Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • my seh. ya 2
  • Gharika Mpaka Kukombolewa Katika Misri

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Gharika Mpaka Kukombolewa Katika Misri
  • Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Mungu Ambariki Abrahamu na Familia Yake
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
  • Jamaa Inahama Kwenda Misri
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • “Je, Mimi Niko Mahali pa Mungu?”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Mwanzo—Yaliyomo
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Pata Habari Zaidi
Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
my seh. ya 2

SEHEMU YA 2

Gharika Mpaka Kukombolewa Katika Misri

Watu wanane peke yao ndio waliookoka Gharika, lakini baadaye wakaongezeka kuwa maelfu mengi. Kisha, ilipopita miaka 352 baada ya Gharika, Abrahamu akazaliwa. Tunajifuzna namna Mungu alivyotimiza ahadi yake kwa kumpa Abrahamu mwana anayeitwa Isaka. Kisha, kati ya wana wawili wa Isaka, Yakobo alichaguliwa na Mungu.

Yakobo alikuwa na jamaa kubwa ya wana 12 na binti fulani. Wana 10 wa Yakobo walimchukia ndugu yao mdogo Yusufu wakamwuza utumwani huko misri. Baadaye, Yusufu akawa mtawala mkuu wa Misri. Njaa kuu ilipotokea, Yusufu aliwajaribu ndugu zake aone kama wamegeuza moyo. Halafu, jamaa yote ya Yakobo, yaani, Waisraeli, wakahamia Misri. Hayo yalitokea miaka 290 baada ya kuzaliwa Abrahamu.

Kwa miaka 215 iliyofuata Waisraeli walikaa huko Misri. Yusufu alipokufa, wakawa watumwa huko. Mwishowe, Musa akazaliwa, naye Mungu akamtumia awakomboe Waisraeli kutoka Misri. Kwa jumla, miaka 857 ya historia inazungumziwa katika Sehemu ya 2.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki