Ungejibuje?
WATAMBULISHE VIUMBE HAWA WA KIROHO
Chora mstari kuunganisha aina ya malaika na picha inayohusiana naye kisha ujibu swali.
Malaika Mkuu
Malaika mkuu anaitwa nani?
Makerubi
Makerubi walilinda nini Edeni?
Maserafi
Isaya alisikia maserafi wakisema nini?
Malaika
Kuna angalau malaika wangapi?
1. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
2. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
3. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
4. ․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
◼ Zungumzeni Pamoja: Kujua familia ya kimbingu ya Yehova kumekusaidiaje uwe jasiri zaidi?—2 Wafalme 6:15-17.
ILITUKIA LINI?
Chora mstari kuunganisha kila tukio na mwaka lilipotukia.
1761 K.W.K. Karibu 538 K.W.K. 33 W.K.
1728 K.W.K. Karibu 455 K.W.K. 44 W.K.
7. Danieli 6:22
MIMI NI NANI?
8. Nilipuuza maonyo ya malaika na malalamiko ya punda.
MIMI NI NANI?
9. Nilipeleka ujumbe kwa Danieli, Zekaria na kwa mama ya Imanueli.
KUTOKA KATIKA TOLEO HILI
Jibu maswali haya na ujaze mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.
Ukurasa 4 Kuangalia televisheni kunafananaje na kula asali? (Methali 25:____)
Ukurasa 7 Kwa nini tunapaswa kuwa waangalifu kuhusu yale tunayotazama kwenye televisheni? (Methali 13:____)
Ukurasa 11 Mtu anapokufa mawazo yake hupatwa na nini? (Zaburi 146:____)
Ukurasa 21 Yehova anawaonaje vijana wenye matatizo ya kula? (Zaburi 22:____)
Watoto Watafute Picha
Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.
(Majibu kwenye ukurasa wa 27)
MAJIBU YA UKURASA WA 31
1. Makerubi. “Njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.”—Mwanzo 3:24.
2. Malaika Mkuu. Mikaeli.—Yuda 9.
3. Malaika. Mamilioni mengi.—Danieli 7:10.
4. Maserafi. “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova.”—Isaya 6:3, 6, 7.
5. 44 W.K.
6. 1761 K.W.K.
7. Karibu 538 K.W.K.
8. Balaamu.
9. Gabrieli.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 31]
Middle circle: ©Alan Copson/Agency Jon Arnold Images/age fotostock