Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w74 12/1 uku. 534
  • Kutumia Kanuni za Biblia Kuliokoa Ndoa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutumia Kanuni za Biblia Kuliokoa Ndoa
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Habari Zinazolingana
  • Ikiwa Ndoa Imo Katika Hatua ya Kuvunjika
    Siri ya Furaha ya Familia
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1978
  • Heshimu “Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Kujitahidi Kufanya Maendeleo Katika Ndoa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1976
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
w74 12/1 uku. 534

Kutumia Kanuni za Biblia Kuliokoa Ndoa

MKE wa afisa wa polisi katika Massachusetts alianza kujifunza Biblia na mashahidi wa Yehova, lakini mumewe alianza kupinga. Walakini, baada ya kupindi cha kutengana alikubali kujifunza Biblia akitumainia kuiokoa ndoa yake. Lakini maafisa aliokuwa akifanya kazi nao wakaanza kumfanyia mzaha. Kwa sababu hii na mikazo mingine aliacha kujifunza. Karibuni alizirudia njia zake za zamani​—kunywa kupindukia na kuwa na magumu mengi nyumbani. Hii ilileta mtengano mwingine.

Juu ya lililotokea baadaye, yeye anasimulia hivi: “Baada ya muda fulani mke wangu alinipasha habari kwamba alikuwa akitaka kuomba talaka, naye alikuwa na sababu za Maandiko na za halali kufanya hivyo. Kwa kuwa nilikuwa na watoto sita nami nilipendezwa sana nao na mke wangu, sikutaka talaka. Nilimwita Shahidi aliyejifunza nami Biblia hapo kwanza nikamwuliza kama angejifunza nami tena.”

Kwa sababu ya mwanamume huyu kutumia aliyokuwa akijifunza, mkewe alianza kuona kwamba yeye alikuwa akibadili njia zake kweli. Kwa hiyo, alipoulizwa na mumewe kama wangeweza kujaribu tena, alimkubali tena. Wote wawili wameungana sasa katika kujenga maisha yenye furaha ya jamaa kulingana na kanuni zipatikanazo katika Neno la Mungu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki