Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w87 12/15 uku. 31
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1987

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1987
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
  • Vichwa vidogo
  • KUJUA YALIYO KATIKA HABARI
  • MAISHA NA HUDUMA YA YESU
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MAKUU YA BIBLIA
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • WATANGAZAJI WA UFALME WARIPOTI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
w87 12/15 uku. 31

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1987

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inaonekana

KUJUA YALIYO KATIKA HABARI

1/15, 2/15, 6/15, 7/15, 8/15, 10/15

MAISHA NA HUDUMA YA YESU

(Makala zinatokea katika kila toleo.)

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Dawa za Kienyeji Katika Afrika, 4/15

Desturi Zinatawala Maisha yako? 2/1

Ile Roho Ambayo Yehova Hubariki, 8/1

Imani Inaweza Kuondosha Milima! 7/15

Je! Upaji Wako Ni Dhabihu? 12/1

Jinsi Unavyoweza Kuwa na Rafiki za Kweli, 9/15

Kileo, 8/15

Kuna Manufaa Yo Yote ya Kutaabika? 2/15

Kusaidia Mtoto Akue Katika Hekima ya Kutii Mungu, 2/15

Kuweza Hasira—Yako na ya Wengine, 7/1

Msaada Katika Kufanya Maamuzi Yenye Hekima, 5/15

‘Mungu Atamaliza Mazoezi Yenu,’ 6/15

Sikuzote Wewe Unapata Maana? 4/1

Thamani ya Kuimba Katika Ibada ya Kweli, 12/1

Ukristo wa Kweli Unatokeza Watu Wanaoshikilia Mambo Bila Akili? 11/15

Utunzaji wa Jamaa—Unafika Mpaka Wapi? 6/15

“Wakati wa Kunena”—Lini? 9/1

Wakristo wa Kweli Wanaheshimu Watu Wenye Umri Mkubwa! 6/1

Wanawake Kazini, 3/15

Watu Wenye Furaha—Kwa Sababu Gani? 3/15

Wewe Una Akili ya Kuulizia-ulizia Mambo? 2/1

Wewe Utaushikilia Sana Ukweli? 3/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Amani ya Kimungu kwa Wale Wanaofundishwa na Yehova, 3/15

Asiyefunga Ndoa Lakini Kamili kwa Utumishi wa Mungu, 11/15

Baraka za Kimungu kwa “Walio na Akili,” 7/1

Dhihirisha Shauku ya Kuzitangaza Habari Njema, 2/1

Dumisha Hali Yako ya Kuogopa Yehova, 12/1

Endelea Kujiweka Chini ya Uongozi wa ‘Ile Roho Itiayo Uzima,’ 9/15

‘Hapana Amani kwa Wabaya,’7/1

Hatimaye Amani!—Mungu Asemapo, 5/15

Je! Wewe Unatosheka na Maandalizi ya Kiroho ya Yehova? 10/1

Je! Wewe Unabaki Ukiwa Safi Katika Kila Jambo? 11/1

Je! Wewe Utasema, “Mimi Nipo Hapa! Tuma Mimi”? 10/15

Jinsi Wewe Unaweza Kuona Amani ya Kimungu kwa Ukamili Zaidi, 3/15

‘Juu ya Mnara wa Ulinzi Mimi Ninasimama,’ 3/1

‘Kuendelea Kuangalia Masilahi za Watu Wazee-Wazee,’ 6/1

Kristo kwa Kutenda Aongoza Kundi Lake, 8/1

Kufanya Vitu Vyote Kuwa Vipya, 3/1

Kufanya Yote Yote Tuwezayo Tuzitangaze Habari Njema, 2/1

Kuheshimu Yule Mungu wa Tumaini, 12/15

Kuhifadhi Uhai Katika Wakati wa Njaa, 5/1

Kujaribu na Kupepeta Nyakati za Kisasa, 6/15

Kujihadhari Dhidi ya “Amani na Usalama” Kama Linavyotungwa na Mataifa, 9/1

Kumsikiliza Yehova Kadiri Ule Mwisho Ukaribiavyo, 5/15

Kunyoosha Mambo Kati ya Mungu na Wewe, 10/15

Kuogopa Mungu—Je! Kunaweza Kukunufaisha Wewe? 10/15

Kuonyesha Uthamini kwa Mawonyesho Mawili Yaliyo Makubwa Zaidi Sana ya Upendo, 2/15

‘Kupanda kwa Kusudi la Ukweli,’ 3/1

Kupata Amani Pamoja na Mungu Kupitia Wakfu na Ubatizo, 4/15

Kupumua “Hewa” ya Ulimwengu Huu Kunaleta Kifo! 9/15

Kuzoea Bidii ya Kujitolea Mungu Kuhusiana na Wazazi Wazee-Wazee, 6/1

Mawonyesho Mawili Yaliyo Makubwa Zaidi Sana ya Upendo Ambayo Yamepata Kufanywa, 2/15

Mikaeli Yule Mwana-Mfalme Mkuu Asimama, 7/1

Mtumaini Yehova—Si “Mpango wa Hila!” 9/1

Nidhamu Inazaa Tunda Lenye Kuamanika, 10/1

Njaa Yenye Kuleta Kifo Katika Wakati wa Utele, 5/1

“Ni Lazima Ninyi Mwe Watakatifu . . . ,” 11/1

Ongea Juu ya Utukufu wa Umaliki wa Mungu, 10/15

Ongeza Amani Yako Kupitia Maarifa Sahihi, 4/15

Sala Zako Ni Zenye Kujaa Maana Kadiri Gani? 7/15

Sala Zataka Kazi, 7/15

Tumaini Katika Yehova, 12/15

“Ulimwengu Haukustahili Kuwa Nao,” 1/15

Uongozi Wenye Kutenda wa Kristo Leo, 8/1

Usalama Ulimwenguni Pote Chini ya “Mwana-Mfalme wa Amani,” 4/1

Useja—Njia ya Maisha Yenye Kuthawabisha, 11/15

Vijana—Je! Mnaendelea Kiroho? 8/15

Vijana—Mtafanya Nini na Maisha Zenu? 8/15

Uzawa wa Mtoto Ulio Mkuu Zaidi Duniani Watangulia Usalama Ulimwenguni Pote, 4/1

Wakati wa Kujaribu na Kupepeta, 6/15

Wingu Kubwa Sana la Mashahidi! 1/15

Yubile ya Kikristo Yafikia Upeo Katika Mileani, 1/87

Yubile ya Yehova—Wakati Wetu Kufurahi Sana, 1/87

MAMBO MAKUU YA BIBLIA

Mhubiri, 9/15

Mithali, 5/15

Wimbo Ulio Bora, 11/15

Zaburi 107-150, 3/15

MAMBO MENGINE

Biblia ya William Tyndale kwa Ajili ya Watu, 7/15

Cheo cha Wanawake Chenye Maendeleo, 8/15

Dini ya Ki-Siku-Hizi Ni Yenye Mafaa kwa Kadiri Gani? 10/1

Hatari za Utajiri na za Umaskini, 9/15

“Hazina za Nchi Takatifu,” 5/15

Je! Dini Inaweza Kutosheleza Mahitaji Yetu? 11/15

Je! Dini Ni Kani ya Kuleta Mema ya Kiadili? 10/15

Je! Historia ya Kidini Ina Manufaa? 9/15

Je! Msalaba ni kwa Ajili ya Wakristo? 8/15

Je! Unabii Wote Watoka kwa Mungu? 5/1

Je! Watoto Wapigwe Marufuku Kuhudhuria Mikutano? 2/1

Je! Wewe Unafanya Wasiwasi Juu ya Watoto Wako? 2/15

’Kuihubiri Injili Kupitia Kazi ya Kusaidia Watu Kimwili, 1/15

Kuponya kwa Kutumia Imani, 12/1

Kupuuza Maonyo na Kumtahini Mungu, 12/1

Kusudi la Unabii, 5/1

Kutoka Kinywani mwa Mtoto, 2/1

Kutoka kwa Utumwa wa Kutengeneza Matufali Kwenda Kwenye Uhuru! 11/15

Kuwasiliana na Ulimwengu wa Roho — Kunaonwaje na Mungu? 9/1

Maji ya Mgeuzo Mkuu wa Kidini Yabubujika, 10/1

Malaika—Je! Wao Wanaathiri Maisha Yako Wewe? 12/15

Matetemeko ya Dunia—Taabu Juu ya Taabu, 1/15

Miguu Yake Ilikuwa Wapi? 8/15

Tangazeni Uhuru! 1/87

Ubashiri wa Matukio, 3/1

Ushirikina, 11/1

“Utatu Uliobarikiwa,” 6/15

Uwongo Ni Nini? 4/15

Waanabaptisti, 11/15

Wimbi la Dini—Kutoza Hesabu Mara ya Mwisho, 11/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

“Amani ya Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya, 1/15

Broshua Yenye Sura Mpya, 3/1

Kuhitimu kwa Gileadi, 6/1, 12/1

Ongezeko Katika Gibraltar, 10/15

Mwito wa Visiwa vya Micronesia, 11/15

“Wenye Bidii kwa Ajili ya Kazi Nzuri” Katika Kenya, 4/15

‘Kununua Wakati’ Katika Italia, 5/15

Ushikamanifu wa Kikristo Katika New Caledonia, 8/15

Kutano Lenye Kutajirisha Kweli Kweli,” 4/15

Kutoa Ushuhuda Katika Nchi Yenye Lugha 700 (Papua New Guinea), 9/15

Kutwa Moja Katika Kalikata, 2/15

Kuvitazama Visiwa vya Bahamas, 3/15

‘Kuvua Watu’ Katika Aktiki, 7/15

Katika Umisionari, 1/15

Mkutano wa Kila Mwaka, 8/15

Ongezeko Bora “Ng’ambo ya Milima,” 11/1

Panama Yafurahia Kazi Yayo ya Kujenga, 6/15

Shangwe ya Yubile Kati ya Watu wa Mungu, 1/1

Shule Mpya Yafunguliwa! 6/1

Timizo la Ajabu kwa Kosta Rika, 9/1

“Tumaini Katika Yehova” Mkusanyiko wa Wilaya, 2/1

Uhuru wa Kidini Watetewa Katika India, 11/1

“Watapigana, Lakini Hawatashinda,” 1/87

Yehova Ajenga Nyumba (Afrika Kusini), 12/15

Zawadi ya Pekee Sana ya Watoto, 8/1

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

‘Kikombe Changu Kimekuwa Kimejaa’ (T. Gott), 6/1

Kizazi Changu—Cha Pekee Sana na Chenye Kupendelewa Sana! (M. Sargeant), 8/1

Kukaa Karibu Sana na Tengenezo la Yehova (J. Barr), 7/1

Kupiga Moyo Konde Kulinisaidia Nifanikiwe (J.A. Oakley), 2/1

Kutazama Nyuma Kwenye Miaka 93 ya Kuishi (F.W. Franz), 5/1

Mimi Nimeona Kwamba Yehova Ni Mwema (L. Johnson), 10/1

Sifa Iwe kwa Mungu, Yule Chanzo cha Uzima na Ukuzi (E. Warter), 3/1

Yehova Anatulinda Sisi (E. Kattner), 4/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

“Kitabu cha uzima” cha Mungu, 9/1

Kosa la Musa, 10/15

Kuoa mwenzi upya katika ufufuo? 6/1

Malaki 2:15, 9/15

“Mambo yaliyofunuliwa” (Kum. 29:29), 5/15

Mithali 30:4, 7/15

Ngamia kupitia tundu la sindano? 12/1

Sababu gani waongofu wa Mafarisayo ni wa Jehanum”? 10/1

Tangazo Rasmi la Kuahidi Uaminifu, 2/15

Uchunguzi wa maiti, 4/1

2 Samweli 18:8, 3/15

2 Wakorintho 12:8, 9 11/15

“Ulimwengu mpya”? 15/1

Wakfu ni nadhiri? 4/15

Kilio cha Yesu ‘Mbona umeniacha,’ 6/15

Yubile inafuata Mileani? 1/87

WATANGAZAJI WA UFALME WARIPOTI

(Katika kila toleo la tarehe ya kwanza ya mwezi.)

YEHOVA Aliyeko Mkuu Zaidi Hana Kifani, 6/15

Hekima ya Mungu—Je! Wewe Unaweza Kuiona? 4/15

Je! Mungu Ni Mtu Halisi? 4/1

Mungu Amekufanyia Nini Wewe? 5/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki