Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g93 6/22 uku. 2
  • Ukurasa wa Pili

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ukurasa wa Pili
  • Amkeni!—1993
  • Vichwa vidogo
  • Kufanya Kazi kwa Bidii—Je! Hufaa Sikuzote? 3-11
  • Tamaa ya Joshua 15
  • Wimbo wa Ndege—Je! Ni Sauti Nyingine Tu Iliyo Tamu? 18
Amkeni!—1993
g93 6/22 uku. 2

Ukurasa wa Pili

Kufanya Kazi kwa Bidii—Je! Hufaa Sikuzote? 3-11

Mtu anapoweka kazi yake mbele ya mambo mengine yote, matokeo ni nini? Kufanya kazi kwa bidii kwaweza kufaaje na kuwe chanzo cha furaha badala ya kuwa mzigo?

Tamaa ya Joshua 15

Akiugua ugonjwa wa kansa, Joshua mwenye umri wa miaka saba aliulizwa alitamani nini. Soma juu ya kile alichotamani na jinsi kilivyotimizwa.

Wimbo wa Ndege—Je! Ni Sauti Nyingine Tu Iliyo Tamu? 18

Ni kwa nini ndege huimba? Je! nyimbo hizo zina maana yoyote? Ndege hujifunzaje nyimbo zao? Majibu yanaweza kukushangaza.

[Picha katika ukurasa wa 2]

T. Ulrich/H. Armstrong Roberts

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki