Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1980
BIBLE
Ezra Akazia Haki ya Hukumu na Rehema 1/15
Mahubiri ya Mlimani:
“Basi Ninyi Salini Hivi” 5/1
“Endeleeni Kuomba” 9/1
“Ingieni kwa kupitia Mlango Ulio Mwembamba” 9/15
‘Iweni Wakamilifu’ 2/1
Je! Wote wataingia Katika Ufalme? 11/1
“Jiwekeeni Hazina Mbinguni” 6/15
“Msalipo, . . . ” 3/15
‘Msihangaike’ 7/15
“Msihukumu” 8/15
“Msishindane na Mtu Mwovu” 1/15
“Ufungapo Jipake Mafuta Kichwani” 6/1
“Usiape Kabisa” 1/1
‘Yasikieni Maneno Hayo, na Kuyafanya’ 11/15
‘Zawadi Zenu za Rehema na Zitolewe Sirini’ 2/15
Mwenye Hekima Alikuwa na Maana Gani 6/1
“Neno la Mungu Li Hai”: Abigaili, Mwanamke Mwenye Akili Nyingi Sana 12/1
Sababu Matoleo ya Asali Hayakukubaliwa 4/15
Upendo Thabiti wa Msichana 10/1
MAFUNZO YA KITABU
“Kiumbe Kipya” Chaanza Kutenda! 1/15
Kuzaliwa Kupitia kwa Roho Takatifu 1/1
Mataraja ya Taratibu Mpya! 5/1
“Mkutano Mkubwa” Waliitia Jina Lile 3/15
Roho Takatifu Kama Mwombezi 2/15
Roho Yamtegemeza Mfalme wa Nasaba ya Daudi 4/15
“Roho ya Uhai Itokayo kwa Mungu Ikawaingia” 3/1
Taratibu Inayokuja Inayotegemezwa na Roho Takatifu 4/1
Ushuhuda Watolewa Kuumba Kote Kabla ya 70 W.K. 2/1
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Angalia Usiwatungie Wengine Nia Mbaya 9/15
Baraka za Umoja wa Kidugu 10/15
Je! Waweza Kukubali Makosa Yako? 6/1
Je! Wewe ‘Wafunua Kosa’ 11/15
Jihadhari Usije Ukawakwaza Wengine 11/1
Ndoa za Kati ya Washiriki wa Karibu wa Jamaa Wakristo Wazioneje? 9/1
Ngono Bila Ndoa—Sababu Inaumiza 8/15
Nguvu Zenye Kuchochea za Ukarimu wa Kristo 11/1
“Si Shauri Langu” 8/15
Tumaini—Uwezo kwa Ajili ya Kuvumilia 4/15
Upaji wa Kikristo—Ni wa Maana Kadiri Gani? 9/1
Upendo Wako ni Halisi Kadiri Gani? 9/1
Wanawahitaji Rafiki Zao 6/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Ahadi ya Mungu Juu ya Serikali Yake ya Ulimwengu Yategemeka 5/15
Baada ya Matengenezo ya Dini Kuharibiwa, Njia Gani? 8/15
“Ee Mlinzi, Habari Gani za Usiku? 12/15
“Funguo” za Serikali Kuu Zaidi Zatumiwa 3/15
“Funguo za Ufalme” na “Mkutano Mkubwa” 3/15
Yehova, Tumaini Letu la Kuingia Taratibu Mpya 2/1
Iweni na Uhodari!—Miaka Elfu Imekaribia 4/1
Je! Wewe U Raia Mshikamanifu wa Serikali ya Mungu? 7/1
“Kikombe” Ambacho Mataifa Yote Watalazimika Kunywea Mkononi mwa Mungu 3/1
Kuchagua Njia Bora Zaidi ya Maisha 9/1
Kufaidika Kutokana na “Mpatanishi Mmoja Kati ya Mungu na Wanadamu” 4/15
Kuhimizwa na ‘Tumaini Letu Lenye Uzima’ 6/15
Kuishi Kulingana na Uchaguzi Wetu 9/1
Kuishi Sasa Katika Hiyo “Siku ya Mwisho” ya Ufufuo 1/1
Kukombolewa na Kuokoka Jumuiya ya Wakristo Iangukapo 5/15
Kumfurahia “Mungu wa Tumaini” 6/15
Kumwomba Yehova Ili Usikiwe 11/15
Kunena Neno la Yehova kwa Ujasiri 6/1
Kusonga Mbele Baada ya Kupata “Imani” 10/15
Kuteketeza Biblia kwa Kisasa Kwashindwa Kutimiza kusudi Lake 7/15
Kutokuwamo kwa Kikristo Vita ya Mungu Ikaribiapo 4/15
Kuupandia Mbegu Ufalme wa Mungu 12/1
Kuvuna Matunda Yanayoufaa Ufalme wa Mungu 12/1
“Mchungaji” wa Kifalme wa Unabii wa Biblia 2/15
“Mfalme wa Mataifa”—Msaada Wetu Peke Yake 2/1
Mlinzi Akasema: “Umeanguka” 12/15
Msiba Unaowaelekea Wanadini Wote wa Ulimwengu 9/1
Mtumikie “Mfalme wa Mataifa” Ukaokoke 7/15
Mwangaza wa Sikukuu 8/1
“Nifuateni, Nami Nitawafanya wavuvi wa Watu” 6/1
“Njia ya Uzima” au “Njia ya Mauti”—Njia Gani? 2/15
Sababu Gani Jumuiya ya Wakristo Haitaokoka? 1/15
Sababu Matumaini Yetu Mema Yatatimizwa Bila Shaka 9/15
Serikali ya Mungu—Tumaini Pekee 7/1
Sikukuu Itakayosherehekewa na Mabilioni 8/1
Sikukuu za Furaha 8/1
Taabu ya Yakobo na Agano Jipya la Mungu 5/1
“Tini” Zinazofurahisha Hata Mungu 3/1
“Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu” 11/1
Tumaini la Viumbe—Latazamia Kutimizwa 9/15
‘Tumia Kila Namna ya Sala na Kusihi’ 11/15
Ubatizo—Wonyesho wa Imani 10/15
Upendo—“Njia Bora Zaidi” 10/1
“Upendo Una Nguvu Kama Mauti” 10/1
Wafufuliwa—“Kila Mmoja Mahali Pake” 1/1
Wakisema “Amani” Wakati Haipo 1/15
“Waliokufa Katika Kristo Watafufuliwa Kwanza” 1/1
Wategemezwa na Tumaini la Mileani 4/1
MAMBO MENGINE
Ahadi ya Wakati Ujao Ulio Bora 9/15
Amani Ambayo Katika Hiyo Umoja wa Ulimwengu Unategemea 5/15
Ayubu—Kielelezo cha Mwenendo wa Utawa 7/1
Endelea Kulinda 12/15
Je! Amani ni Tumaini la Kitambo Tu? 5/15
Je! Mileani ya Amani ni Ndoto Tu? 4/1
Je! Serikali ya Kibinadamu Yaweza kutimiza Mahitaji Hayo? 7/1
Je! Wakumbuka? 2/1; 6/1; 12/1
Je! Wewe Unaheshimu Wafu? 11/15
Jinsi Ambavyo Amani Yaweza Kupatikana Duniani 5/15
Kutakuwako Baraka Gani Wakati wa Ile Miaka Elfu? 5/1
Maandiko ya Kila Siku ya Juni-Desemba 1980 Mahitaji Wanayotazamia Watu Kutimiziwa na Serikali 7/1
Mileani—Ni Nini? 4/1
Mji Uliolindwa na Yehova 3/1
Ni Nani Anayetaka Maumivu? 10/1
Serikali za Wanadamu Zapondwa na Ufalme wa Mungu 4/15
Ufahamu Katika Habari: Kuhesabu Wakatoliki 10/15
Waja—Ulimwengu Usio na Maumivu 10/1
‘Wamwachao Yehova Wataangamia’ 5/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
Badiliko Kubwa 2/1 Historia ya Kisasa—Ufaransa 12/15
Jitihada Zake Zilibarikiwa 12/1
Maneno Yenye Fadhili Yaweza Kuwa na Matokeo Mazuri 2/1
Rwanda—Nchi Ambayo Subira ya Yehova Haikuwa ya Bure 11/15
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
“Endelea na Kazi Mpaka Imalizike” 12/1
Imani Katika Mungu Ilinitegemeza 10/1
Kuendeleza Imani Pamoja na Mume Wangu 10/15
Twashukuru Kwamba Yehova Alijibu Sala Zetu 8/15
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Bakshishi (Zawadi) za Krismas 5/15
Mikaeli ‘asimama’ 6/1
Mkristo aliyebatiziwa atiwe kiungo cha mwili? 9/1
Torati yatoa adhabu ya kifo 6/1
Tulitalikana, je! niko huru kuoa? 11/1
Ukoo wa Hiramu 1/1
Wakorintho wadai kuwa wa Kefa 6/1
Yehova alishindwa kumlinda Daudi? 12/1
Yesu ‘alijaribiwa’ 6/15
Yesu arudi katika mwili? 11/1
Yesu “Mpatanishi” wa watiwa mafuta peke yao? 1/1
YEHOVA MUNGU
Je! Mungu Ana Jina? 7/15
Jina la Mungu Katika Historia ya Kale 7/15
Jina la Mungu Katika Nyakati za Baadaye 8/1
Nguvu Zinazotegemeza Ulimwengu—Je! ni Nguvu Isiyofahamika au ni Mtu Halisi 7/15
Ni Nini Yaliyo Maoni Yako Juu ya Jina la Mungu? 8/1
YESU KRISTO
Alizaliwa Wakati Gani? 10/15
Kufuata Hatua za Bwana 11/1