Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl kur. 58-61
  • Mazoea Yasiyofaa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mazoea Yasiyofaa
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl kur. 58-61

Mazoea Yasiyofaa

Wakristo wanapaswa kuepuka mazoea gani yasiyofaa?

Ibada ya sanamu

Tazama “Ibada ya Sanamu”

Karamu zenye vurugu

  • Ro 13:13; Gal 5:​19, 21; 1Pe 4:3

    • Tazama pia Met 20:1; 1Ko 10:31

Simulizi la Biblia linalohusika:

Da 5:​1-4, 30—Kwenye ‘karamu yake kubwa,’ Mfalme Belshaza alikunywa kupita kiasi na kufanya uamuzi mbaya sana wa kumkufuru Yehova uliosababisha kifo chake

Kudhihakiwa

  • Met 19:29; 24:9

    • Tazama pia Met 17:5; 22:10; 2Pe 3:​3, 4

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

2Nya 36:​15-21—Watu wa Mungu waasi wanaadhibiwa vikali kwa sababu ya kuwadhihaki wajumbe wake na kuwakejeli manabii wake

Ayu 12:4; 17:2; 21:3; 34:7—Wakati wa jaribu lake kali, Ayubu mwadilifu anadhihakiwa

Kuiba

Tazama “Kuiba”

Kujigamba

Tazama “Kujigamba”

  • Kunung’unika

    • 1Ko 10:10; Flp 2:14; Yud 16

    • Tazama pia Hes 11:1

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Hes 14:​1-11, 26-30—Waisraeli wamnung’unikia Musa na Haruni, lakini Yehova anaona kuwa wanamnung’unikia Yeye

Yoh 6:​41-69—Wayahudi wanamnung’unikia Yesu; baadhi ya wanafunzi wake wanamwacha

Kupiga porojo yenye madhara; kujiingiza katika mambo ya watu wengine

Met 25:23; 1Th 4:11; 2Th 3:11; 1Pe 4:15

Tazama pia Met 20:19; 1Ti 5:13

Kupokea au kutoa rushwa

  • Kut 23:8; Zb 26:​9, 10; Met 17:23

    • Tazama pia Kum 10:17; 16:19; Zb 15:​1, 5

    • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

1Sa 8:​1-5—Badala ya kufuata mfano mzuri wa baba yao, wana wa nabii Samweli wanakubali rushwa na kutotenda kwa haki

Ne 6:​10-13—Shemaya anaajiriwa na wapinzani ili kutoa unabii wa uwongo unaokusudiwa kumwogopesha Gavana Nehemia na kufanya kazi ya Yehova isisonge mbele

Kusema uwongo; kuvunja makubaliano

  • Tazama “Kudanganya”

    • Kusema uwongo; uchongezi

    • Tazama “Kudanganya”

    • Kusifusifu

Ayu 32:​21, 22; Zb 5:9; 12:​2, 3; Met 26:​24-28; 29:5

Tazama pia Met 28:23; 1Th 2:​3-6

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

  • Lu 18:​18, 19—Yesu anakataa cheo chenye kumsifu

    • Mdo 12:​21-23—Mfalme Herode Agripa anakubali kupewa sifa ya kuitwa mungu; naye anauawa kwa sababu ya dhambi hiyo

    • Kutokeza migawanyiko; kuendeleza madhehebu

Ro 16:17; Gal 5:​19, 20; Tit 3:​10, 11; 2Pe 2:1

Tazama pia Mdo 20:​29, 30; 1Ko 1:​10-12; Ufu 2:​6, 15

Kuua

Kut 20:13; Mt 15:19; 1Pe 4:15

Tazama pia Mt 5:​21, 22; Mk 7:21

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Mwa 4:​4-16—Licha ya shauri lenye upendo la Yehova, Kaini anamuua Abeli, ndugu yake mwadilifu

1Fa 21:​1-26; 2Fa 9:26—Pupa inamfanya mfalme mwovu Ahabu na Malkia Yezebeli wapange njama ya kumuua Nabothi na wana wake

Mashindano

Mhu 4:4; Gal 5:26

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Mk 9:​33-37; 10:​35-45—Yesu anawarekebisha mitume wake tena na tena kwa sababu ya mwelekeo wao wa kushindania vyeo vikubwa

3Yo 9, 10—Diotrefe ana tamaa ya “kuwa wa kwanza” kati ya akina ndugu

Matumizi yasiyofaa ya damu

Mwa 9:4; Kum 12:​16, 23; Mdo 15:​28, 29

  • Tazama pia Law 3:17; 7:26

    • Simulizi la Biblia linalohusika:

1Sa 14:​32-34—Waisraeli wanamtendea dhambi Yehova kwa kula nyama bila kumwaga damu yake vizuri

Matusi

Mt 5:22; 1Ko 6:​9, 10; Efe 4:31

  • Tazama pia Kut 22:28; Mhu 10:20; Yud 8

    • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • 2Sa 16:​5-8; 1Fa 2:​8, 9, 44, 46—Shimei anamtukana mfalme mtiwa-mafuta wa Yehova na kupata matokeo mabaya

Mizaha michafu

Efe 5:4; Kol 3:8

Tazama pia Efe 4:​29, 31

  • Mizozo; ukatili

    • Zb 11:5; Met 3:31; 29:22

    • Tazama pia 1Ti 3:​2, 3; Tit 1:7

Simulizi la Biblia linalohusika:

Kut 21:​22-27—Sheria ya Musa inatoa adhabu kwa wanaume wanaowajeruhi wengine au kusababisha kifo kupitia vitendo vya kijeuri

Mwenendo mpotovu; uchafu; ukosefu wa maadili; uzinzi

Tazama “Uasherati”

Ponografia

Tazama “Ponografia”

Ugomvi

Tazama “Kugombana”

Ulafi

Met 23:​20, 21; 28:7

  • Tazama pia Lu 21:​34, 35

    • Ulevi; kunywa kupita kiasi

    • Met 20:1; 23:​20, 29-35; 1Ko 5:11; 6:​9, 10

Tazama pia Efe 5:18; 1Ti 3:8; Tit 2:3; 1Pe 4:3

Tazama pia “Kunywa”

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Mwa 9:​20-25—Noa analewa, na hilo linatokeza fursa kwa Hamu na Kanaani, mwana wake, kufanya dhambi nzito

Da 5:​1-6, 30—Akiwa amelewa divai, Mfalme Belshaza anamtukana Yehova, na kujiletea msiba juu yake mwenyewe na ufalme wake

  • Unyang’anyi

    • Zb 62:10; 1Ko 5:​10, 11; 6:​9, 10

Tazama pia Met 1:19; 15:27

Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

Yer 22:​11-17—Yehova anamshutumu Mfalme Shalumu (Yehoahazi) kwa sababu ya unyang’anyi na dhambi nyingine nzito

  • Lu 19:​2, 8—Zakayo, mkuu wa wakusanya kodi, anatubu dhambi yake ya unyang’anyi na kuahidi kuwarudishia pesa wale aliowatoza kodi nyingi

    • Mdo 24:​26, 27—Mtume Paulo hakumpa Gavana Feliksi rushwa ambayo alikuwa akitarajia

Vitisho

Efe 6:9; 1Pe 2:23

Tazama pia Zb 10:​4, 7; 73:​3, 8

  • Simulizi la Biblia linalohusika:

    • Mdo 4:​15-21—Sanhedrini inawatisha wanafunzi wa Yesu ili kuwafanya waache kazi ya kuhubiri

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki