Ukurasa wa Pili
Je, Maisha Yako Yameamuliwa Kimbele? 3-10
Je, kani fulani isiyoonekana hudhibiti maisha yako? Au je, una daraka la kujiamulia mambo?
Simba Angurumaye Awa Kondoo Mpole 11
Soma kuhusu kitu kilichomchochea mtu mmoja aliyefungwa gerezani kwa miaka mingi kubadili maisha yake kabisa.
Muungano wa Kidini Katika Ndoa—Sababu Ni wa Maana 18
Biblia ina maoni gani juu ya jambo hili?
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
Jobard/Sipa Press