Ukurasa wa Pili
Vita—Je, Vitawahi Kukoma? 3-9
Historia ya karne ya 20 inaonyesha kwamba wanadamu wamekuwa stadi katika kupigana vita. Lakini, Biblia inaahidi kwamba karibuni kutakuwa na amani ulimwenguni pote. Amani hiyo itapatikanaje?
Naweza Kuvumiliaje Ukosefu wa Haki? 10
Ni jambo la kawaida tu kuhisi maumivu na hasira unapotendewa vibaya. Unaweza kupata wapi msaada?
“Binti Yenu Ana Ugonjwawa Kisukari!” 20
Soma jinsi ambavyo Sonya mwenye umri wa miaka kumi na familia yake wamekabiliana na maradhi hayo.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
JALADA: Jeti: USAF photo; Manowari ya kuchukulia ndege: U.S. Navy photo