Toleo la Kichapo
Sasa Umekwisha kuona mengi ya mafundisho ya Biblia yaliyo ya maana na ya msingi. Tunakutia moyo uendelee kuongeza maafifa ya Neno la Mungu. Vitabu hivi vinavyofuata vitakusaidia kufanya hivyo.
Amani na Usalama wa Kweli—Kutoka Chanzo Gani?
Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha
Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi
Kupata faida zote za ujana wako
Kweli Iongozayo Kwenye Uzima wa Milele
Kuchagua Njia Bora Zaidi ya Maisha
Unaweza kujipatia vitabu hivi vya kukusaidia kuifahamu Biblia kutoka kwa Mashahidi wa Yehova wanaokaa karibu na wewe.