Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g97 11/8 uku. 2
  • Ukurasa wa Pili

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ukurasa wa Pili
  • Amkeni!—1997
  • Vichwa vidogo
  • Kelele—Kichafuzi Chetu Kibaya Zaidi? 3-11
  • Mtu Aliyeufungua Ulimwengu 12
  • Je, Umaskini Ni Sababu Halali ya Kuiba? 18
Amkeni!—1997
g97 11/8 uku. 2

Ukurasa wa Pili

Kelele—Kichafuzi Chetu Kibaya Zaidi? 3-11

Je, wapata ikiwa vigumu kuepuka kelele ya daima? Je, waudhiwa na kelele? Wewe ni mmoja wa mabilioni wanaoteseka kutokana na kichafuzi hiki cha kisasa. Waweza kupataje kitulizo?

Mtu Aliyeufungua Ulimwengu 12

Kila mtu amesikia kumhusu Columbus. Lakini ni nani aliyekuwa baharia wa kwanza kulizunguka tufe? Alikuwa mvumbuzi hodari Mreno. Ni majaribu gani aliyoyakabili? Alikufaje?

Je, Umaskini Ni Sababu Halali ya Kuiba? 18

Watu wengine hubisha kwamba ili kuokoka umaskini, lazima waibe. Je, Biblia hukubali maoni hayo?

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]

Robin Hood: General Research Division/The New York Public Library/Astor, Lenox and Tilden Foundations

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki