Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g95 12/22 uku. 31
  • Fahirisi ya Buku la 76 la Amkeni!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Buku la 76 la Amkeni!
  • Amkeni!—1995
  • Vichwa vidogo
  • AFYA NA DAWA
  • DINI
  • MABARA NA WATU
  • MAHUSIANO YA KIBINADAMU
  • MAMBO MENGINE
  • MAMBO NA HALI ZA ULIMWENGU
  • MAONI YA BIBLIA
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • SAYANSI
  • UCHUMI NA KAZI YA KUAJIRIWA
  • VIJANA HUULIZA
  • WANYAMA NA MIMEA
Amkeni!—1995
g95 12/22 uku. 31

Fahirisi ya Buku la 76 la Amkeni!

AFYA NA DAWA

‘Asante kwa Kunileta Nyumbani, Mama’ (Jeruhi wa Aksidenti), 7/8

Dalili za Kabla ya Hedhi, 8/8

Famasi ya Bahari-Kuu, 9/22

Furahia Kukimbia-Kimbia, 3/22

Hali ya Afya Ulimwenguni, 4/8

Kile Tulichojifunza Kutokana na Andrew (Down’s Syndrome), 12/8

Komahedhi, 2/22

Kufa kwa Mvunjiko wa Moyo?, 10/22

Kutembea Kwenye Mchanga wa Ufuoni, 3/8

Kuua Mamilioni ili Kufanya Mamilioni (Uvutaji Sigareti), 5/22

Kuungua Nishati, 1/8

Kwa Nini Maisha Ni Mafupi Mno?, 10/22

Kweli Chakula Ni Chenye Lishe?, 3/8

Madaktari Walijifunza Kutokana na Hali Yangu ya Kukaribia Kifo, 12/22

Mahali Ambapo UKIMWI Umeenea Sana, 7/22

Maji ya Kunywa, 9/8

Malengelenge, 4/22

Otizimu, 2/8

Pumzi Mbaya, 7/8

Sababu ya Mwili Wako Kuhitaji Usingizi, 6/8

Uchunguzi wa “Damu Yenye Dosari” ya Kanada, 6/8

Ugonjwa Utokanao na Chakula, 11/22

Ugonjwa wa Tourette, 12/22

UKIMWI Katika Afrika, 6/8

UKIMWI—Tahadhari za Wanatiba, 10/8

Upofu wa Mtoni, 10/8

Wakati Ugonjwa Haupo Tena, 4/8

DINI

Baraza la Makanisa Ulimwenguni, 3/22

Jaribio la Makasisi la Kuwafikia Vijana, 5/22

Kanisa la Mormon, 11/8

Kumtafuta Msanii Mkuu Kuliko Wote, 11/8

Kuagizwa Rasmi kwa Wanawake, 7/22

Maana ya Familia Katika Kutaniko la Kikristo, 2/8

Matabiri Bandia au Unabii wa Kweli, 6/22

Ni Nani Ataeneza Evanjeli Katika Uingereza?, 1/22

Sala za Amani Katikati ya Kumbukumbu za Vita, 12/22

Si Sehemu ya Ulimwengu?, 1/8

Umepata Kujiuliza? (Fumbo juu ya Dini ya Kweli), 5/8

Vyanzo vya Kipagani vya Krismasi, 12/8

Watahubiri Mlango kwa Mlango?, 2/22

MABARA NA WATU

Hula—Ile Dansi ya Wahawaii, 12/8

Kosta Rika—Unamna Mwingi, 7/8

Kutoka Kuwa Chupa Hadi Kuwa Shanga (Nigeria), 11/8

Kuzuru Soko la Ngamia la Omdurman (Sudan), 6/8

Maana ya Kinyago cha Kufunika Uso (Afrika), 8/8

Mahali Ambapo Tai Huenda Kula Samaki (Alaska), 11/22

Mashamba ya Mizabibu ya Hungaria, 9/8

Msiba wa Ghafula wa Japani (Tetemeko la Dunia la Kobe), 8/22

Shule ya Kiafrika, 9/22

Wanawake wa India, 7/22

Zanzibar—“Kisiwa cha Vikolezo,” 2/22

MAHUSIANO YA KIBINADAMU

Familia za Mzazi Mmoja, 10/8

Mazungumzo Ni Usanii, 4/8

Ni Nini Kinachomaanishwa na Kuzeeka?, 6/22

Watoto Waliopotea, 2/8

Wewe Huthamini Babu na Nyanya?, 7/8

MAMBO MENGINE

Fashoni—Mtindo wa Kale wa Kigiriki, 3/8

Gari Lako—Kimbilio au Mtego?, 6/8

Katakombu, 8/8

Kioo, 11/22

Kuboresha Kumbukumbu, 10/8

Kupepesa, 10/8

Kusuluhisha Tatizo la Taka Nyingi—Kwa Uozeshaji, 10/22

Kuvinjari kwa Usalama Ulimwengu Ulio Chini ya Mawimbi, 5/8

Kwa Nini Kujenga kwa Mbao?, 10/22

Machozi ya Asili (Umande), 5/22

Mataifa Adui Yaliyoshambulia Israeli, 12/8

Matreshka—Ni Mwanasesere Alioje!, 4/22

Mchezo Huu Unakufaa? (Michezo ya Kompyuta), 5/8

Mdundo wa Kifo (Muziki), 4/8

Nahodha James Cook, 3/22

Nyumba Yenu Ni Yenye Kukinza Tetemeko la Dunia?, 6/8

Pigano la Marathoni, 5/8

Ramani—Mistari Yenye Manufaa ya Kuwaziwa, 3/8

Ramani za Kutimiza Mahitaji Yako, 9/8

Siku ya Valentine, 2/8

Uahirishaji—Mwizi wa Wakati, 4/8

Uanastampu (Ukusanyaji Stampu), 1/8

Ubebaji Vitoto, 12/8

Ukimwa, 1/22

Utendaji wa Kiunabii wa Eliya na Elisha, 12/8

Vilima-Barafu, 12/8

Wali au Mchele?, 1/22

MAMBO NA HALI ZA ULIMWENGU

1945—1995, 9/8

Hali ya Afya Ulimwenguni, 4/8

Hizi Ndizo Siku za Mwisho?, 4/22

Maji ya Kunywa, 9/8

Mataifa Maskini Yawa Mahali pa Kutupia Takataka, 11/22

Minyororo na Machozi ya Utumwa, 6/8

Mwanadamu Atapata Kushinda Msiba?, 7/22

Shule Matatani, 12/22

Sikuzote Mataifa Tajiri Yatatumia Vibaya Mataifa Maskini?, 11/22

Si Siri Tena Kamwe (Barua Kuhusu Vita vya Marekani vya Wenyewe kwa Wenyewe), 5/8

Teketezo la Umati—Ni Nani Waliosema kwa Ujasiri?, 8/22

Uchezaji Kamari—Uraibu Unaoongezeka, 9/22

Watoto Waliopotea, 2/8

MAONI YA BIBLIA

Fungu Lako Katika Sala Zako, 9/8

Haidhuru Hata Uamini Nini?, 7/8

Maana ya Uhai, 5/8

Mashindano Katika Michezo Ni Kosa?, 12/8

Mungu Apendezwa Kutuona Tukiteseka?, 3/8

Ni Nani Huenda Mbinguni?, 1/8

Samehe na Usahau—Yawezekanaje?, 6/8

Useja, 2/8

Uzinzi—Kusamehe au Kutosamehe?, 8/8

Viwango vya Mungu Ni Vigumu Mno?, 10/8

MASHAHIDI WA YEHOVA

Aliathiri Maisha Nyingi (K. Roberson), 6/22

Chuki Yangu Iligeuka Kuwa Upendo (L. Wurm), 1/8

Familia Iliyonipenda Kikweli (U. Udoh) 7/22

Fasihi Zathaminiwa Katika Ule Uliokuwa Muungano wa Sovieti, 6/8

Imani ya Joshua (Damu), 1/22

Jinsi Nilivyonufaika Kutokana na Utunzaji wa Mungu (C. Jones), 6/22

La Kwanza Katika Mali, 12/22

Lile Teketezo la Umati—Ni Nani Waliosema kwa Ujasiri?, 8/22

Magazeti Yatoayo Faraja Inayotumika, 1/8

Mahakama Kuu Zaidi ya Kanada Yaimarisha Haki za Wazazi, 11/8

Mahakama Kuu Zaidi ya Norway Yatetea Haki za Kidini, 11/22

Nidhamu Imekuwa Wokovu Wangu (S. Burke), 8/22

Pigano Langu Gumu na Lililo Refu la Kutafuta Dini ya Kweli (K. Malone), 9/22

Risasi Ilibadili Maisha Yangu (G. Williams), 10/22

“Sasa Ni Mia Tu na Yehova” (Damu), 2/22

Seminari za Kuboresha Mahusiano Kati ya Madaktari na Mashahidi, 3/22

Ushindi wa Wachache (Japani), 10/8

Utafutaji Wangu Wenye Mafanikio wa Maana ya Uhai (H. Dies), 5/22

Zaidi ya Miaka 40 Chini ya Marufuku ya Ukomunisti (J. Hálová), 4/22

Ziara ya Kurudi Urusi, 2/22

SAYANSI

Darubiniupeo ya Angani ya Hubble, 9/8

Jeni ya Binadamu, 3/22

Kupatwa kwa Jua, 3/8

Kutumia Nguvu za Upepo, 10/22

Kwa Nini Kuchimba kwa Kina Hivyo?, 5/8

Miamba Inayoruka, 12/8

Mwanabarafu wa Alpine, 5/8

Nadharia Ambayo Ilishangaza Ulimwengu (Mageuzi), 8/8

Ubuni wa Sayansi, 12/8

UCHUMI NA KAZI YA KUAJIRIWA

Yafaa Kujiingiza Katika Deni?, 6/8

VIJANA HUULIZA

Kuboresha Jumla ya Mavazi, 1/22

Kunyoosha Maisha, 1/8

Kuudhiwa Kingono, 8/22

Kuwa Rafiki ya Mungu, 7/22, 11/22

Kwa Nini Kila Mtu Anafunga Ndoa?, 10/22

Kwa Nini Nisiibe?, 6/22

Maonyesho ya Roki, 12/22

Mzazi Asiyetimiza Matakwa, 5/22

Nijifunze Mbinu za Kujikinga?, 9/22

Tumeoana Mapema Mno, 4/22

Ugoni-Jinsia-Moja, 2/8, 2/22, 3/22

Utoaji-Mimba Ndio Suluhisho?, 3/8

WANYAMA NA MIMEA

Bundi-Hudhurungi Aliye Kwenye Ukuta wa Hadrian, 11/8

Chui, 4/8

Fuko, 2/22

Kaanazi, 5/8

Kasuku wa Australia, 3/8

Kifaru, 8/8

Kipepeo-Madoido, 3/8

Kivunjavunja Mwenye Sikio Moja, 4/8

Mafumbo ya Uhamaji, 9/22

Mamba, 3/22

Mchwa—Rafiki au Adui?, 5/22

Megapodi, 1/22

Mkanju Mkubwa Kuliko Yote, 8/22

“Mti wa Uhai” wa Afrika (Mbuyu), 3/22

Nanasi, 10/8

Nyati wa Majini—Mwaminifu na Mwenye Mafaa, 7/22

Nyoka Mla-Panya, 11/22

Nyuki Dhidi ya Kompyuta, 2/8

Okidi Katika Ulaya, 1/22

Todi au Chura—Tofauti, 7/8

Ukuzaji Samaki, 5/22

Umeona Thilasini?, 6/22

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki