Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w85 12/15 uku. 31
  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1985

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1985
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1985
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA HUDUMA YA YESU
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • NENO LA MUNGU LI HAI
  • RIPOTI YA WATANGAZAJI WA UFALME
  • UFAHAMU KATIKA HABARI
  • YEHOVA MUNGU
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1985
w85 12/15 uku. 31

Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1985

BIBLIA

Biblia​—Kitabu Kinachopasa Kusomwa 6/15

Kitabu cha Imani Kamili 3/1 Mianzo ya Wafalme Katika Israeli 1/15

Soma na Ujifunze Kutokana na Vitabu Viwili vya Mambo ya Nyakati 9/1

Ufahamu Kutokana na Vitabu Viwili vya Wafalme 5/1

MAISHA NA HUDUMA YA YESU

(Kuanzia toleo la Agosti 1, 1985.)

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Udhaifu Huo Unaweza Kushindwa 3/15

‘Tiini‘ kwa Sababu Gani 2/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Alitangazwa Kuwa Mwadilifu Akiwa Rafiki ya Mungu 12/1

Amani, Usalama, na Ile ‘Sanamu ya Mnyama.’ 10/1

“Chukizo Kuu” Linashindwa Kuleta Amani 10/1

Chukua Hatua Mara Moja Juu ya “Ishara”! 7/1

Elekeza Wapya Kwenye Tengenezo la Mungu 4/1

Endeleeni Kuwa “Bila Doa Kutokana na Ulimwengu” 3/15

Endeleeni Kuwa Tayari! 5/1

Fundisha kwa Ustadi na Bidii 8/1

Huduma Yenye Matokeo Inayoongoza Kwenye Wanafunzi Zaidi 1/15

“Inabaki Wakati Kidogo” 4/15

“Israeli Wote Wataokolewa” 2/15

Je! Mambo Yaliyotimizwa na Wanadamu Yanaweza Kuondosha Msiba? 6/15

Je! Wewe Unathamini Urithi Wako? 4/15

Je! Wewe Unaweza Kujitayarisha Sasa kwa Ajili ya Mateso? 11/15

Jizoeze Utawa Kuwa Lengo Lako 8/15

“Kondoo Wengine” na Chakula cha Jioni cha Bwana 3/1

Kuangaza Nuru Katikati ya Giza la Dunia 7/15

Kufanya Kazi Pamoja na Mtengenezaji wa Ulimwengu Wote 8/1

‘Kufuatia Mradi’ 5/15

Kuiona “Ishara” kwa Ufahamu 7/1

Kujenga kwa Vitu Visivyoweza Kuchomwa na Moto 1/1

Kujipatanisha na “Akili ya Yehova” kama Inavyofunuliwa Sasa 2/1

Kupata Furaha Katika Zawadi ya Ndoa 11/1

Kutoa Ushuhuda Kunaleta Ongezeko la Ufalme 6/1

“Mnapaswa Kuwa Walimu” 4/1

Mzoeze Mtoto Wako Asitawishe Utawa 8/15

Nafasi Kubwa Zaidi ya Vijana 8/15

Namna ya Kuwa Wahudumu Wenye Matokeo 1/15

Ni Lazima Wakristo wa Kweli Wote Wawe Wahudumu? 1/15

“Ni Nani Amepata Kujua Akili ya Yehova?” 2/1

Ni Nani Awezaye Kuisoma “Ishara” Sawasawa? 7/1

”Ninyi Ni Chumvi ya Dunia” 12/15

Nisani 14—Siku ya Kukumbukwa 3/1

Sababu kwa Nini Ni Lazima Tusiwe Sehemu ya Ulimwengu Huu 3/15

Serikali Inayotimiza Mambo Asiyoweza Mwanadamu 6/15

“Taifa” Linalolisha Mamilioni ya Watu Wenye Njaa 10/15

“Taifa” Linaloujaza Matunda Uso wa Dunia 10/15

Tangaza Ufalme wa Mungu Kote Kote 12/15

Wanahitajiwa kwa Haraka​—Wafanya Kazi Zaidi wa Mavuno! 12/15

“Timiza kwa Ukamili Huduma Yako” 5/15

Unapofundisha, Fikia Moyo 1/1

Usizishiriki Dhambi za Wengine 11/15

Uzuri wa Utu wa Kikristo 11/1

Wahudumu wa Mungu Wanathibitisha Kustahili Kwao 9/1

Wahudumu wa Ufalme Wanaelekeana na Ubishi 9/1

Wakristo wa Kweli Ni Wahubiri wa Ufalme 8/1

Waliosafishwa na Wenye Bidii kwa Ajili ya Kila Kazi Njema 4/15

Wanatangazwa Kuwa Waadilifu “ili Wapate Uzima” 12/1

Watumishi wa Huduma​—Dumisheni Msimamo Mzuri! 9/15

Watumishi wa Huduma Ni Baraka kwa Watu wa Yehova 9/15

Wazee, Chukueni kwa Uzito Madaraka Yenu ya Uchungaji 11/15

Wenye Furaha Ni Wale Wanaokutwa Wakilinda! 5/1

Wenye Umoja Katika Kutangaza Neno la Yehova 6/1

Wewe Ni Tofauti na Ulimwengu Jinsi Gani? 9/1

Yehova ‘Ayahimiza’ 7/15

MAMBO MENGINE

Amani na Usalama​—Kupitia Ufalme wa Mungu 10/15

Amani na Usalama​—Kutoka Chanzo Gani? 10/1

Amani na Usalama Ndilo Tumaini 10/1

Amani na Usalama Ndio Uhitaji 10/15

Chuki ya Kitaifa Yasahauliwa 11/1

Dini Imepata Nguvu Mpya au Ina Ugumu wa Kiroho? 3/1

Dini Inaweza Kumaliza Ugumu Uliopo? 3/1

Endeleeni Kuepuka Mtego wa Pupa 9/15

Figo” na “Moyo” Katika Maandiko 2/1

Har–Magedoni​—Itatoka kwa Mungu wa Upendo? 7/1

Har–Magedoni​—Kwa Nini Inasemwa Sana? 6/1

Har–Magedoni, Mashariki ya Kati, na Biblia 6/15

Har–Magedoni​—Si Mambo Haya 6/1

Har–Magedoni​—Vita Inayoongoza Kwenye Amani ya Kweli 7/15

Iweni Waaminifu kwa Mungu “Aonaye Sirini” 10/1

Je! Dini na Siasa Zimo Katika Mwendo wa Kugongana?8/1

Je! Dini na Siasa Zina Urafiki Wenye Kudumu? 8/1

Je! Wanadamu Wanaweza Kupatana Juu ya Utatuzi? 4/15

Je! Wewe Unaitafuta Kabisa Kabisa Imani ya Kweli? 3/1

Je! Wewe Una Msimamo Unaofaa na Mungu? 12/1

Je! Wewe Unaweza ‘Kupanua Eneo Lako’ Ukiwa Painia?9/15

Jihadhari na Adui Yako, Ibilisi! 4/1

Jinsi Tazamio la Kikristo Lilivyofifia 5/1

Katika Umoja na Muumba wa Tengenezo la Ulimwenguni Pote 8/15

Kile Kiungo cha Kustaajabisha​—Moyo Wetu! 2/1

Kizazi Chetu cha Kukatisha Tamaa 4/15

Kubali Msaada wa Mungu Ushinde Makosa ya Siri 10/15

Kujipatia Faraja Kutokana na Neno la Mungu 9/15

Kukazania Ukomavu wa Kikristo 11/1

Kupata Kusudi Katika Maisha 10/15

Kusitawisha Urafiki Ulio Bora Zaidi Katika Ulimwengu Wote12/1

Kutenda Watu Unyama​—Mwisho Wake Ni Karibu! 5/15

‘Kutendea Wengine kama Unavyotaka Wakutendee’ 10/15

Kutokumtegemea Mungu​—Sababu Gani Hakufai? 11/1

Kwa Sababu Gani Tusali Kuomba Ufalme wa Mungu? 11/15

Maisha Duniani​—Je! Ni Safari ya Kupitia Tukielekea Mbinguni? 7/15

Makimbio ya Kuepa Mtawala wa Kutumia Mabavu 10/15

Maoni Yaliyosawazika ya Kulinda Heshima Yako 1/1

Mashariki ya Kati Ndiyo Uwanja wa Har–Magedoni? 6/15

“Mimi Nilijawa na Uchangamfu” 11/1

Mipaka ya Uhuru 11/1

“Moyo” Katika Neno la Mungu, Biblia 2/1

Mtu Kutenda Mwenzake Unyama 5/15

Mwisho wa Vita Vyote​—Je! Unaweza Kufikiwa? 7/15

Namna Unavyoweza Kuvumilia Misiba 9/15

“Nataka Kuwa Mkristo Asiyeacha Msimamo Wake” 11/1

Ni Jambo Gani Linalopata Maisha ya Jamaa? 3/15

‘Nyakati Zetu za Hatari’​—Jamaa Yako Inahusikaje? 3/15

Sababu Gani Wewe Unataka Kutoa Hotuba ya Biblia? 10/1

Sababu Inayofanya Iwe Lazima Har–Magedoni Ipiganwe 7/1

Simama Imara Ushindane na Hila za Shetani! 4/1

Tatizo Linalohusu Kukopa Pesa 9/15

‘Tuendelee Kutembea kwa Utaratibu Katika Kawaida li Hii’ 11/15

Uadilifu Mbele za Mungu​—Jinsi Gani? 12/1

Ufalme wa Mungu​—Ndio Utatuzi Hakika 4/15

Ulimwengu Uliojawa na Misiba 9/15

Umeenda Wapi Ulinzi wa Wakristo? 5/1

Unaweza Kuwa na Wakati Ujao Wenye Furaha 2/15

Upendo, “Kifungo Kikamilifu cha Muungano” 12/1

Urafiki Ulio Bora Zaidi Unadumu Katika Ulimwengu Usio na Urafiki 12/15

Utafutaji wa Usawa 8/15

Wamisionari Wapya Wanajitahidi Kufanikiwa Kweli Kweli 12/1

‘Wanapamba Mafundisho ya Mungu Wetu’ 10/1

Watu Wote Ni Sawa​—Jinsi Gani? 8/15

Wewe Ungefikia Hatua Gani Katika Kulinda Heshima Yako? 1/1

Wewe Unapangiaje Wakati Ujao?2/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Mahakama Kuu Zaidi ya Uturuki Yaachilia Mashahidi wa Yehova 10/15

Mpanuko Kwenye “Kitovu” 9/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Ikiwa Mkristo hawezi kuwa kwenye Chakula cha Jioni cha Bwana 3/1

Ikiwa mtoto wa mzee wa kundi ana hatia ya kosa zito 2/1

Ingekuwa vibaya kuvuta sigareti zisizo na tumbaku? 2/1

Je! “magugu” yanatia ndani wale ambao hivi majuzi wamekuwa waasi-imani 5/15

Je! mabaki wapakwa-mafuta ni sehemu ya tengenezo la Yehova la kimbingu? 10/15

Je! Mashahidi wa Yehova wanahesabu uzoelevu wa kunywa pombe kuwa ugonjwa? 6/15

Je! wale wa “mkutano mkubwa” wanakuwa sehemu ya tengenezo la Yehova la ulimwengu wote? 10/15

Kupanga uzazi kwa kufungwa nguvu za uzazi? 10/1

Kwa sababu gani Stefano katika Matendo 7:14 alisema kulikuwako watu 75? 7/15

Maneno “upendo wa wengi zaidi utapoa” yanamaanisha litatukia kati ya waabudu wa kweli sasa? 5/15

Mtu akiisha kuwa mmoja wa Mashahidi wa Yehova, je! anahesabiwa sikuzote kuwa hivyo? 4/1

Mtume Paulo alikuwa sehemu ya baraza linaloongoza? 12/1

Musa angewezaje kuandika kwamba ‘Musa alikuwa mpole sana zaidi ya wanadamu wote’? 4/1

Ni katika maana gani Yesu alipewa “Jina lile lipitalo kila jina”? 1/1

Ni kwa jinsi gani roho takatifu inafanya kazi na Baraza Linaloongoza katika kuwekwa rasmi kwa wazee? 8/1

Nyoka alimpashaje Hawa habari? 2/15

Tangazo Rasmi la Kuahidi Uaminifu katika uhusiano wa Ndoa 11/1

Tutendeje juu ya shughuli za jumuiya ya watu? 1/15

Waangalizi wote leo wangeweza kuitwa ‘watiwa mafuta’? 1/1

NENO LA MUNGU LI HAI

Fuata Mfano wa Hana, Fuata Mfano wa Mwanaye 6/15

Mradi Wako Maishani Ni Nini? 1/1

Ni Sala Gani Ambazo Mungu Anasikia? 5/15

Sababu Inayofanya Watu Watende Mabaya 2/1

Ufalme wa Mungu Ni Nini? 3/15

RIPOTI YA WATANGAZAJI WA UFALME

(Katika matoleo ya 9/1; 10/1; 10/15 na 12/1)

UFAHAMU KATIKA HABARI

Toleo la 9/1

YEHOVA MUNGU

Kujitiisha kwa Yehova Kupitia Wakfu 8/1

Kumwamini​—Je! Kunatosha? 9/1

Unaweza Kutembea Pamoja na Mungu 9/1

YESU KRISTO

(Maisha na Huduma ya Yesu, kuanzia toleo la Agosti 1, 1985)

Je! Wewe Unashukuru kwa Yale Aliyofanya Yesu? 12/15

Unaweza Kuonyeshaje Shukrani kwa Aliyoyafanya Yesu? 12/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki