Kitu Fulani kwa Jamaa Yako
Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani ni kitabu kwa ajili ya jamaa nzima. Chaweza kusaidia wewe na jamaa yako mpate uelewevu ulio wazi wa mafundisho ya msingi yote ya Bibilia.
Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani. Hizi ni kati ya kweli za Biblia zinazozungumzwa:
• Sababu ya sisi kuwa hapa
• Sababu gani sisi huzeeka na kufa
• Je! kuna mahali penye moto wa mateso?
• Twaweza kuwaje na hakika ni dini ipi anayokubali Mungu?
• Jinsi roho waovu wanavyoongoza vibaya aina ya wanadamu
• Sababu gani Mungu ameruhusu uovu mpaka sasa?
• Ni nani wanaoenda mbinguni, na kwa sababu gani?
• Jinsi ya kusali na kusikiwa na Mungu
• Kinachosemwa na Biblia juu ya kujenga maisha ya jamaa yenye furaha
Ili upate nakala yako ya kitabu hiki chenye jalada gumu na chenye kuvutia ukiwa umelipiwa malipo ya posta, peleka tu KShs. 50/-, TShs. 360/-, RWF 300. Michango inaelekea kubadilika wakati wowote.
Andikia IBSA, ukitumia anwani kutoka ukurasa ufuatao.