Ukurasa wa Pili
Vijana Ambao Hutanguliza Mungu 3-15
Zamani zilizopita maelfu ya vijana walikufa kwa kutanguliza Mungu. Wangali wanafanya hivyo, ila leo kisa hicho hutokea katika hospitali na vyumba vya mahakama, suala likiwa ni mitio ya damu mishipani.
Namna Gani Nikishikwa na Mahaba kwa Mtu
Asiye Mwamini? 18
Maumivu ya moyo yaweza kufuata ukipuuza lile shauri la kufunga ndoa “katika Bwana tu.”
Ingiza Ucheshi Katika Maisha Yako 25
Kwa nini? Kwa sababu huo ni kionyeshi cha mambo mengi—viwango vya maisha, mapendezi, uwezo wa kuwaza, mahitaji.