Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm22 kur. 4-5
  • Jumamosi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jumamosi
  • Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2022
  • Habari Zinazolingana
  • Jumapili
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2022
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2022
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2024
  • Jumamosi
    2021 Programu ya Kusanyiko la Eneo
Pata Habari Zaidi
Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2022
CO-pgm22 kur. 4-5
Maumbo ya bluu na kijani.

Jumamosi

“Awapate mkiwa bila doa wala dosari na mkiwa katika amani”​—2 Petro 3:14

Asubuhi

  • 3:20 Video ya Muziki

  • 3:30 Wimbo Na. 58 na Sala

  • 3:40 MFULULIZO: Uwe Tayari Kushiriki “Habari Njema ya Amani”

    • • Dumisha Bidii Yako (Waroma 1:14, 15)

    • • Jitayarishe Vizuri (2 Timotheo 2:15)

    • • Chukua Hatua ya Kwanza (Yohana 4:6, 7, 9, 25, 26)

    • • Fuatia Upendezi (1 Wakorintho 3:6)

    • • Wasaidie Wanafunzi Kufikia Ukomavu (Waebrania 6:1)

  • 4:40 Vijana​—Chagueni Njia Inayoongoza Kwenye Amani! (Mathayo 6:33; Luka 7:35; Yakobo 1:4)

  • 5:00 Wimbo Na. 135 na Matangazo

  • 5:10 VIDEO: Jinsi Ndugu Zetu Wanavyofurahia Amani Licha ya . . .

    • • Upinzani

    • • Magonjwa

    • • Matatizo ya Kiuchumi

    • • Majanga ya Asili

  • 5:45 UBATIZO: Endelea Kutembea “Kwenye Njia ya Amani” (Luka 1:79; 2 Wakorintho 4:16-18; 13:11)

  • 6:15 Wimbo Na. 54 na Mapumziko

Alasiri

  • 7:35 Video ya Muziki

  • 7:45 Wimbo Na. 29

  • 7:50 MFULULIZO: ‘Vua’ Mazoea Yanayoharibu Amani

    • • Kujisifu Isivyofaa (Waefeso 4:22; 1 Wakorintho 4:7)

    • • Wivu (Wafilipi 2:3, 4)

    • • Udanganyifu (Waefeso 4:25)

    • • Porojo Zenye Kuumiza (Methali 15:28)

    • • Hasira Isiyodhibitiwa (Yakobo 1:19)

  • 8:45 DRAMA YA BIBLIA: Yehova Hutuongoza Kwenye Njia ya Amani​—Sehemu ya 1 (Isaya 48:17, 18)

  • 9:15 Wimbo Na. 130 na Matangazo

  • 9:25 MFULULIZO: “Tafuta Amani na Kuifuatilia” . . .

    • • Kwa Kutokasirika Haraka (Methali 19:11; Mhubiri 7:9; 1 Petro 3:11)

    • • Kwa Kuomba Msamaha (Mathayo 5:23, 24; Matendo 23:3-5)

    • • Kwa Kusamehe kwa Hiari (Wakolosai 3:13)

    • • Kwa Kutumia kwa Hekima Zawadi ya Usemi (Methali 12:18; 18:21)

  • 10:15 Dumisha ‘Kifungo Chetu cha Muungano cha Amani’! (Waefeso 4:1-6)

  • 10:50 Wimbo Na. 113 na Sala ya Mwisho

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki