Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1996
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana
BIBLIA
Hekaya ya Furiko Yategemeza Simulizi la Biblia, 9/15
Pambano kwa Ajili ya Biblia ya Kihispania, 6/1
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Adhimisheni Ukumbusho Inavyostahili, 4/1
Dumisha Uhakika Ukiwa Imara Hadi Mwisho, 5/1
Faraja, Kitia Moyo—Vito Vyenye Pande Nyingi, 1/15
Jinsi Ambavyo Wachungaji Wakristo Hukutumikia, 3/15
Jinsi ya Kusali kwa Mungu? 7/15
Kuandalia Watu wa Nyumbani—Katika Nchi Zinazositawi, 10/1
Kuishi Kwa Kupatana na Nadhiri Yako ya Ndoa, 3/1
Kulitumia Sawasawa Neno la Ile Kweli, 1/1
“Kumbukeni Siku Zilizopita”—Kwa Nini? 12/1
Kumwiga Mungu Wetu Asiyebagua? 11/15
Kupanda Juu kwa Mbawa Kama Tai, 6/15
Kupata Shangwe Katika Kufanya Wanafunzi, 2/15
Maoni ya Kimungu juu ya Vinywaji Vyenye Alkoholi, 12/15
Mungu, Serikali na Wewe, 5/1
Tazama Zaidi ya Vitu Uvionavyo! 2/15
Twaa Fursa Hii ya Pekee! 11/15
Ukristo wa Mapema na Serikali, 5/1
Wahitaji Kuomba Radhi? 9/15
Wakati wa Kunyamaza na wa Kunena, 5/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Baba na Mzee—Kutimiza Mafungu Yote Mawili, 10/15
Baraka au Laana—Kuna Chaguo! 6/15
Baraka au Laana—Vielelezo kwa Ajili Yetu Leo, 6/15
Dumisheni Muungano Katika Siku Hizi za Mwisho, 7/15
Elimu—Itumie Kumsifu Yehova, 2/1
Familia ya Yehova Hufurahia Muungano Wenye Thamani, 7/15
“Fuateni Mwendo wa Ukaribishaji-Wageni,” 10/1
“Fulizeni Kunitarajia,” 3/1
Hekalu Kubwa la Kiroho la Yehova, 7/1
“Iweni Watakatifu Katika Mwenendo Wenu Wote,” 8/1
Jambo Kuu Maishani Mwako Ni Nini? 12/15
Jinsi Ambavyo Waangalizi Wasafirio Hutumikia Wakiwa Wasimamizi-Nyumba Waaminifu, 11/15
Jitoe Mwenyewe kwa Usomaji, 5/15
Kondoo wa Yehova Wahitaji Utunzaji Mwororo, 1/15
Kufundishwa Kuyatenda Mapenzi ya Yehova, 12/15
Kuishi Kulingana na Sheria ya Kristo, 9/1
Kuja kwa Yesu au Kuwapo kwa Yesu—Ni Kupi? 8/15
Kukabili Mtihani wa Uaminifu-Mshikamanifu, 3/15
Kukimbilia Usalama Kabla ya “Dhiki Kubwa,” 6/1
Kumpa Kaisari Yaliyo ya Kaisari, 5/1
Kushiriki Faraja Ambayo Yehova Huandaa, 11/1
‘Lazima Mwe Watakatifu kwa Kuwa Mimi Ni Mtakatifu,’ 8/1
Lazima Wote Watoe Hesabu kwa Mungu, 9/15
Mbegu ya Nyoka—Yafunuliwaje? 6/1
“Mikono Yako Isilegee,” 3/1
Msifuni Mfalme wa Umilele! 4/1
“Msifuni Yah, Enyi Watu!” 4/1
Mtegemee Yehova ili Kupata Faraja, 11/1
Mtumaini Yehova na Neno Lake, 2/1
Mume na Mzee—Kusawazisha Hayo Madaraka, 10/15
Mungu na Kaisari, 5/1
“Nyumba ya Sala kwa Mataifa Yote,” 7/1
‘Penda Kweli na Amani’! 1/1
Sababu Kwa Nini Dini ya Kilimwengu Itaisha, 4/15
Sababu Kwa Nini Ibada ya Kweli Hupokea Baraka ya Mungu, 4/15
Sheria ya Kabla ya Kristo, 9/1
Sheria ya Kristo, 9/1
Soma Neno la Mungu na Umtumikie Katika Kweli, 5/15
Tuna Sababu ya Kulia kwa Shangwe, 2/15
Ufalme wa Mungu—Je, Unapata Maana Yao? 2/1
Ukaribishaji-Wageni wa Kikristo Katika Ulimwengu Uliogawanyika, 10/1
Useja—Mlango Uelekeao Kwenye Utendaji Pasipo Kukengeushwa Fikira, 10/15
Ushindi wa Ibada ya Kweli Wakaribia, 7/1
Utaokolewa Mungu Atendapo? 8/15
Vijana Wamkumbukao Muumba Wao, 12/1
Waangalizi Wasafirio—Zawadi Zikiwa Wanadamu, 11/15
Wanadamu Wahitaji Ujuzi juu ya Mungu, 1/15
Watazame Wale Waaminifu-Washikamanifu! 3/15
Wazazi, Pendezweni na Watoto Wenu, 12/1
Wenye Shangwe Sasa na Milele, 2/15
Yehova Hutoa Amani na Kweli kwa Wingi, 1/1
Yehova na Apendezwe na Hesabu Yako, 9/15
MAMBO MENGINE
Akila na Prisila—Wenzi Walio Kielelezo Chema, 12/15
Amani Yaweza Kupatikana? 1/1
Apolo—Mpiga-Mbiu Mfasaha wa Kweli ya Kikristo, 10/1
Biblia Hufundisha Itikadi Katika Ajali? 9/1
Danieli Alimtumikia Mungu kwa Udumifu, 11/15
Dini Zote Humpendeza Mungu? 9/15
Epafrodito—Mjumbe wa Wafilipi, 8/15
Faraday—Mwanasayansi na Mtu wa Imani, 8/1
Faraja kwa Walioonewa, 11/1
Faraja Wakati wa Miaka ya Vita (Bosnia, Croatia), 11/1
Filipo Ambatiza Ofisa Mwethiopia, 7/15
Furahia Urafiki Wenye Kudumu, 3/15
Gamalieli—Alimfundisha Sauli wa Tarso, 7/15
Ista au Ukumbusho—Ni Upi? 4/1
Jeuri Ipo Kila Mahali, 2/15
Kuna Habari Njema Mbele! 4/15
Kuna Uhai Baada ya Kifo? 10/15
Kurudi Mavumbini—Jinsi Gani? 9/15
Kuzuru Bara Lililoahidiwa, 8/15
Kwa Nini Tumtolee Yehova? 11/1
Lazima Tuote Ndoto, 10/1
Lidia—Mwabudu wa Mungu Mkaribishaji-Wageni, 9/15
Maisha Yako Yanadhibitiwa na Ajali? 9/1
Maoni ya Mungu juu ya Ibada ya Jumuiya ya Wakristo, 7/1
Masomo Kutokana na Bara Lililoahidiwa, 8/15
Matukio Yenye Kuongezeka ya Habari Mbaya, 4/15
Mfungo Ni Jambo la Kale? 11/15
Mhasiriwa wa Ubaguzi? 6/1
Misiba Asilia Ipigapo, 12/1
Msichana Mdogo Alisema kwa Moyo Mkuu, 5/15
‘Mungu Ananijali?’ 3/1
Mungu Hutaka Mfungo? 11/15
Musa na Aroni—Wapiga-Mbiu Wenye Moyo Mkuu, 1/15
Mwisho Wenye Kudumu wa Jeuri—Utakujaje? 2/15
Nafsi Ni Isiyoweza Kufa? 8/1
Ndoto Zaweza Kutabiri Wakati Ujao? 10/1
Ni Lazima Tufanye Nini Tuokolewe? 2/1
Ni Nani Astahiliye Kuitwa Rabi, 7/1
Nuru Yamalizia Enzi ya Giza, 1/15
“Nyumba ya Daudi”—Jambo la Hakika au Hadithi Yenye Kubuniwa? 10/15
Petro Ahubiri Wakati wa Pentekoste, 9/15
Theofilo wa Antiokia Alikuwa Nani? 3/15
“Tufundishe Sisi Kusali,” 7/15
Tumaini Zuri Zaidi kwa Ajili ya Nafsi, 8/1
Twahitaji Marafiki wa Kweli, 3/15
Ubaguzi Hautakuwapo Tena! 6/1
Uhai Baada ya Kifo—Jinsi Gani, Wapi, Lini? 10/15
Usalama wa Kweli—Mradi Ulio Mgumu Kufikia, 5/15
Usalama wa Kweli—Sasa na Milele, 5/15
Utajiri wa Mfalme Sulemani Umetiwa Chumvi? 10/15
Wenye Shangwe Katika Ulimwengu Usio na Shangwe, 1/15
Wewe Umeokolewa? 2/1
Yale Ambayo Viumbe “Vyenye Hekima ya Kisilika” Vyatufundisha, 7/15
Yona Ajifunza juu ya Rehema ya Yehova, 5/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
Amani Katika Ulimwengu Wenye Msukosuko, 1/1
“Basi Kanisa Lenu Liko Wapi?” (Msumbiji), 12/15
Haki ya Idhini Baada ya Kuarifiwa Yathibitishwa Tena, 11/15
Haki za Wagonjwa Zaheshimiwa, 3/15
Hali Ifaayo Ukuzi (Guinea ya Ikweta), 10/15
Kampeni ya Kutoa Ushahidi Katika Ugiriki, 4/15
Kuandaa Kitulizo Katikati ya Magofu, 12/1
Kueneza Kweli ya Biblia Katika Ureno, 2/15
Kuhitimu Gileadi, 6/1, 12/1
Kutoa Ushahidi Greenland, 6/15
Kutoa Ushahidi Kamerun, 8/15
Uhuru wa Dini Waungwa Mkono Japani, 11/1
Upanuzi kwa Baraka za Yehova (kuwekwa wakfu kwa makao makuu), 4/15
Ustaafu—Mlango Ulio Wazi Kuelekea Utendaji? 7/15
“Wajueni Sana Watu Kama Hao,” 6/15
“Wasifaji Wenye Shangwe” Mikusanyiko ya Wilaya, 1/15
Wategemezwa na Rafiki Mkubwa Kupita Wote (Chekoslovakia), 3/15
Wewe Ni Painia Mwenye Usawaziko? 5/15
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Alimtumikia Yehova kwa Unyenyekevu (J. Booth), 6/15
“Fanyeni Kazi, Si kwa Ajili ya Chakula Ambacho Huharibika” (D. Lunstrum), 4/1
Kukaza Macho na Moyo Kwenye Tuzo (E. Michael), 8/1
Kumtumikia Mungu Mwenye Kutumainika (K. Progakis), 9/1
Kumtumikia Yehova Tukiwa Familia Iliyoungana (A. Santoleri), 10/1
Kutumikia Chini ya Mkono Wenye Upendo wa Yehova (L. Zoumbos), 5/1
Miaka Zaidi ya 50 ya ‘Kuvuka’ (E. Paterakis), 11/1
Neno la Mungu Hufanya “Miujiza” (T. Héon), 7/1
Tumaini Langu la Maisha Yote—Nisife Kamwe (H. Priest), 2/1
Tumeungana Katika Utumishi Kupitia Nyakati Nzuri na Mbaya (M. na B. Muller), 3/1
Yehova Alithibitika Kuwa Pamoja Nami (M. Henning), 6/1
Yehova Amekuwa Kimbilio Langu (P. Makris), 12/1
Yehova Hakutuacha Kamwe (N. Dori), 1/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI WETU
Jina la kila familia (Efe 3:14, 15, NW), 1/15
Kwa nini toʹte (ndipo) latumiwa ili kutanguliza kinachokuja mbele na kinachofuata? 7/15
Mtu aweza kusahau jambo kimakusudi? (Flp 3:13), 5/1
Ni jambo la hekima kumwendea tabibu wa afya ya akili? 9/1
Ufalme wa Mungu uje duniani? 6/1
Wakristo waweza kusamehe dhambi? 4/15
Wakristo wenye tumaini la kidunia wana kiasi kilekile cha roho kama watiwa-mafuta? 6/15
Wapya watiwa-mafuta kwa roho? 8/15
Yesu aijua tarehe ya Har–Magedoni? 8/1
WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 8/1, 9/1, 10/1, 12/1
YEHOVA
Kumpenda Mungu Humaanisha Nini? 6/15
Mtwike Yehova Mzigo Wako, 4/1
Mungu Akujali Wewe, 3/1
Mungu Hukubali Kila Namna ya Ibada? 7/1
Sababu Iliyofanya Atumie Jina Kuu Kupita Yote, 4/15
Waweza Kwa Kweli Kumpenda Mungu? 6/15
Yehova—Mpenda Uadilifu na Haki, 3/15
YESU KRISTO
Gospeli Kulingana na Wasomi, 12/15
Kutii Maneno ya Yesu ya Kuaga, 3/15
Kweli juu ya Yesu, 12/15
Wewe Ungalimtambua Mesiya? 11/15