FAHIRISI YA HABARI ZA “MNARA WA MLINZI,” 1976
BIBLIA
Inavyoweza kusaidia ndoa yako, 1/1 3
Kweli ya, yaenea, 8/15 376
MAFUNZO MAKUU
Aina ya Watu Wanaokubaliwa Kuingia katika Taratibu Mpya ya Mungu, 6/15 280
Endelea Kuwa Thabiti kama Kwamba Unamwona Yeye Asiyeonekana, 8/1 341
Iweni na Juhudi Nyingi katika Kupendana, 3/1 111
“Jaribuni Kuwa kama Yeye,” 7/1 294
Kimbilio Letu Chini ya “Ufalme wa Mbinguni” Usioharibika, 5/15 226
Kuendeleza Maoni Yenye Kusawazika juu ya Wakati, 12/1
Kufunuliwa Wazi kwa Kimbilio la Uongo la Ufalme, 4/1 155
Kujihakikisha Tunastahili Kuingia katika Taratibu Mpya ya Mungu, 6/15 273
Kukimbilia Kimbilio la Kweli la Ufalme, 4/1 164
Kukombolewa Kunakokuja na “Shoka” Lenye Kupinga Dini, 7/15 327
Kumjia Msikiaji wa Sala, 1/1 7
Kumwacha Mungu Awe Mwenye Enzi Kuu wa Maisha Zetu, 5/1 199
Kuonyesha Imani Tushambuliwapo, 12/15 568
Kupatanishwa kwa Rehema ya Mungu Kabla ya Har-Magedoni, 9/15 424
Kutohesabu Maisha Zetu Kuwa Zenye Thamani Mno, 10/1 450
Kutumikia kwa Umoja kama Ushirika wa Ndugu, 6/1 253
Kutumia Neno la Mungu katika Jamaa Zetu Wenyewe, 1/15 27
Lazima Mwe Watakatifu kwa Sababu Yehova Ni Mtakatifu, 8/15 377
Msingi Imara wa Kuwa na Tumaini Hakika, 12/1
’’Nanyi Nyote Ni Ndugu,” 8/1 348
Ni Nani Anayestahili Kuwa Mzee? 2/1 60
Rafiki ya Yehova au Rafiki ya Ulimwengu—Jambo Gani? 8/15 371
Rehema ya Mungu kwa Wanadamu katika Karne Yetu ya Ishirini, 8/15 393
Rehema ya Mungu Yaonyeshwa Wakati wa Har-Magedoni, 9/1 400
Sababu Twauhitaji Ufalme wa Yesu Kristo, 10/15
Serikali Moja Ile ya Ulimwengu Mmoja Chini ya Enzi Kuu ya Mungu, 4/15 183
“Shoka” na Mwenye Kulitumia, 7/15 321
‘Tukiwa Hatuna Kitu Lakini Tukiwa na Vitu Vyote,’ 3/15 131
Tunawafurahia Vijana Wanaotembea katika Njia ya Yehova, 1/15 33
Uaminifu kwa Agano la Ndoa Wamfanya Mungu Aonyeshe Rehema, 9/15 418
Uamuzi wa Hakika Unatakiwa kwa Wale Wanaopata Kimbilio, 5/15 232
Uangalizi Wenye Upendo Hujenga, 11/15 511
Ubora Uliojaribiwa wa Imani Yetu Waleta Sifa na Heshima, 10/1 444
Ukubwa wa Kikristo Hutokana na Kutumikia, 6/1 246
Ulimwengu Mmoja, Serikali Moja, Chini ya Enzi Kuu ya Mungu, 4/15 177
“Umtazame Mtu Mnyofu ” 7/1 301
Upendo wa Kikristo Wenye Msingi wa Upendo wa Yehova, 3/1 105
Usiache Imani Yako Iangamizwe na Kuvunjika Moyo wala Nyutu za Watu, 2/15 90
Usijiache Unaswe na Mitindo na Tafrija, 2/15 84
Usijiache Uondolewe katika Mbio ya Uzima, 2/15 75
Uwe Imara katika Sala, 1/1 13
Vile Unavyoweza Kutia Wengine Nguvu, 11/1 485
Vile Unyenyekevu Unavyoweza Kukulinda, 11/1 491
Vitu Ambavyo “Ufalme wa Mbinguni” Unafanana Navyo, 4/1 149
Wachungaji wa Kundi Chini ya Bwana Mmoja, 11/15 517
Wakati wa Kumchagua Mungu Awe Mwenye Enzi Kuu, 5/1 205
Wazee Wanaosimamia Vema, 2/1 65
Wewe ‘Umeacha Kuweka Hazina Duniani’? 3/15 125
Wewe Utafanyaje Ushambuliwapo na Shetani? 12/15 562
Yesu Kristo Ni Nani Hata Sote Tumhitaji? 10/15
MAFUNZO YA KITABU
Hakuna Kudhuru wala Kuharibu katika Paradiso ya Kiroho. 8/15 363 “Ishara ya Milele,” 7/15 317
Jumuiya ya Wakristo Kukutana Sasa na Uharibifu, 9/15 411
Kuenea kwa Maarifa Yatoayo Uzima, 9/1 387
Kuja kwa Siku ya Bwana Mungu Ni Hakika, 12/1
Kupigana Chini ya “Gogu, wa Nchi ya Magogu,” 10/1 439
Kuzitazamia “Mbingu Mpya na Nchi Mpya,” 11/1 497
“Mbingu Mpya na Nchi Mpya” Zatazamiwa. 12/15 572
Mwisho wa ‘ Mbingu Zilizo Sasa, na Dunia.” 11/15 522
Paradiso ya Kiroho, 6/15 271
Paradiso ya Kiroho juu ya Dunia Chafu, 8/1 352
Taratibu ya Kale ya Wanadamu Itakapoondokea Taratibu Mpya ya Mungu, 10/1 435
Unabii wa Paradiso, 7/1 292
Vita katika “Har-Magedoni,” 10/15
Wachungaji wa Uongo Waondolewa katika Utumishi wa Mungu, 1/1 19
Yehova ni Kimbilio la Mamilioni, 1/15, 46
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Iweni wafadhili, 4/1 147
Kichwa cha Nyumba Yako Ni Nani? 9/15 415
Kujifunza kwa moyo, 6/1 243
Kuwa mkaribishaji, sababu? 3/1 103
Maendeleo katika ndoa, 8/15 366
Maisha ya jamaa yanayofaa, si zamani tu, 11/15 527
Mgeni mwenye busara. 3/15 141
Nyakati za kujifurahisha, 11/1 500
Nyumba yako ikoje? 4/1 154
“Ukomeshe hasira,”4/15 189
“Wafanya kazi wema nyumbani,’ 12/15 558
Wapokeaje shauri? 12/1
Wengine wakukwaze? 3/1 103
“Zawadi katika wanaume, 5/1 197
Zuia mawazo mabaya, 4/15 174
MAMBO MENGINE
Ajali, huongoza wakati ujao? 11/15 507
Arusi, yenye kuonyesha kiasi, 12/1
Arusi ya namna gani? 10/15
Baraza inavoongoza, mabadiliko katika, 6/1 264
Katiba ya Malawi, 5/15 220
Kuoa wanawake wengi, kuliruhusiwa sababu gani? 12/15 555
“Kwa kunikumbuka mimi,” 2/1 51
Maisha yasiyo na udhalimu, 5/1 195
Matendo ya kinyama, 5/15 222
Matendo ya ukatili, 5/15 219
Mateso makali, 6/15 267
Matukio ambayo yangali mbele, 5/1 212
Mchanga, ratili ngapi? 3/1 120
Miaka 6,000 ya kutimizwa kusudi la Yehova, 2/1 55
Miaka 6,000 ya ushuhuda, 1/15 41
Mungu hujali unayeoa? 6/1 261
Mungu mwenye unyenyekevu, 8/15 368
Mwisho wa miaka 6,000, 1/15 38
Panya “watakatifu,” 2/15 77
’Sema moyoni mwako,’ 9/1 391
Tutalisha jirani? 3/15 123
Uhuru wa ibada, wamalizwa, 7/1 291
Uje mlangoni kwangu, sababu gani? 11/1 483
Ulimwengu usio na uvunjaji wa sheria, 2/15 75
Umaskini unaoongezeka, 3/1 99
Utajiri wala umaskini, usiache uwe uangamivu wako, 4/15 175
Uuaji wa kitoto kisichozaliwa, 2/1 71
Viapo, kula, 6/1 244
Vifo vya “cancer,” 2/15 89
“Vilemba vingi,” 8/15 370
Wakati wa kutojali yanayosemwa, 8/1 339
Wakosa kuvumiliwa, 7/15 315
Wakosa kuvumiliwa (2), 8/1 356
Wivu, uwezo wenye kuharibu wa, 11/15 509
Yona. yaliyompata 4/15 171
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Kuapa kortini, sawa? 12/1
‘Kutaka damu’ kwa mnyama, 2/1 72
Mkristo aliyetiwa mafuta akitengwa, 5/15 239
Mtu ahubiri kabla ya kubatizwa? 10/1 455
Wake, kama hawana, 3/15 143
Walifufuliwa, wakati wa kufa kwa Yesu? 3/1 120
Watiwa mafuta, watakufa taratibu mpya? 11/1 502