Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g94 11/8 uku. 2
  • Ukurasa wa Pili

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ukurasa wa Pili
  • Amkeni!—1994
  • Vichwa vidogo
  • 1914—Mipigo ya Bunduki Ambayo Ingali Yatikisa Ulimwengu Wetu 3-11
  • Wakristo Waikabili Tena Mahakama Kuu ya Yerusalemu 12
  • Je, Nimetenda Ile Dhambi Isiyosameheka? 18
Amkeni!—1994
g94 11/8 uku. 2

Ukurasa wa Pili

1914—Mipigo ya Bunduki Ambayo Ingali Yatikisa Ulimwengu Wetu 3-11

Kuuawa kwa Dyuki-mkuu Ferdinand wa Austria na pia mke wake kuliongoza kwenye mwanzo wa Vita ya Ulimwengu 1. Ni jinsi gani masuala yaliyowaathiri Wabalkani wakati huo yangali yanatikisa ulimwengu wetu leo?

Wakristo Waikabili Tena Mahakama Kuu ya Yerusalemu 12

Hivi majuzi Shahidi kijana mmoja Mwisraeli alifukuzwa shuleni kwa sababu za dhamiri. Kesi yake ilifanyiwa rufani kwenye mahakama kuu zaidi ya Yerusalemu.

Je, Nimetenda Ile Dhambi Isiyosameheka? 18

Vijana wengi wenye moyo mweupe, na wenye umri mkubwa zaidi pia, huathiriwa sana na dhambi zao na udhaifu wao mbalimbali. Lakini je, kweli dhambi hizi ni zisizosameheka?

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]

The Bettmann Archive

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]

Picha ya jalada: Wazo la mchoraji juu ya kupigwa risasi kwa Dyuki-mkuu Ferdinand; Culver Pictures

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki