Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm19 kur. 2-3
  • Ijumaa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ijumaa
  • Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2019
  • Habari Zinazolingana
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2022
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2024
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2017
  • Jumapili
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2024
Pata Habari Zaidi
Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2019
CO-pgm19 kur. 2-3
Aina mbalimbali za matunda

Ijumaa

“MMEFUNDISHWA NA MUNGU KUPENDANA”​—1 WATHESALONIKE 4:9

ASUBUHI

  • 3:20 Video ya Muziki

  • 3:30 Wimbo Na. 105 na Sala

  • 3:40 HOTUBA YA MWENYEKITI: “Upendo Haushindwi Kamwe”​—Kwa Nini? (Waroma 8:38, 39; 1 Wakorintho 13:1-3, 8, 13)

  • 4:15 MFULULIZO: Jihadhari Usitegemee Vitu Visivyodumu!

    • Mali (Mathayo 6:24)

    • Cheo na Umaarufu (Mhubiri 2:16; Waroma 12:16)

    • Hekima ya Wanadamu (Waroma 12:1, 2)

    • Nguvu na Urembo (Methali 31:30; 1 Petro 3:3, 4)

  • 5:05 Wimbo Na. 40 na Matangazo

  • 5:15 DRAMA YA USOMAJI WA BIBLIA: Yehova Aliendelea Kuonyesha Upendo Mshikamanifu (Mwanzo 37:1-36; 39:1–47:12)

  • 5:45 Yehova Anawapenda Wanaompenda Mwana Wake (Mathayo 25:40; Yohana 14:21; 16:27)

  • 6:15 Wimbo Na. 20 na Mapumziko

ALASIRI

  • 7:25 Video ya Muziki

  • 7:35 Wimbo Na. 107

  • 7:40 MFULULIZO: Upendo Haushindwi Kamwe Licha ya . . .

    • Kulelewa Katika Familia Isiyo na Upendo (Zaburi 27:10)

    • Mazingira Magumu Kazini (1 Petro 2:18-20)

    • Watu Wasiomwogopa Mungu Shuleni (1 Timotheo 4:12)

    • Matatizo ya Kiafya Yanayodumu (2 Wakorintho 12:9, 10)

    • Umaskini (Wafilipi 4:12, 13)

    • Upinzani Kutoka kwa Familia (Mathayo 5:44)

  • 8:50 Wimbo Na. 141 na Matangazo

  • 9:00 MFULULIZO: Uumbaji Unafunua Upendo wa Yehova

    • Mbingu (Zaburi 8:3, 4; 33:6)

    • Dunia (Zaburi 37:29; 115:16)

    • Mimea (Mwanzo 1:11, 29; 2:9, 15; Matendo 14:16, 17)

    • Wanyama (Mwanzo 1:27; Mathayo 6:26)

    • Mwili wa Mwanadamu (Zaburi 139:14; Mhubiri 3:11)

  • 9:55 “Yehova Huwatia Nidhamu Wale Anaowapenda” (Waebrania 12:5-11; Zaburi 19:7, 8, 11)

  • 10:15 “Jivikeni Upendo” (Wakolosai 3:12-14)

  • 10:50 Wimbo Na. 130 na Sala ya Mwisho

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki