Ukurasa wa 2
Je, Haki za Kibinadamu Zitawahi Kupatikana kwa Wote? 3-14
Kwa mamilioni ya watu duniani pote, ukiukaji wa haki za kibinadamu, kama vile ubaguzi, kutenda watoto vibaya, na utumwa, ni mambo yatendekayo kila siku. Je, haki za kibinadamu kwa wote zitawahi kuwa uhalisi wa ulimwenguni pote?
Amri ya Nantes—Je, Ilikuwa Mkataba wa Uvumiliano? 19
Miaka 400 iliyopita, mfalme wa Ufaransa alitia sahihi hati ambayo ingevumilia dini. Lakini ni nini kinachoupata uhuru wa kidini nchini Ufaransa leo?
Baraza la Kisheria la Urusi Latetea Mashahidi wa Yehova 26
Soma juu ya mkataa uliofikiwa na baraza moja la kisheria kuhusu itikadi na utendaji wa Mashahidi wa Yehova.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
© Cliché Bibliothèque Nationale de France, Paris