Sehemu 6
Wapatwa na Mashtumu na Dhiki
Yesu Kristo alionya Wafuasi wake kwamba wangekabili majaribu-baadhi yayo kwa sababu ya kutokukamilika kwa kibinadamu, mengine kwa sababu ya ndugu wasio wa kweli, na mengine hata zaidi kwa sababu ya kunyanyaswa mikononi mwa Wapinzani.
Sura ya 28 hadi 30 zinasimulia kinaganaga yale ambyo Mashahidi wa Yehova wamepatwa nayo katika nyakati za kisasa na jinsi imani yao imewawezesha kupata ushindi
[Picha katika ukurasa wa 616]