Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 65-69
  • Mwenendo wa Wakristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mwenendo wa Wakristo
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 65-69

Mwenendo wa Wakristo

Kwa nini Wakristo wanapaswa kuishi kulingana na imani yao?

Mt 5:​14-16; Yak 1:​22-25

Ni kielelezo cha nani ambacho Wakristo wanapaswa kukifuata?

Yoh 13:15; 1Pe 2:21

Tazama pia 1Ko 11:1; 1Yo 2:6

Wakristo wanapoishi kulingana na viwango vya Mungu wanaweza kupata matokeo gani?

2Ko 6:​3, 4; 1Pe 2:12

Tazama pia 1Ti 4:12; Tit 2:​4-8; 1Pe 3:​1, 2; 2Pe 2:2

Kujua maandiko yafuatayo kutawasaidiaje Wakristo kuepuka mwenendo usiofaa?

Met 4:​23-27; Yak 1:​14, 15

Tazama pia Mt 5:28; 15:19; Ro 1:​26, 27; Efe 2:​2, 3

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 3:​1-6—Hawa anakubali kushawishiwa na tamaa mbaya badala ya kuzipinga

    • Yos 7:​1, 4, 5, 20-25—Akani anapokosa kumtii Yehova, watu wengi wanateseka kwa sababu ya dhambi yake

Kujua maandiko yafuatayo kutawasaidiaje Wakristo wafanye jambo linalofaa?

Ro 12:2; Efe 4:​22-24; Flp 4:8; Kol 3:​9, 10

Tazama pia Met 1:​10-19; 2:​10-15; 1Pe 1:​14-16

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 39:​7-12—Yosefu anapinga kishawishi cha mke wa Potifa

    • Ayu 31:​1, 9-11—Ayubu anaazimia kutomtazama kwa njia isiyofaa mwanamke ambaye si mke wake

    • Mt 4:​1-11—Yesu anapinga kishawishi cha Shetani

Ni mitazamo gani isiyofaa ambayo Wakristo wanapaswa kuepuka?

Tazama “Mitazamo Isiyofaa”

Ni mazoea gani yasiyofaa ambayo Wakristo wanapaswa kuepuka?

Tazama “Mazoea Yasiyofaa”

Ni sifa gani nzuri ambazo Wakristo wanahitaji kusitawisha?

Bidii; kwa nafsi yote

Tazama “Kazi”

Hali nzuri ya kiroho; kutanguliza mapenzi ya Yehova

  • Mt 6:33; Ro 8:5; 1Ko 2:​14-16

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ebr 11:​8-10—Abrahamu anaishi kwenye mahema akiwa mgeni kwa sababu Ufalme wa Mungu ni halisi kwake

Ebr 11:​24-27—Njia ya maisha ambayo Musa alichagua ilionyesha kwamba Yehova alikuwa halisi kwake

Huruma nyororo

Tazama “Huruma”

Kudumu katika sala

Zb 141:​1, 2; Ro 12:12; Kol 4:2; 1Th 5:17; 1Pe 4:7

Tazama pia “Sala”

Kumwogopa Yehova

Ayu 28:28; Zb 33:8; Met 1:7

Tazama pia Zb 111:10

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Ne 5:​14-19—Kumwogopa Yehova kulimsaidia Gavana Nehemia asiwatumie vibaya watu wa Mungu kama walivyofanya magavana wengine

    • Ebr 5:​7, 8—Yesu aliweka mfano wa kumwogopa Mungu

Kuonyesha heshima

Flp 2:​3, 4; 1Pe 3:15

Tazama pia Efe 5:33; 1Pe 3:​1, 2, 7

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Hes 14:​1-4, 11—Waisraeli hawamheshimu nabii Musa na Kuhani Mkuu Haruni, jambo ambalo Yehova anaona ni kumkosea heshima Yeye

  • Mt 21:​33-41—Yesu anatumia mfano kuonyesha kitakachowapata wale wanaokosa kuwaheshimu manabii wa Yehova na Mwana Wake

    • Kupendezwa na hali njema ya watu wengine

    • 1Ko 10:24; Flp 2:4; 1Th 5:​14, 15

Kuridhika

Tazama “Kuridhika”

Kushirikiana na wengine

  • Mhu 4:​9, 10; 1Ko 16:16; Efe 4:​15, 16

    • Tazama pia Zb 110:3; Flp 1:​27, 28; Ebr 13:17

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

1Nya 25:​1-8—Mfalme Daudi anawapanga waimbaji na wanamuziki kwa ajili ya utumishi mtakatifu, ambao unategemea washirikiane pamoja

Ne 3:​1, 2, 8, 9, 12; 4:​6-8, 14-18, 22, 23; 5:16; 6:15—Yehova anawabariki watu wake kwa sababu wako tayari kufanya kazi pamoja kwa ushirikiano, hivyo wanajenga upya kuta za Yerusalemu kwa siku 52 tu

Kutokuwa na Ubaguzi

  • Tazama “Kutokuwa na Ubaguzi”

    • Kuvumilia; kustahimili; kuwa imara

    • Mt 24:13; Lu 21:19; 1Ko 15:58; Gal 6:9; Ebr 10:36

Tazama pia Ro 12:12; 1Ti 4:16; Ufu 2:​2, 3

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Ebr 12:​1-3—Mtume Paulo anawatia moyo Wakristo wavumilie akitumia mfano wa Yesu

  • Yak 5:​10, 11—Yakobo anatumia mfano wa uvumilivu wa Ayubu na kueleza jinsi Yehova alivyomthawabisha

    • Kuwa tayari kusamehe

    • Tazama “Kusamehe”

Kuwa wenye kiasi katika mazoea

1Ti 3:​2, 11; Tit 2:2

Tazama pia Met 23:​1-3; 25:16

Kuwaona wengine kuwa bora kuliko sisi

Tazama “Unyenyekevu”

Kuwatia moyo wengine; kuwa mwenye kujenga

Isa 35:​3, 4; Ro 1:​11, 12; Ebr 10:​24, 25

  • Tazama pia Ro 15:2; 1Th 5:11

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Sa 23:​15-18—Yonathani anamtia moyo Daudi, Mfalme Sauli alipokuwa akitaka kumuua

Mdo 15:​22-31—Baraza linaloongoza la karne ya kwanza linatuma barua kupitia wawakilishi wanaosafiri, ambazo zinawatia moyo waabudu wenzao

Maneno yanayofaa, yenye neema

Met 12:18; 16:24; Kol 4:6; Tit 2:​6-8

  • Tazama pia Met 10:11; 25:11; Kol 3:8

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Zb 45:2—Unabii kuhusu Masihi unatabiri kwamba Mfalme aliyechaguliwa na Yehova atazungumza kwa fadhili

Lu 4:22—Watu walivutiwa na maneno yenye neema aliyozungumza Yesu

Rehema

Tazama “Rehema”

Tunda la roho

Tazama “Tunda la Roho ya Mungu”

Uaminifu katika mambo yote

Lu 16:10

Tazama pia Mwa 6:22; Kut 40:16

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Da 1:​3-5, 8-20—Nabii Danieli na wenzake watatu wanasimama imara inapohusu vyakula vinavyokatazwa katika Sheria ya Musa

Lu 21:​1-4—Yesu anatoa pongezi kwa sababu ya imani kubwa inayoonyeshwa na mwanamke mjane anayetoa mchango mdogo

Uhakika katika Yehova

Tazama “Uhakika Katika Yehova”

Ujasiri

Tazama “Ujasiri”

Ujitiisho

Efe 5:21; Ebr 13:17

Tazama pia Yoh 6:38; Efe 5:​22-24; Kol 3:18

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Lu 22:​40-43—Yesu aliweka mfano wa kujitiisha chini ya mapenzi ya Baba yake hata ilipokuwa vigumu sana kufanya hivyo

1Pe 3:​1-6—Mtume Petro anamtumia Sara kama mfano wa kujitiisha unaopaswa kuigwa na wake Wakristo

Ujitoaji-kimungu

1Ti 6:6; 2Pe 2:9; 3:11

Tazama pia 1Ti 5:4; 2Ti 3:12

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Mdo 10:​1-7—Ingawa Kornelio ni mtu wa mataifa, Yehova anatambua kwamba anasali kwake kwa bidii, anamheshimu na kumwogopa Mungu, na ni mkarimu

1Ti 3:16—Yesu aliweka mfano bora wa kujitoa kwa Mungu

Ukaribishaji-wageni

Tazama “Ukaribishaji-Wageni”

Ukarimu

Tazama “Ukarimu”

Ukweli

Tazama “Unyoofu”

Unyenyekevu; kiasi

  • Tazama “Unyenyekevu”

    • Unyoofu

    • Tazama “Unyoofu”

Usafi wa kiadili

2Ko 11:3; 1Ti 4:12; 5:​1, 2, 22; 1Pe 3:​1, 2

  • Tazama pia Flp 4:8; Tit 2:​3-5

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 39:​4-12—Yosefu aliendelea kuwa safi kiadili licha ya kushawishiwa mara kwa mara na mke wa Potifa

Wim 4:12; 8:6—Msichana Mshulami ni mwaminifu kwa mwanamume anayempenda, na anaendelea kuwa safi; kama bustani iliyofungwa

Ushikamanifu

Tazama “Ushikamanifu”

  • Utaratibu

    • Gal 5:25; 1Ti 3:2

    • Tazama pia Flp 3:16

Utii

Tazama “Utii”

Utimilifu

Tazama “Utimilifu”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki