Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 101-103
  • Urafiki na Ulimwengu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Urafiki na Ulimwengu
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 101-103

Urafiki na Ulimwengu

Ni nani anayeutawala ulimwengu leo?

Efe 2:2; 1Yo 5:19

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Lu 4:​5-8—Shetani anataka kumpa Yesu falme zote za dunia, na Yesu hapingi kwamba Shetani ana mamlaka hiyo

Kuwa rafiki ya ulimwengu kunawezaje kuathiri uhusiano wetu na Yehova?

Yak 4:4; 1Yo 2:​15, 16

Tazama pia Yak 1:27

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • 2Nya 18:​1-3; 19:​1, 2—Mfalme mzuri Yehoshafati anakemewa kwa sababu anashirikiana na Mfalme Ahabu, ambaye Yehova amemhukumu kuwa mwovu

Kujua maoni ya Yehova kuhusu ulimwengu huu kutatusaidiaje tunapochagua watu wa kushirikiana nao?

Tazama “Kushirikiana na Wengine”

Kwa nini tunaepuka mtazamo wa ulimwengu kuhusu vitu vya kimwili?

Tazama “Kupenda Mali”

Kwa nini tunaepuka maoni ya ulimwengu kuhusu tamaa chafu za mwili?

Gal 5:​19-21; 1Th 4:​3-5; 1Pe 1:​14, 15; 2:11

Kwa nini Wakristo wanaepuka kuwaabudu wanaume, wanawake, na mashirika?

Mt 4:10; Ro 1:25; 1Ko 10:14

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mdo 12:​21-23—Yehova alimwangamiza Mfalme Herode Agripa wa Kwanza kwa sababu aliwaruhusu watu wamwabudu

    • Ufu 22:​8, 9—Malaika mwenye nguvu anamzuia mtume Yohana asimwinamie, na kusisitiza kwamba Yehova pekee ndiye anayepaswa kuabudiwa

Kwa nini Wakristo hawaungi mkono upande wowote inapohusu siasa na utaifa?

Tazama “Serikali—Wakristo Wanadumisha Msimamo wa Kutounga Mkono Upande Wowote”

Kwa nini Wakristo wanakataa kushirikiana na dini nyingine?

Tazama “Kuchanganya Ibada”

Kwa nini Wakristo hukataa kulegeza msimamo inapohusu viwango vya Yehova?

Lu 10:16; Kol 2:8; 1Th 4:​7, 8; 2Ti 4:​3-5

Tazama pia Lu 7:30

Kwa nini mara nyingi ulimwengu huu unawachukia na kuwatesa wafuasi wa Kristo?

Yoh 15:​18-20; 17:​9, 14, 16

Kwa nini si jambo la hekima kupenda vitu ambavyo ni sehemu ya ulimwengu huu?

Isa 65:17; 1Yo 2:17

Wakristo wanawaonyeshaje upendo na fadhili watu ambao hawamtumikii Yehova?

Ro 12:​18-20; Gal 6:10

Kwa nini Wakristo wanapaswa kutii sheria za nchi, kuwaheshimu watawala, na maofisa?

Mt 22:21; Ro 13:​1-7

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mdo 25:8; 26:​2, 25—Mtume Paulo anatii sheria za wanadamu na anawaheshimu watawala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki