16; Hes 13:29; Kum 3:8
1 Nya. 1:14Kum 7:1
1 Nya. 1:15Yos 9:3, 7
1 Nya. 1:16Eze 27:11
1 Nya. 1:17Ezr 4:9
1 Nya. 1:17Eze 27:23
1 Nya. 1:17Mwa 10:22, 23
1 Nya. 1:18Mwa 11:14
1 Nya. 1:19Mwa 11:19
1 Nya. 1:20Mwa 10:26-29
1 Nya. 1:231Fa 9:28
1 Nya. 1:23Mwa 2:11; 25:18
1 Nya. 1:25Mwa 11:19
1 Nya. 1:25Mwa 11:21
1 Nya. 1:26Mwa 11:23
1 Nya. 1:26Mwa 11:25
1 Nya. 1:26Mwa 11:26
1 Nya. 1:27Mwa 17:5
1 Nya. 1:28Mwa 21:3
1 Nya. 1:28Mwa 16:11, 12
1 Nya. 1:29Mwa 28:9
1 Nya. 1:29Eze 27:21
1 Nya. 1:29Mwa 25:13-15
1 Nya. 1:32Mwa 25:1-4
1 Nya. 1:32Mwa 37:28
1 Nya. 1:32Ayu 2:11
1 Nya. 1:32Isa 21:13
1 Nya. 1:33Isa 60:6
1 Nya. 1:34Mdo 7:8
1 Nya. 1:34Mwa 25:25
1 Nya. 1:34Mwa 32:28
1 Nya. 1:35Mwa 36:4, 5
1 Nya. 1:36Oba 9
1 Nya. 1:36Mwa 36:11, 12
1 Nya. 1:37Mwa 36:13
1 Nya. 1:38Mwa 36:8
1 Nya. 1:38Mwa 36:20, 21
1 Nya. 1:39Mwa 36:22
1 Nya. 1:40Mwa 36:23, 24
1 Nya. 1:41Mwa 36:25, 26
1 Nya. 1:421Nya 1:38
1 Nya. 1:42Mwa 36:27, 28
1 Nya. 1:43Mwa 32:3
1 Nya. 1:43Mwa 36:31-39
1 Nya. 1:44Yer 49:13
1 Nya. 1:51Mwa 36:40-43
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 1:1-54

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

1 Adamu,

Sethi,+

Enoshi,

2 Kenani,

Mahalaleli,+

Yaredi,+

3 Enoko,+

Methusela,

Lameki,+

4 Noa,+

Shemu,+ Hamu, na Yafethi.+

5 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali,+ Mesheki,+ na Tirasi.+

6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi, na Togarma.+

7 Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Rodanimu.

8 Wana wa Hamu walikuwa Kushi,+ Misraimu, Putu, na Kanaani.+

9 Wana wa Kushi walikuwa Seba,+ Havila, Sabta, Raama,+ na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.+

10 Kushi akamzaa Nimrodi.+ Nimrodi alikuwa shujaa wa kwanza duniani.

11 Misraimu akamzaa Ludimu,+ Anamimu, Lehabimu, Naftuhimu,+ 12 Pathrusimu,+ Kasluhimu (hao ndio waliowazaa Wafilisti),+ na Kaftorimu.+

13 Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,+ 14 na pia Wayebusi,+ Waamori,+ Wagirgashi,+ 15 Wahivi,+ Waarkia, Wasini, 16 Waarvadi,+ Wasemari, na Wahamathi.

17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi, Ludi, na Aramu,

na* Usi, Huli, Getheri, na Mashi.+

18 Arpakshadi akamzaa Shela,+ naye Shela akamzaa Eberi.

19 Eberi alizaa wana wawili. Mmoja aliitwa Pelegi,*+ kwa sababu katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika.* Ndugu yake aliitwa Yoktani.

20 Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hazarmavethi, Yera,+ 21 Hadoramu, Uzali, Dikla, 22 Obali, Abimaeli, Sheba, 23 Ofiri,+ Havila,+ na Yobabu; wote hao walikuwa wana wa Yoktani.

24 Wazao wa Shemu walikuwa

Arpakshadi,

Shela,

25 Eberi,

Pelegi,+

Reu,+

26 Serugi,+

Nahori,+

Tera,+

27 Abramu, yaani, Abrahamu.+

28 Wana wa Abrahamu walikuwa Isaka+ na Ishmaeli.+

29 Hizi ndizo asili za koo zao: mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi,+ kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ 30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31 Yeturi, Nafishi, na Kedema. Hao ndio waliokuwa wana wa Ishmaeli.

32 Wana waliozaliwa na Ketura,+ suria wa Abrahamu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,+ Ishbaki, na Shua.+

Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.+

33 Wana wa Midiani walikuwa Efa,+ Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa.

Hao wote walikuwa wana wa Ketura.

34 Abrahamu akamzaa Isaka.+ Wana wa Isaka walikuwa Esau+ na Israeli.+

35 Wana wa Esau walikuwa Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.+

36 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, Kenasi, Timna, na Amaleki.+

37 Wana wa Reueli walikuwa Nahathi, Zera, Shamma, na Miza.+

38 Wana wa Seiri+ walikuwa Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Ezeri, na Dishani.+

39 Wana wa Lotani walikuwa Hori na Homamu. Dada ya Lotani alikuwa Timna.+

40 Wana wa Shobali walikuwa Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.

Wana wa Sibeoni walikuwa Aya na Ana.+

41 Mwana* wa Ana alikuwa Dishoni.

Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.+

42 Wana wa Ezeri+ walikuwa Bilhani, Zaavani, na Akani.

Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.+

43 Hawa ndio wafalme waliotawala katika nchi ya Edomu+ kabla mfalme yeyote hajawatawala Waisraeli:*+ Bela mwana wa Beori; jiji lake liliitwa Dinhaba. 44 Bela alipokufa, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra+ alianza kutawala baada yake. 45 Yobabu alipokufa, Hushamu kutoka katika nchi ya Watemani alianza kutawala baada yake. 46 Hushamu alipokufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyewashinda Wamidiani katika eneo* la Moabu, alianza kutawala baada yake. Jiji lake liliitwa Avithi. 47 Hadadi alipokufa, Samla kutoka Masreka alianza kutawala baada yake. 48 Samla alipokufa, Shauli kutoka Rehobothi karibu na ule Mto alianza kutawala baada yake. 49 Shauli alipokufa, Baal-hanani mwana wa Akbori alianza kutawala baada yake. 50 Baal-hanani alipokufa, Hadadi alianza kutawala baada yake. Jiji lake liliitwa Pau, na mke wake aliitwa Mehetabeli binti ya Matredi, binti ya Mezahabu. 51 Kisha Hadadi akafa.

Mashehe* wa Edomu walikuwa Shehe Timna, Shehe Alva, Shehe Yethethi,+ 52 Shehe Oholibama, Shehe Ela, Shehe Pinoni, 53 Shehe Kenasi, Shehe Temani, Shehe Mibsari, 54 Shehe Magdieli, na Shehe Iramu. Hao ndio waliokuwa mashehe wa Edomu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki