Ijumaa
“Yehova atawabariki watu wake kwa amani”—Zaburi 29:11
Asubuhi
3:20 Video ya Muziki
3:30 Wimbo Na. 86 na Sala
3:40 HOTUBA YA MWENYEKITI: Yehova Ni “Mungu Anayetoa Amani” (Waroma 15:33; Wafilipi 4:6, 7)
4:10 MFULULIZO: Jinsi Ambavyo Upendo Hutusaidia Kupata Amani ya Kweli
• Upendo kwa Mungu (Mathayo 22:37, 38; Waroma 12:17-19)
• Upendo kwa Jirani (Mathayo 22:39; Waroma 13:8-10)
• Upendo kwa Neno la Mungu (Zaburi 119:165, 167, 168)
5:05 Wimbo Na. 24 na Matangazo
5:15 DRAMA YA USOMAJI WA BIBLIA: Yakobo—Mwanamume Aliyependa Amani (Mwanzo 26:12–33:11)
5:45 “Matokeo ya Uadilifu wa Kweli Yatakuwa Amani” (Isaya 32:17; 60:21, 22)
6:15 Wimbo Na. 97 na Mapumziko
Alasiri
7:35 Video ya Muziki
7:45 Wimbo Na. 144
7:50 MFULULIZO: Shangilia Katika Ahadi za Mungu za Amani
• “Watumishi Wangu Watakula . . . Watumishi Wangu Watakunywa” (Isaya 65:13, 14)
• “Watajenga Nyumba na . . . Watapanda Mashamba ya Mizabibu” (Isaya 65:21-23)
• “Mbwamwitu na Mwanakondoo Watalisha Pamoja” (Isaya 11:6-9; 65:25)
• “Hakuna Mkaaji Atakayesema: ‘Mimi Ni Mgonjwa’” (Isaya 33:24; 35:5, 6)
• “Atameza Kifo Milele” (Isaya 25:7, 8)
8:50 Wimbo Na. 35 na Matangazo
9:00 MFULULIZO: Fuata Ramani Inayoongoza Familia Iwe na Maisha Yenye Amani
• Onyesha Upendo na Heshima (Waroma 12:10)
• Boresha Mawasiliano (Waefeso 5:15, 16)
• Shirikianeni (Mathayo 19:6)
• Mwabuduni Yehova Pamoja (Yoshua 24:15)
9:55 Muunge Mkono kwa Ushikamanifu “Mkuu wa Amani” (Isaya 9:6, 7; Tito 3:1, 2)
10:15 Usidanganywe na Amani ya Uwongo! (Mathayo 4:1-11; Yohana 14:27; 1 Wathesalonike 5:2, 3)
10:50 Wimbo Na. 112 na Sala ya Mwisho