Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 42-43
  • Kushirikiana na Wengine

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kushirikiana na Wengine
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 42-43

Kushirikiana na Wengine

Marafiki wetu wa muhimu zaidi ni nani?

Zb 25:14; Yoh 15:​13-15; Yak 2:23

Tazama pia Met 3:32

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 5:​22-24—Enoko anasitawisha urafiki wa karibu na Mungu

    • Mwa 6:9—Noa anatembea pamoja na Mungu kama alivyofanya Enoko, babu yake

Kwa nini tunahitaji marafiki wazuri?

Met 13:20; 17:17; 18:24; 27:17

Tazama pia Met 18:1

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ru 1:​16, 17—Ruthu anathibitika kuwa rafiki mshikamanifu wa Naomi

    • 1Sa 18:1; 19:​2, 4—Yonathani na Daudi wanasitawisha urafiki wenye nguvu

    • 2Fa 2:​2, 4, 6—Elisha anamwonyesha upendo mshikamanifu nabii Eliya ambaye anamzoeza

Kwa nini tunahitaji kushirikiana kwa ukawaida na waabudu wenzetu wa Yehova?

Ro 1:​11, 12; Ebr 10:​24, 25

Tazama pia Zb 119:63; 133:1; Met 27:9; Mdo 1:​13, 14; 1Th 5:11

Tunawezaje kuchagua marafiki wazuri?

Lu 6:31; 2Ko 6:​12, 13; Flp 2:​3, 4

Tazama pia Ro 12:10; Efe 4:​31, 32

Kwa nini ni hatari kushirikiana kwa ukaribu na watu ambao hawampendi Yehova?

Met 13:20; 1Ko 15:33; Efe 5:​6-9

Tazama pia 1Pe 4:​3-5; 1Yo 2:​15-17

Tazama pia “Urafiki na Ulimwengu”

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 34:​1, 2—Dina anachagua marafiki wabaya na kusababisha madhara makubwa

    • 2Nya 18:​1-3; 19:​1, 2—Yehova amkaripia mfalme mzuri Yehoshafati kwa kushirikiana na mfalme mwovu Ahabu

Je, tunapaswa kuepuka kabisa kushirikiana na watu wasiomwabudu Yehova Mungu?

Mt 28:​19, 20; Yoh 17:​15, 16; 1Ko 5:​9, 10

Kwa nini ni kosa kufunga ndoa na mtu ambaye si mtumishi wa Yehova aliyejiweka wakfu na kubatizwa?

Tazama “Ndoa”

Kwa nini hatupaswi kushirikiana na watu waliotengwa na kutaniko la Kikristo?

Ro 16:17; 1Ko 5:11; 2Yo 10, 11

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki