Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 161
  • Ninafurahia Kufanya Mapenzi Yako

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ninafurahia Kufanya Mapenzi Yako
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Shangwe Yetu ya Milele
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sababu za Kuwa na Shangwe
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Sababu za Kuwa na Shangwe
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 161

WIMBO NA. 161

Ninafurahia Kufanya Mapenzi Yako

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 40:8)

  1. 1. Mwanao alipobatizwa

    Ulimpa Neno lako,

    Lilimchochea moyoni

    Atimize kusudi.

    Aliyapinga majaribu.

    Kakweza jina lako.

    Alijitoa kikamili,

    Natamani kumwiga.

    (KORASI)

    Mapenzi yako n’tafanya.

    Nakupa nguvu na moyo.

    Ninapata shangwe nyingi.

    Kutembea nuruni.

    Mapenzi yako n’tafanya.

    Tumaini ni hakika.

    Wanipenda Ee Yehova.

    Nitakusifu wewe.

    Nitafanya.

  2. 2. Nilipokujua Yehova,

    Niliridhika moyoni.

    Nitakutetea kwa shangwe,

    Kweli yako sifichi.

    Kutumika na ndugu zangu,

    Maisha bora sana.

    Sihofu kuitwa Shahidi.

    Nakupa nafsi yangu.

    (KORASI)

    Mapenzi yako n’tafanya.

    Nakupa nguvu na moyo.

    Ninapata shangwe nyingi.

    Kutembea nuruni.

    Mapenzi yako n’tafanya.

    Tumaini ni hakika.

    Wanipenda Ee Yehova.

    Nitakusifu wewe.

    Nitafanya.

    Yote nitafanya.

(Ona pia Zb. 40:3, 10.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki