Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1985
BIBLIA
Biblia—Kitabu Kinachopasa Kusomwa 6/15
Kitabu cha Imani Kamili 3/1 Mianzo ya Wafalme Katika Israeli 1/15
Soma na Ujifunze Kutokana na Vitabu Viwili vya Mambo ya Nyakati 9/1
Ufahamu Kutokana na Vitabu Viwili vya Wafalme 5/1
MAISHA NA HUDUMA YA YESU
(Kuanzia toleo la Agosti 1, 1985.)
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Udhaifu Huo Unaweza Kushindwa 3/15
‘Tiini‘ kwa Sababu Gani 2/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Alitangazwa Kuwa Mwadilifu Akiwa Rafiki ya Mungu 12/1
Amani, Usalama, na Ile ‘Sanamu ya Mnyama.’ 10/1
“Chukizo Kuu” Linashindwa Kuleta Amani 10/1
Chukua Hatua Mara Moja Juu ya “Ishara”! 7/1
Elekeza Wapya Kwenye Tengenezo la Mungu 4/1
Endeleeni Kuwa “Bila Doa Kutokana na Ulimwengu” 3/15
Endeleeni Kuwa Tayari! 5/1
Fundisha kwa Ustadi na Bidii 8/1
Huduma Yenye Matokeo Inayoongoza Kwenye Wanafunzi Zaidi 1/15
“Inabaki Wakati Kidogo” 4/15
“Israeli Wote Wataokolewa” 2/15
Je! Mambo Yaliyotimizwa na Wanadamu Yanaweza Kuondosha Msiba? 6/15
Je! Wewe Unathamini Urithi Wako? 4/15
Je! Wewe Unaweza Kujitayarisha Sasa kwa Ajili ya Mateso? 11/15
Jizoeze Utawa Kuwa Lengo Lako 8/15
“Kondoo Wengine” na Chakula cha Jioni cha Bwana 3/1
Kuangaza Nuru Katikati ya Giza la Dunia 7/15
Kufanya Kazi Pamoja na Mtengenezaji wa Ulimwengu Wote 8/1
‘Kufuatia Mradi’ 5/15
Kuiona “Ishara” kwa Ufahamu 7/1
Kujenga kwa Vitu Visivyoweza Kuchomwa na Moto 1/1
Kujipatanisha na “Akili ya Yehova” kama Inavyofunuliwa Sasa 2/1
Kupata Furaha Katika Zawadi ya Ndoa 11/1
Kutoa Ushuhuda Kunaleta Ongezeko la Ufalme 6/1
“Mnapaswa Kuwa Walimu” 4/1
Mzoeze Mtoto Wako Asitawishe Utawa 8/15
Nafasi Kubwa Zaidi ya Vijana 8/15
Namna ya Kuwa Wahudumu Wenye Matokeo 1/15
Ni Lazima Wakristo wa Kweli Wote Wawe Wahudumu? 1/15
“Ni Nani Amepata Kujua Akili ya Yehova?” 2/1
Ni Nani Awezaye Kuisoma “Ishara” Sawasawa? 7/1
”Ninyi Ni Chumvi ya Dunia” 12/15
Nisani 14—Siku ya Kukumbukwa 3/1
Sababu kwa Nini Ni Lazima Tusiwe Sehemu ya Ulimwengu Huu 3/15
Serikali Inayotimiza Mambo Asiyoweza Mwanadamu 6/15
“Taifa” Linalolisha Mamilioni ya Watu Wenye Njaa 10/15
“Taifa” Linaloujaza Matunda Uso wa Dunia 10/15
Tangaza Ufalme wa Mungu Kote Kote 12/15
Wanahitajiwa kwa Haraka—Wafanya Kazi Zaidi wa Mavuno! 12/15
“Timiza kwa Ukamili Huduma Yako” 5/15
Unapofundisha, Fikia Moyo 1/1
Usizishiriki Dhambi za Wengine 11/15
Uzuri wa Utu wa Kikristo 11/1
Wahudumu wa Mungu Wanathibitisha Kustahili Kwao 9/1
Wahudumu wa Ufalme Wanaelekeana na Ubishi 9/1
Wakristo wa Kweli Ni Wahubiri wa Ufalme 8/1
Waliosafishwa na Wenye Bidii kwa Ajili ya Kila Kazi Njema 4/15
Wanatangazwa Kuwa Waadilifu “ili Wapate Uzima” 12/1
Watumishi wa Huduma—Dumisheni Msimamo Mzuri! 9/15
Watumishi wa Huduma Ni Baraka kwa Watu wa Yehova 9/15
Wazee, Chukueni kwa Uzito Madaraka Yenu ya Uchungaji 11/15
Wenye Furaha Ni Wale Wanaokutwa Wakilinda! 5/1
Wenye Umoja Katika Kutangaza Neno la Yehova 6/1
Wewe Ni Tofauti na Ulimwengu Jinsi Gani? 9/1
Yehova ‘Ayahimiza’ 7/15
MAMBO MENGINE
Amani na Usalama—Kupitia Ufalme wa Mungu 10/15
Amani na Usalama—Kutoka Chanzo Gani? 10/1
Amani na Usalama Ndilo Tumaini 10/1
Amani na Usalama Ndio Uhitaji 10/15
Chuki ya Kitaifa Yasahauliwa 11/1
Dini Imepata Nguvu Mpya au Ina Ugumu wa Kiroho? 3/1
Dini Inaweza Kumaliza Ugumu Uliopo? 3/1
Endeleeni Kuepuka Mtego wa Pupa 9/15
Figo” na “Moyo” Katika Maandiko 2/1
Har–Magedoni—Itatoka kwa Mungu wa Upendo? 7/1
Har–Magedoni—Kwa Nini Inasemwa Sana? 6/1
Har–Magedoni, Mashariki ya Kati, na Biblia 6/15
Har–Magedoni—Si Mambo Haya 6/1
Har–Magedoni—Vita Inayoongoza Kwenye Amani ya Kweli 7/15
Iweni Waaminifu kwa Mungu “Aonaye Sirini” 10/1
Je! Dini na Siasa Zimo Katika Mwendo wa Kugongana?8/1
Je! Dini na Siasa Zina Urafiki Wenye Kudumu? 8/1
Je! Wanadamu Wanaweza Kupatana Juu ya Utatuzi? 4/15
Je! Wewe Unaitafuta Kabisa Kabisa Imani ya Kweli? 3/1
Je! Wewe Una Msimamo Unaofaa na Mungu? 12/1
Je! Wewe Unaweza ‘Kupanua Eneo Lako’ Ukiwa Painia?9/15
Jihadhari na Adui Yako, Ibilisi! 4/1
Jinsi Tazamio la Kikristo Lilivyofifia 5/1
Katika Umoja na Muumba wa Tengenezo la Ulimwenguni Pote 8/15
Kile Kiungo cha Kustaajabisha—Moyo Wetu! 2/1
Kizazi Chetu cha Kukatisha Tamaa 4/15
Kubali Msaada wa Mungu Ushinde Makosa ya Siri 10/15
Kujipatia Faraja Kutokana na Neno la Mungu 9/15
Kukazania Ukomavu wa Kikristo 11/1
Kupata Kusudi Katika Maisha 10/15
Kusitawisha Urafiki Ulio Bora Zaidi Katika Ulimwengu Wote12/1
Kutenda Watu Unyama—Mwisho Wake Ni Karibu! 5/15
‘Kutendea Wengine kama Unavyotaka Wakutendee’ 10/15
Kutokumtegemea Mungu—Sababu Gani Hakufai? 11/1
Kwa Sababu Gani Tusali Kuomba Ufalme wa Mungu? 11/15
Maisha Duniani—Je! Ni Safari ya Kupitia Tukielekea Mbinguni? 7/15
Makimbio ya Kuepa Mtawala wa Kutumia Mabavu 10/15
Maoni Yaliyosawazika ya Kulinda Heshima Yako 1/1
Mashariki ya Kati Ndiyo Uwanja wa Har–Magedoni? 6/15
“Mimi Nilijawa na Uchangamfu” 11/1
Mipaka ya Uhuru 11/1
“Moyo” Katika Neno la Mungu, Biblia 2/1
Mtu Kutenda Mwenzake Unyama 5/15
Mwisho wa Vita Vyote—Je! Unaweza Kufikiwa? 7/15
Namna Unavyoweza Kuvumilia Misiba 9/15
“Nataka Kuwa Mkristo Asiyeacha Msimamo Wake” 11/1
Ni Jambo Gani Linalopata Maisha ya Jamaa? 3/15
‘Nyakati Zetu za Hatari’—Jamaa Yako Inahusikaje? 3/15
Sababu Gani Wewe Unataka Kutoa Hotuba ya Biblia? 10/1
Sababu Inayofanya Iwe Lazima Har–Magedoni Ipiganwe 7/1
Simama Imara Ushindane na Hila za Shetani! 4/1
Tatizo Linalohusu Kukopa Pesa 9/15
‘Tuendelee Kutembea kwa Utaratibu Katika Kawaida li Hii’ 11/15
Uadilifu Mbele za Mungu—Jinsi Gani? 12/1
Ufalme wa Mungu—Ndio Utatuzi Hakika 4/15
Ulimwengu Uliojawa na Misiba 9/15
Umeenda Wapi Ulinzi wa Wakristo? 5/1
Unaweza Kuwa na Wakati Ujao Wenye Furaha 2/15
Upendo, “Kifungo Kikamilifu cha Muungano” 12/1
Urafiki Ulio Bora Zaidi Unadumu Katika Ulimwengu Usio na Urafiki 12/15
Utafutaji wa Usawa 8/15
Wamisionari Wapya Wanajitahidi Kufanikiwa Kweli Kweli 12/1
‘Wanapamba Mafundisho ya Mungu Wetu’ 10/1
Watu Wote Ni Sawa—Jinsi Gani? 8/15
Wewe Ungefikia Hatua Gani Katika Kulinda Heshima Yako? 1/1
Wewe Unapangiaje Wakati Ujao?2/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
Mahakama Kuu Zaidi ya Uturuki Yaachilia Mashahidi wa Yehova 10/15
Mpanuko Kwenye “Kitovu” 9/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Ikiwa Mkristo hawezi kuwa kwenye Chakula cha Jioni cha Bwana 3/1
Ikiwa mtoto wa mzee wa kundi ana hatia ya kosa zito 2/1
Ingekuwa vibaya kuvuta sigareti zisizo na tumbaku? 2/1
Je! “magugu” yanatia ndani wale ambao hivi majuzi wamekuwa waasi-imani 5/15
Je! mabaki wapakwa-mafuta ni sehemu ya tengenezo la Yehova la kimbingu? 10/15
Je! Mashahidi wa Yehova wanahesabu uzoelevu wa kunywa pombe kuwa ugonjwa? 6/15
Je! wale wa “mkutano mkubwa” wanakuwa sehemu ya tengenezo la Yehova la ulimwengu wote? 10/15
Kupanga uzazi kwa kufungwa nguvu za uzazi? 10/1
Kwa sababu gani Stefano katika Matendo 7:14 alisema kulikuwako watu 75? 7/15
Maneno “upendo wa wengi zaidi utapoa” yanamaanisha litatukia kati ya waabudu wa kweli sasa? 5/15
Mtu akiisha kuwa mmoja wa Mashahidi wa Yehova, je! anahesabiwa sikuzote kuwa hivyo? 4/1
Mtume Paulo alikuwa sehemu ya baraza linaloongoza? 12/1
Musa angewezaje kuandika kwamba ‘Musa alikuwa mpole sana zaidi ya wanadamu wote’? 4/1
Ni katika maana gani Yesu alipewa “Jina lile lipitalo kila jina”? 1/1
Ni kwa jinsi gani roho takatifu inafanya kazi na Baraza Linaloongoza katika kuwekwa rasmi kwa wazee? 8/1
Nyoka alimpashaje Hawa habari? 2/15
Tangazo Rasmi la Kuahidi Uaminifu katika uhusiano wa Ndoa 11/1
Tutendeje juu ya shughuli za jumuiya ya watu? 1/15
Waangalizi wote leo wangeweza kuitwa ‘watiwa mafuta’? 1/1
NENO LA MUNGU LI HAI
Fuata Mfano wa Hana, Fuata Mfano wa Mwanaye 6/15
Mradi Wako Maishani Ni Nini? 1/1
Ni Sala Gani Ambazo Mungu Anasikia? 5/15
Sababu Inayofanya Watu Watende Mabaya 2/1
Ufalme wa Mungu Ni Nini? 3/15
RIPOTI YA WATANGAZAJI WA UFALME
(Katika matoleo ya 9/1; 10/1; 10/15 na 12/1)
UFAHAMU KATIKA HABARI
Toleo la 9/1
YEHOVA MUNGU
Kujitiisha kwa Yehova Kupitia Wakfu 8/1
Kumwamini—Je! Kunatosha? 9/1
Unaweza Kutembea Pamoja na Mungu 9/1
YESU KRISTO
(Maisha na Huduma ya Yesu, kuanzia toleo la Agosti 1, 1985)
Je! Wewe Unashukuru kwa Yale Aliyofanya Yesu? 12/15
Unaweza Kuonyeshaje Shukrani kwa Aliyoyafanya Yesu? 12/15