Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 75
  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi! ”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi! ”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi”
    Mwimbieni Yehova
  • “Mimi Hapa, Nitume Mimi”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 75

WIMBO NA. 75

“Mimi Hapa! Nitume Mimi!”

Makala Iliyochapishwa

(Isaya 6:8)

  1. 1. Leo watu hudhihaki,

    Jina tukufu la Mungu.

    Wasema “Hakuna Mungu! ”

    Eti Mungu ni dhaifu.

    Nani atamtetea,

    Na kulitakasa jina?

    (KORASI YA 1)

    ‘Bwana, Mimi hapa! N’tume.

    Nitakusifu daima.

    Ni pendeleo kubwa sana.

    Bwana nitume mimi.’

  2. 2. Hawamwogopi Yehova

    Wadai anakawia.

    Sanamu waziabudu.

    Kaisari wamwabudu.

    Nani atatoa onyo,

    Kuhusu vita vya Mungu?

    (KORASI YA 2)

    ‘Bwana, Mimi hapa! N’tume.

    Nitawaonya waovu.

    Ni pendeleo kubwa sana.

    Bwana nitume mimi.’

  3. 3. Wapole wanaugua,

    Mbona maovu yazidi?

    Kwa unyofu watafuta

    Ukweli wenye amani.

    Nani atawafariji,

    Upole wautafute?

    KORASI YA 3)

    ‘Bwana, Mimi hapa! N’tume.

    Nitawafunza wapole.

    Ni pendeleo kubwa sana.

    Bwana nitume mimi.’

(Ona pia Zab. 10:4; Eze. 9:4.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki