Biblia Husema Nini Juu ya Kutoa Mimba?
Hivyo ndivyo mume na mke wake katika Ajentina walivyomuuliza mwanamke mmoja mwenye kuwafanyia ziara, kwa kuwa walijua alifahamu sana mambo ya Biblia. Mume na mke huyo walitaka kujua kama Mungu huona yafaa kutoa mimba. Mke huyu alikuwa na mimba ya miezi miwili na alikuwa akipanga itolewe, hata ingawa mume wake hakukubaliana naye.
Mwanamke mwenye kuwafanyia ziara mume na mke hao alitoa nakala ya kitabu Reasoning From the Scriptures na kufungua ukurasa wa 25. Aliusoma ufafanuzi juu ya maana ya kutoa mimba halafu akaomba mume na mke huyo wasome maandiko yaliyoorodheshwa katika kichapo hicho, akionyesha maoni ya Mungu juu ya mtoto asiyezaliwa. Miezi saba baadaye mtoto alizaliwa. Kwa sasa, wazazi hao wenye kujionea fahari walikuwa wamekwisha kuwa wanafunzi wa Biblia.
Wewe waweza kupokea nakala ya kibinafsi ya kitabu hiki cha mkononi chenye maelezo ya thamani kubwa kuhusu Biblia, ambacho kitaandaa majibu kwa mamia ya maswali yenye kuulizwa kwa wakati unaofaa.
Tafadhali mnipelekee, mkiwa mmelipia malipo ya posta, kile kitabu cha mkononi chenye kurasa 448, Reasoning From the Scriptures. Mimi nawapelekea Kshs. I6/=.