Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g95 9/8 uku. 32
  • “Singeweza Kuzuia Machozi Yangu”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Singeweza Kuzuia Machozi Yangu”
  • Amkeni!—1995
Amkeni!—1995
g95 9/8 uku. 32

“Singeweza Kuzuia Machozi Yangu”

“Nimemaliza tu kusoma ile broshua Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa, na singeweza kuzuia machozi yangu.” Kwa nini Alicia, mwanamke Mmeksiko, aliathiriwa sana na kichapo hiki? Yeye ajibu hivi: “Maelezo na yaliyoonwa kilicho nayo yanaonyesha hisia ambazo nilikuwa nazo wakati baba yangu alipokufa miaka tisa iliyopita na wakati mimba yangu ilipoharibika miezi 18 hivi iliyopita.”

Ni nini hasa kilichomsaidia katika umivu lake? Kile kisanduku chenye kichwa “Kuharibikiwa Mimba na Kuzaa Mtoto Mfu—Huzuni ya Mama” na zile sehemu “Naweza Kuishije Nikiwa na Huzuni Yangu?” na “Wengine Waweza Kusaidiaje?”

Alicia pia aliandika hivi: “Lile simulizi kuhusu ufufuo wa Lazaro lilikuwa lenye kuamsha hisia za huruma sana na kuhakikisha upya katika njia iliyo wazi imani yangu katika ufufuo.”—Yohana 5:28, 29.

Ikiwa ungependa kupokea nakala ya broshua hii yenye kutia moyo ya kurasa 32, tafadhali andikia Mashahidi wa Yehova kwenye I.B.S.A., Box 47788, Nairobi, Kenya, au anwani ifaayo kwenye ukurasa wa 5.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki