Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 61-64
  • Mitazamo Isiyofaa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mitazamo Isiyofaa
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 61-64

Mitazamo Isiyofaa

Wakristo wanapaswa kuepuka mitazamo gani isiyofaa?

Chuki

Met 10:12; Tit 3:3; 1Yo 4:20

Tazama pia Hes 35:​19-21; Mt 5:​43, 44

  • Chuki yenye uhasama

    • 1Sa 30:6; Efe 4:31; Kol 3:19

    • Tazama pia Yak 3:14

    • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Oba 10-14—Waedomu wanahukumiwa kwa sababu ya kuonyesha chuki yenye uhasama kuwaelekea ndugu zao, Waisraeli

Hasira

Zb 37:​8, 9; Met 29:22; Kol 3:8

Tazama pia Met 14:17; 15:18

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Mwa 37:​18, 19, 23, 24, 31-35—Ndugu za Yosefu wanamshambulia, wanamuuza kuwa mtumwa, na kumdanganya Yakobo ili aamini kwamba mwana wake mpendwa amekufa

Mwa 49:​5-7—Simeoni na Lawi wanahukumiwa kwa sababu ya hasira yao kali iliyowafanya watende kwa ukatili

  • 1Sa 20:​30-34—Akiwa amekasirika sana, Mfalme Sauli anamtukana Yonathani, mwana wake, na kujaribu kumuua

    • 1Sa 25:​14-17—Nabali anawatukana wanaume wa Daudi, na kuhatarisha uhai wa watu wa nyumba yake

    • Kiburi; majivuno

Tazama “Kiburi”

Kimbelembele

Tazama “Kimbelembele”

Kugombana

Flp 2:3; Yak 3:​14-16

  • Kujisifu

    • Gal 5:26; Flp 2:3

    • Tazama pia Met 3:7; 26:12; Ro 12:16

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

2Sa 15:​1-6—Absalomu anajigamba na kujionyesha mbele za watu, akijitahidi kuiba mioyo ya watu ili wasimpende tena Mfalme Daudi, baba yake

Da 4:​29-32—Mfalme Nebukadneza ana kiburi, jambo linalofanya atiwe nidhamu na Yehova

  • Kuogopa wanadamu

    • Zb 118:6; Met 29:25; Mt 10:28

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Hes 13:​25-33—Wapelelezi kumi Waisraeli wanawaogopa maadui wao na kuwafanya watu wengine wawe na woga pia

Mt 26:​69-75—Kuogopa wanadamu kulimfanya mtume Petro amkane Yesu mara tatu

  • Kupenda pesa, vitu vya kimwili

    • Mt 6:24; 1Ti 6:10; Ebr 13:5

    • Tazama pia 1Yo 2:​15, 16

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Ayu 31:​24-28—Ingawa Ayubu ni tajiri, anaepuka mtego wa kupenda vitu vya kimwili

Mk 10:​17-27—Mwanamume kijana tajiri anapenda sana mali zake hivi kwamba hayuko tayari kuziacha na kuwa mfuasi wa Yesu

Kuwa mwadilifu kupita kiasi

Mhu 7:16; Mt 7:​1-5; Ro 14:​4, 10-13

Tazama pia Isa 65:5; Lu 6:37

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Mt 12:​1-7—Yesu anafunua mtazamo wa Mafarisayo wa kuwa waadilifu kupita kiasi

Lu 18:​9-14—Yesu anatumia mfano kuonyesha kwamba watu walio waadilifu kupita kiasi hawapati kibali cha Mungu

Pupa

Tazama “Pupa”

Shaka zenye uovu na shutuma

Ayu 1:​9-11; 1Ti 6:4

Simulizi la Biblia linalohusika:

1Sa 18:​6-9; 20:​30-34—Mfalme Sauli anafikiri kwamba Daudi amekosa ushikamanifu na hata anajaribu kumfanya Yonathani ampinge Daudi

  • Uasi

    • 1Sa 15:23; Yud 4, 8, 10, 11

    • Tazama pia Kum 21:​18-21; Zb 78:​7, 8; Tit 1:10

Ugomvi

Met 26:20; 1Ti 3:​2, 3; Tit 3:2

Tazama pia Met 15:18; 17:14; 27:15; Yak 3:​17, 18

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Mwa 13:​5-9—Ugomvi unazuka kati ya wachungaji wa Abrahamu na wa Loti, lakini Abrahamu anafanya amani

Amu 8:​1-3—Wanaume wa Efraimu wanajaribu kuanzisha ugomvi na Mwamuzi Gideoni, lakini unyenyekevu wake unaleta amani

Ukaidi

Yer 13:10

Tazama pia Yer 7:​23-27; Zek 7:​11, 12

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

2Nya 36:​11-17—Sedekia anajithibitisha kuwa mfalme mwovu na mkaidi, na anawaongoza watu wake kwenye msiba

Mdo 19:​8, 9—Mtume Paulo anaacha kuwahubiria watu ambao ni wagumu, wanaokataa kuamini ujumbe wa Ufalme

  • Ukatili

    • Kum 15:​7, 8; Mt 19:8; 1Yo 3:17

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Mwa 42:​21-24—Ndugu za Yosefu wanakumbuka na kujutia jinsi walivyomtendea Yosefu kwa ukatili

Mk 3:​1-6—Yesu anahuzunishwa sana na mtazamo wa kikatili wa Mafarisayo

Ukosefu wa akili

Mk 7:​21-23; Efe 5:17

Tazama pia 1Pe 2:15

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

  • 1Sa 8:​10-20—Waisraeli wanakataa kumsikiliza nabii Samweli anapowaeleza kwa nini si jambo la hekima kuwa na mfalme mwanadamu

    • 1Sa 25:​2-13, 34—Karibu Nabali asababishe kifo kwa wanaume wote wa nyumba yake alipokataa ombi lisilo dai mengi la kutoa msaada

    • Ukosefu wa heshima

Tazama “Ukosefu wa Heshima”

Unafiki

Tazama “Unafiki”

  • Uvivu

    • Met 6:​6-11; Mhu 10:18; Ro 12:11

    • Tazama pia Met 10:26; 19:15; 26:13

Wivu

Tazama “Wivu”

Wivu; kutamani

  • Ro 13:9; 1Pe 2:1

    • Tazama pia Gal 5:26; Tit 3:3

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Mwa 26:​12-15—Yehova anambariki Isaka anayefanya kazi kwa bidii, na Wafilisti wanaanza kumwonea wivu

1Fa 21:​1-19—Mfalme mwovu Ahabu anatamani shamba la mizabibu la Nabothi, na hilo linasababisha Nabothi ashtakiwe kwa uwongo na kuuawa

  • Woga

    • 2Ti 1:7; Ufu 21:8

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki