Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 116-117
  • Wakristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wakristo
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 116-117

Wakristo

Wafuasi wa Yesu walianzaje kujulikana kuwa Wakristo?

Mdo 11:26

Ni nini kinachowatambulisha Wakristo wa kweli?

Yoh 13:​15, 35; 15:17; 1Pe 2:21

Tazama pia Gal 5:​22, 23; Flp 2:​5, 6; 1Yo 2:6; 4:20

Wakristo wa kweli wanaokolewa kwa msingi gani?

Mdo 4:12; 1Th 5:9; Ufu 7:10

Tazama pia Mdo 5:​30, 31; Ro 6:23

Kwa nini Wakristo wanajitiisha chini ya Kristo akiwa Mfalme wao wa mbinguni?

Da 7:​13, 14; Efe 5:24; Flp 2:​9, 10; Kol 1:13

Tazama pia Zb 2:6; 45:​1, 6, 7; Yoh 14:23; Efe 1:​19-22

Kwa nini Wakristo wa kweli hawajihusishi na mambo ya ulimwengu huu?

Yoh 15:19; Yak 4:4; 1Yo 2:15

Tazama pia “Urafiki na Ulimwengu” na “Serikali—Wakristo Wanadumisha Msimamo wa Kutounga Mkono Upande Wowote”

Kwa nini Wakristo wa kweli wanatii serikali?

Ro 13:​1, 6, 7; Tit 3:1; 1Pe 2:​13, 14

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 22:​15-22—Yesu anafafanua kwa nini wafuasi wake wanalipa kodi

    • Mdo 4:​19, 20; 5:​27-29—Wafuasi wa Yesu wanaonyesha kwamba utii wao kwa serikali za wanadamu una mipaka

Ni katika maana gani Wakristo ni wanajeshi?

2Ko 10:4; 2Ti 2:3

Tazama pia Efe 6:​12, 13; 1Ti 1:18

Kwa nini Wakristo wanahitaji kuishi kulingana na imani yao?

Mt 5:16; Tit 2:​6-8; 1Pe 2:12

Tazama pia Efe 4:​17, 19-24; Yak 3:13

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mdo 9:​1, 2; 19:​9, 23—Ibada ya Kikristo inarejelewa kuwa “Ile Njia,” ikidokeza kuwa ni njia ya maisha

Kwa nini Wakristo wa kweli wanapaswa kuwa mashahidi wa Yehova Mungu?

Isa 43:​10, 12; Yoh 17:​6, 26; Ro 15:​5, 6; Ufu 3:14

Tazama pia Ebr 13:15

Kwa nini Wakristo wa kweli pia ni mashahidi wa Yesu Kristo?

Mdo 1:8; 5:42; 10:​40-42; 18:5; Ufu 12:17

Tazama pia Mdo 5:​30, 32; 13:31

Kwa nini Wakristo wote wa kweli wanapaswa kuwa wahubiri wa habari njema?

Mt 28:​19, 20; Lu 10:9; Ro 10:​9, 10; Ufu 22:17

Tazama pia Isa 61:1; 1Ko 9:16

Wakristo wanapaswa kuwa na maoni gani kuhusu mateso?

Tazama “Mateso”

Je, Wakristo wote wa kweli wataenda kuishi mbinguni pamoja na Yesu Kristo?

Lu 12:32; Ufu 7:​3, 4; 14:1

Tazama pia 1Pe 1:​3, 4

Wakristo wengi wa kweli wana tumaini gani la wakati ujao?

Zb 37:29; Ufu 7:​9, 10; 21:​3, 4

Je, Wakristo wa kweli wanapatikana katika madhehebu ya dini zinazodai kuwa za Kikristo?

Yoh 10:16; 17:​20, 21; 1Ko 1:10

Je, watu wanaodai kuwa Wakristo ni wafuasi wa kweli wa Yesu?

Mt 7:​21-23; Ro 16:​17, 18; 2Ko 11:​13-15; 2Pe 2:1

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mt 13:​24-30, 36-43—Yesu anatoa mfano unaonyesha kwamba kungekuwa na Wakristo wengi wa uwongo

    • 2Ko 11:​24-26—Mtume Paulo anawaorodhesha “ndugu wa uwongo” kuwa miongoni mwa hatari alizokabili

    • 1Yo 2:​18, 19—Mtume Yohana anaonya kwamba tayari “wapinga-Kristo wengi” walikuwa wameacha kweli

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki