Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1987
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inaonekana
KUJUA YALIYO KATIKA HABARI
1/15, 2/15, 6/15, 7/15, 8/15, 10/15
MAISHA NA HUDUMA YA YESU
(Makala zinatokea katika kila toleo.)
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Dawa za Kienyeji Katika Afrika, 4/15
Desturi Zinatawala Maisha yako? 2/1
Ile Roho Ambayo Yehova Hubariki, 8/1
Imani Inaweza Kuondosha Milima! 7/15
Je! Upaji Wako Ni Dhabihu? 12/1
Jinsi Unavyoweza Kuwa na Rafiki za Kweli, 9/15
Kileo, 8/15
Kuna Manufaa Yo Yote ya Kutaabika? 2/15
Kusaidia Mtoto Akue Katika Hekima ya Kutii Mungu, 2/15
Kuweza Hasira—Yako na ya Wengine, 7/1
Msaada Katika Kufanya Maamuzi Yenye Hekima, 5/15
‘Mungu Atamaliza Mazoezi Yenu,’ 6/15
Sikuzote Wewe Unapata Maana? 4/1
Thamani ya Kuimba Katika Ibada ya Kweli, 12/1
Ukristo wa Kweli Unatokeza Watu Wanaoshikilia Mambo Bila Akili? 11/15
Utunzaji wa Jamaa—Unafika Mpaka Wapi? 6/15
“Wakati wa Kunena”—Lini? 9/1
Wakristo wa Kweli Wanaheshimu Watu Wenye Umri Mkubwa! 6/1
Wanawake Kazini, 3/15
Watu Wenye Furaha—Kwa Sababu Gani? 3/15
Wewe Una Akili ya Kuulizia-ulizia Mambo? 2/1
Wewe Utaushikilia Sana Ukweli? 3/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Amani ya Kimungu kwa Wale Wanaofundishwa na Yehova, 3/15
Asiyefunga Ndoa Lakini Kamili kwa Utumishi wa Mungu, 11/15
Baraka za Kimungu kwa “Walio na Akili,” 7/1
Dhihirisha Shauku ya Kuzitangaza Habari Njema, 2/1
Dumisha Hali Yako ya Kuogopa Yehova, 12/1
Endelea Kujiweka Chini ya Uongozi wa ‘Ile Roho Itiayo Uzima,’ 9/15
‘Hapana Amani kwa Wabaya,’7/1
Hatimaye Amani!—Mungu Asemapo, 5/15
Je! Wewe Unatosheka na Maandalizi ya Kiroho ya Yehova? 10/1
Je! Wewe Unabaki Ukiwa Safi Katika Kila Jambo? 11/1
Je! Wewe Utasema, “Mimi Nipo Hapa! Tuma Mimi”? 10/15
Jinsi Wewe Unaweza Kuona Amani ya Kimungu kwa Ukamili Zaidi, 3/15
‘Juu ya Mnara wa Ulinzi Mimi Ninasimama,’ 3/1
‘Kuendelea Kuangalia Masilahi za Watu Wazee-Wazee,’ 6/1
Kristo kwa Kutenda Aongoza Kundi Lake, 8/1
Kufanya Vitu Vyote Kuwa Vipya, 3/1
Kufanya Yote Yote Tuwezayo Tuzitangaze Habari Njema, 2/1
Kuheshimu Yule Mungu wa Tumaini, 12/15
Kuhifadhi Uhai Katika Wakati wa Njaa, 5/1
Kujaribu na Kupepeta Nyakati za Kisasa, 6/15
Kujihadhari Dhidi ya “Amani na Usalama” Kama Linavyotungwa na Mataifa, 9/1
Kumsikiliza Yehova Kadiri Ule Mwisho Ukaribiavyo, 5/15
Kunyoosha Mambo Kati ya Mungu na Wewe, 10/15
Kuogopa Mungu—Je! Kunaweza Kukunufaisha Wewe? 10/15
Kuonyesha Uthamini kwa Mawonyesho Mawili Yaliyo Makubwa Zaidi Sana ya Upendo, 2/15
‘Kupanda kwa Kusudi la Ukweli,’ 3/1
Kupata Amani Pamoja na Mungu Kupitia Wakfu na Ubatizo, 4/15
Kupumua “Hewa” ya Ulimwengu Huu Kunaleta Kifo! 9/15
Kuzoea Bidii ya Kujitolea Mungu Kuhusiana na Wazazi Wazee-Wazee, 6/1
Mawonyesho Mawili Yaliyo Makubwa Zaidi Sana ya Upendo Ambayo Yamepata Kufanywa, 2/15
Mikaeli Yule Mwana-Mfalme Mkuu Asimama, 7/1
Mtumaini Yehova—Si “Mpango wa Hila!” 9/1
Nidhamu Inazaa Tunda Lenye Kuamanika, 10/1
Njaa Yenye Kuleta Kifo Katika Wakati wa Utele, 5/1
“Ni Lazima Ninyi Mwe Watakatifu . . . ,” 11/1
Ongea Juu ya Utukufu wa Umaliki wa Mungu, 10/15
Ongeza Amani Yako Kupitia Maarifa Sahihi, 4/15
Sala Zako Ni Zenye Kujaa Maana Kadiri Gani? 7/15
Sala Zataka Kazi, 7/15
Tumaini Katika Yehova, 12/15
“Ulimwengu Haukustahili Kuwa Nao,” 1/15
Uongozi Wenye Kutenda wa Kristo Leo, 8/1
Usalama Ulimwenguni Pote Chini ya “Mwana-Mfalme wa Amani,” 4/1
Useja—Njia ya Maisha Yenye Kuthawabisha, 11/15
Vijana—Je! Mnaendelea Kiroho? 8/15
Vijana—Mtafanya Nini na Maisha Zenu? 8/15
Uzawa wa Mtoto Ulio Mkuu Zaidi Duniani Watangulia Usalama Ulimwenguni Pote, 4/1
Wakati wa Kujaribu na Kupepeta, 6/15
Wingu Kubwa Sana la Mashahidi! 1/15
Yubile ya Kikristo Yafikia Upeo Katika Mileani, 1/87
Yubile ya Yehova—Wakati Wetu Kufurahi Sana, 1/87
MAMBO MAKUU YA BIBLIA
Mhubiri, 9/15
Mithali, 5/15
Wimbo Ulio Bora, 11/15
Zaburi 107-150, 3/15
MAMBO MENGINE
Biblia ya William Tyndale kwa Ajili ya Watu, 7/15
Cheo cha Wanawake Chenye Maendeleo, 8/15
Dini ya Ki-Siku-Hizi Ni Yenye Mafaa kwa Kadiri Gani? 10/1
Hatari za Utajiri na za Umaskini, 9/15
“Hazina za Nchi Takatifu,” 5/15
Je! Dini Inaweza Kutosheleza Mahitaji Yetu? 11/15
Je! Dini Ni Kani ya Kuleta Mema ya Kiadili? 10/15
Je! Historia ya Kidini Ina Manufaa? 9/15
Je! Msalaba ni kwa Ajili ya Wakristo? 8/15
Je! Unabii Wote Watoka kwa Mungu? 5/1
Je! Watoto Wapigwe Marufuku Kuhudhuria Mikutano? 2/1
Je! Wewe Unafanya Wasiwasi Juu ya Watoto Wako? 2/15
’Kuihubiri Injili Kupitia Kazi ya Kusaidia Watu Kimwili, 1/15
Kuponya kwa Kutumia Imani, 12/1
Kupuuza Maonyo na Kumtahini Mungu, 12/1
Kusudi la Unabii, 5/1
Kutoka Kinywani mwa Mtoto, 2/1
Kutoka kwa Utumwa wa Kutengeneza Matufali Kwenda Kwenye Uhuru! 11/15
Kuwasiliana na Ulimwengu wa Roho — Kunaonwaje na Mungu? 9/1
Maji ya Mgeuzo Mkuu wa Kidini Yabubujika, 10/1
Malaika—Je! Wao Wanaathiri Maisha Yako Wewe? 12/15
Matetemeko ya Dunia—Taabu Juu ya Taabu, 1/15
Miguu Yake Ilikuwa Wapi? 8/15
Tangazeni Uhuru! 1/87
Ubashiri wa Matukio, 3/1
Ushirikina, 11/1
“Utatu Uliobarikiwa,” 6/15
Uwongo Ni Nini? 4/15
Waanabaptisti, 11/15
Wimbi la Dini—Kutoza Hesabu Mara ya Mwisho, 11/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
“Amani ya Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya, 1/15
Broshua Yenye Sura Mpya, 3/1
Kuhitimu kwa Gileadi, 6/1, 12/1
Ongezeko Katika Gibraltar, 10/15
Mwito wa Visiwa vya Micronesia, 11/15
“Wenye Bidii kwa Ajili ya Kazi Nzuri” Katika Kenya, 4/15
‘Kununua Wakati’ Katika Italia, 5/15
Ushikamanifu wa Kikristo Katika New Caledonia, 8/15
Kutano Lenye Kutajirisha Kweli Kweli,” 4/15
Kutoa Ushuhuda Katika Nchi Yenye Lugha 700 (Papua New Guinea), 9/15
Kutwa Moja Katika Kalikata, 2/15
Kuvitazama Visiwa vya Bahamas, 3/15
‘Kuvua Watu’ Katika Aktiki, 7/15
Katika Umisionari, 1/15
Mkutano wa Kila Mwaka, 8/15
Ongezeko Bora “Ng’ambo ya Milima,” 11/1
Panama Yafurahia Kazi Yayo ya Kujenga, 6/15
Shangwe ya Yubile Kati ya Watu wa Mungu, 1/1
Shule Mpya Yafunguliwa! 6/1
Timizo la Ajabu kwa Kosta Rika, 9/1
“Tumaini Katika Yehova” Mkusanyiko wa Wilaya, 2/1
Uhuru wa Kidini Watetewa Katika India, 11/1
“Watapigana, Lakini Hawatashinda,” 1/87
Yehova Ajenga Nyumba (Afrika Kusini), 12/15
Zawadi ya Pekee Sana ya Watoto, 8/1
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
‘Kikombe Changu Kimekuwa Kimejaa’ (T. Gott), 6/1
Kizazi Changu—Cha Pekee Sana na Chenye Kupendelewa Sana! (M. Sargeant), 8/1
Kukaa Karibu Sana na Tengenezo la Yehova (J. Barr), 7/1
Kupiga Moyo Konde Kulinisaidia Nifanikiwe (J.A. Oakley), 2/1
Kutazama Nyuma Kwenye Miaka 93 ya Kuishi (F.W. Franz), 5/1
Mimi Nimeona Kwamba Yehova Ni Mwema (L. Johnson), 10/1
Sifa Iwe kwa Mungu, Yule Chanzo cha Uzima na Ukuzi (E. Warter), 3/1
Yehova Anatulinda Sisi (E. Kattner), 4/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
“Kitabu cha uzima” cha Mungu, 9/1
Kosa la Musa, 10/15
Kuoa mwenzi upya katika ufufuo? 6/1
Malaki 2:15, 9/15
“Mambo yaliyofunuliwa” (Kum. 29:29), 5/15
Mithali 30:4, 7/15
Ngamia kupitia tundu la sindano? 12/1
Sababu gani waongofu wa Mafarisayo ni wa Jehanum”? 10/1
Tangazo Rasmi la Kuahidi Uaminifu, 2/15
Uchunguzi wa maiti, 4/1
2 Samweli 18:8, 3/15
2 Wakorintho 12:8, 9 11/15
“Ulimwengu mpya”? 15/1
Wakfu ni nadhiri? 4/15
Kilio cha Yesu ‘Mbona umeniacha,’ 6/15
Yubile inafuata Mileani? 1/87
WATANGAZAJI WA UFALME WARIPOTI
(Katika kila toleo la tarehe ya kwanza ya mwezi.)
YEHOVA Aliyeko Mkuu Zaidi Hana Kifani, 6/15
Hekima ya Mungu—Je! Wewe Unaweza Kuiona? 4/15
Je! Mungu Ni Mtu Halisi? 4/1
Mungu Amekufanyia Nini Wewe? 5/15