Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w80 12/15 uku. 24
  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1980

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1980
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Vichwa vidogo
  • BIBLE
  • MAFUNZO YA KITABU
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • YEHOVA MUNGU
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
w80 12/15 uku. 24

Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1980

BIBLE

Ezra Akazia Haki ya Hukumu na Rehema 1/15

Mahubiri ya Mlimani:

“Basi Ninyi Salini Hivi” 5/1

“Endeleeni Kuomba” 9/1

“Ingieni kwa kupitia Mlango Ulio Mwembamba” 9/15

‘Iweni Wakamilifu’ 2/1

Je! Wote wataingia Katika Ufalme? 11/1

“Jiwekeeni Hazina Mbinguni” 6/15

“Msalipo, . . . ” 3/15

‘Msihangaike’ 7/15

“Msihukumu” 8/15

“Msishindane na Mtu Mwovu” 1/15

“Ufungapo Jipake Mafuta Kichwani” 6/1

“Usiape Kabisa” 1/1

‘Yasikieni Maneno Hayo, na Kuyafanya’ 11/15

‘Zawadi Zenu za Rehema na Zitolewe Sirini’ 2/15

Mwenye Hekima Alikuwa na Maana Gani 6/1

“Neno la Mungu Li Hai”: Abigaili, Mwanamke Mwenye Akili Nyingi Sana 12/1

Sababu Matoleo ya Asali Hayakukubaliwa 4/15

Upendo Thabiti wa Msichana 10/1

MAFUNZO YA KITABU

“Kiumbe Kipya” Chaanza Kutenda! 1/15

Kuzaliwa Kupitia kwa Roho Takatifu 1/1

Mataraja ya Taratibu Mpya! 5/1

“Mkutano Mkubwa” Waliitia Jina Lile 3/15

Roho Takatifu Kama Mwombezi 2/15

Roho Yamtegemeza Mfalme wa Nasaba ya Daudi 4/15

“Roho ya Uhai Itokayo kwa Mungu Ikawaingia” 3/1

Taratibu Inayokuja Inayotegemezwa na Roho Takatifu 4/1

Ushuhuda Watolewa Kuumba Kote Kabla ya 70 W.K. 2/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Angalia Usiwatungie Wengine Nia Mbaya 9/15

Baraka za Umoja wa Kidugu 10/15

Je! Waweza Kukubali Makosa Yako? 6/1

Je! Wewe ‘Wafunua Kosa’ 11/15

Jihadhari Usije Ukawakwaza Wengine 11/1

Ndoa za Kati ya Washiriki wa Karibu wa Jamaa Wakristo Wazioneje? 9/1

Ngono Bila Ndoa​—⁠Sababu Inaumiza 8/15

Nguvu Zenye Kuchochea za Ukarimu wa Kristo 11/1

“Si Shauri Langu” 8/15

Tumaini​—⁠Uwezo kwa Ajili ya Kuvumilia 4/15

Upaji wa Kikristo​—⁠Ni wa Maana Kadiri Gani? 9/1

Upendo Wako ni Halisi Kadiri Gani? 9/1

Wanawahitaji Rafiki Zao 6/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Ahadi ya Mungu Juu ya Serikali Yake ya Ulimwengu Yategemeka 5/15

Baada ya Matengenezo ya Dini Kuharibiwa, Njia Gani? 8/15

“Ee Mlinzi, Habari Gani za Usiku? 12/15

“Funguo” za Serikali Kuu Zaidi Zatumiwa 3/15

“Funguo za Ufalme” na “Mkutano Mkubwa” 3/15

Yehova, Tumaini Letu la Kuingia Taratibu Mpya 2/1

Iweni na Uhodari!​—⁠Miaka Elfu Imekaribia 4/1

Je! Wewe U Raia Mshikamanifu wa Serikali ya Mungu? 7/1

“Kikombe” Ambacho Mataifa Yote Watalazimika Kunywea Mkononi mwa Mungu 3/1

Kuchagua Njia Bora Zaidi ya Maisha 9/1

Kufaidika Kutokana na “Mpatanishi Mmoja Kati ya Mungu na Wanadamu” 4/15

Kuhimizwa na ‘Tumaini Letu Lenye Uzima’ 6/15

Kuishi Kulingana na Uchaguzi Wetu 9/1

Kuishi Sasa Katika Hiyo “Siku ya Mwisho” ya Ufufuo 1/1

Kukombolewa na Kuokoka Jumuiya ya Wakristo Iangukapo 5/15

Kumfurahia “Mungu wa Tumaini” 6/15

Kumwomba Yehova Ili Usikiwe 11/15

Kunena Neno la Yehova kwa Ujasiri 6/1

Kusonga Mbele Baada ya Kupata “Imani” 10/15

Kuteketeza Biblia kwa Kisasa Kwashindwa Kutimiza kusudi Lake 7/15

Kutokuwamo kwa Kikristo Vita ya Mungu Ikaribiapo 4/15

Kuupandia Mbegu Ufalme wa Mungu 12/1

Kuvuna Matunda Yanayoufaa Ufalme wa Mungu 12/1

“Mchungaji” wa Kifalme wa Unabii wa Biblia 2/15

“Mfalme wa Mataifa”​—⁠Msaada Wetu Peke Yake 2/1

Mlinzi Akasema: “Umeanguka” 12/15

Msiba Unaowaelekea Wanadini Wote wa Ulimwengu 9/1

Mtumikie “Mfalme wa Mataifa” Ukaokoke 7/15

Mwangaza wa Sikukuu 8/1

“Nifuateni, Nami Nitawafanya wavuvi wa Watu” 6/1

“Njia ya Uzima” au “Njia ya Mauti”​—⁠Njia Gani? 2/15

Sababu Gani Jumuiya ya Wakristo Haitaokoka? 1/15

Sababu Matumaini Yetu Mema Yatatimizwa Bila Shaka 9/15

Serikali ya Mungu​—⁠Tumaini Pekee 7/1

Sikukuu Itakayosherehekewa na Mabilioni 8/1

Sikukuu za Furaha 8/1

Taabu ya Yakobo na Agano Jipya la Mungu 5/1

“Tini” Zinazofurahisha Hata Mungu 3/1

“Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu” 11/1

Tumaini la Viumbe​—⁠Latazamia Kutimizwa 9/15

‘Tumia Kila Namna ya Sala na Kusihi’ 11/15

Ubatizo​—⁠Wonyesho wa Imani 10/15

Upendo​—⁠“Njia Bora Zaidi” 10/1

“Upendo Una Nguvu Kama Mauti” 10/1

Wafufuliwa​—⁠“Kila Mmoja Mahali Pake” 1/1

Wakisema “Amani” Wakati Haipo 1/15

“Waliokufa Katika Kristo Watafufuliwa Kwanza” 1/1

Wategemezwa na Tumaini la Mileani 4/1

MAMBO MENGINE

Ahadi ya Wakati Ujao Ulio Bora 9/15

Amani Ambayo Katika Hiyo Umoja wa Ulimwengu Unategemea 5/15

Ayubu​—⁠Kielelezo cha Mwenendo wa Utawa 7/1

Endelea Kulinda 12/15

Je! Amani ni Tumaini la Kitambo Tu? 5/15

Je! Mileani ya Amani ni Ndoto Tu? 4/1

Je! Serikali ya Kibinadamu Yaweza kutimiza Mahitaji Hayo? 7/1

Je! Wakumbuka? 2/1; 6/1; 12/1

Je! Wewe Unaheshimu Wafu? 11/15

Jinsi Ambavyo Amani Yaweza Kupatikana Duniani 5/15

Kutakuwako Baraka Gani Wakati wa Ile Miaka Elfu? 5/1

Maandiko ya Kila Siku ya Juni-Desemba 1980 Mahitaji Wanayotazamia Watu Kutimiziwa na Serikali 7/1

Mileani​—⁠Ni Nini? 4/1

Mji Uliolindwa na Yehova 3/1

Ni Nani Anayetaka Maumivu? 10/1

Serikali za Wanadamu Zapondwa na Ufalme wa Mungu 4/15

Ufahamu Katika Habari: Kuhesabu Wakatoliki 10/15

Waja​—⁠Ulimwengu Usio na Maumivu 10/1

‘Wamwachao Yehova Wataangamia’ 5/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Badiliko Kubwa 2/1 Historia ya Kisasa​—⁠Ufaransa 12/15

Jitihada Zake Zilibarikiwa 12/1

Maneno Yenye Fadhili Yaweza Kuwa na Matokeo Mazuri 2/1

Rwanda​—⁠Nchi Ambayo Subira ya Yehova Haikuwa ya Bure 11/15

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

“Endelea na Kazi Mpaka Imalizike” 12/1

Imani Katika Mungu Ilinitegemeza 10/1

Kuendeleza Imani Pamoja na Mume Wangu 10/15

Twashukuru Kwamba Yehova Alijibu Sala Zetu 8/15

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Bakshishi (Zawadi) za Krismas 5/15

Mikaeli ‘asimama’ 6/1

Mkristo aliyebatiziwa atiwe kiungo cha mwili? 9/1

Torati yatoa adhabu ya kifo 6/1

Tulitalikana, je! niko huru kuoa? 11/1

Ukoo wa Hiramu 1/1

Wakorintho wadai kuwa wa Kefa 6/1

Yehova alishindwa kumlinda Daudi? 12/1

Yesu ‘alijaribiwa’ 6/15

Yesu arudi katika mwili? 11/1

Yesu “Mpatanishi” wa watiwa mafuta peke yao? 1/1

YEHOVA MUNGU

Je! Mungu Ana Jina? 7/15

Jina la Mungu Katika Historia ya Kale 7/15

Jina la Mungu Katika Nyakati za Baadaye 8/1

Nguvu Zinazotegemeza Ulimwengu​—⁠Je! ni Nguvu Isiyofahamika au ni Mtu Halisi 7/15

Ni Nini Yaliyo Maoni Yako Juu ya Jina la Mungu? 8/1

YESU KRISTO

Alizaliwa Wakati Gani? 10/15

Kufuata Hatua za Bwana 11/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki