Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w96 12/15 uku. 31
  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1996

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1996
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI WETU
  • WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
w96 12/15 uku. 31

Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1996

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana

BIBLIA

Hekaya ya Furiko Yategemeza Simulizi la Biblia, 9/15

Pambano kwa Ajili ya Biblia ya Kihispania, 6/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Adhimisheni Ukumbusho Inavyostahili, 4/1

Dumisha Uhakika Ukiwa Imara Hadi Mwisho, 5/1

Faraja, Kitia Moyo—Vito Vyenye Pande Nyingi, 1/15

Jinsi Ambavyo Wachungaji Wakristo Hukutumikia, 3/15

Jinsi ya Kusali kwa Mungu? 7/15

Kuandalia Watu wa Nyumbani—Katika Nchi Zinazositawi, 10/1

Kuishi Kwa Kupatana na Nadhiri Yako ya Ndoa, 3/1

Kulitumia Sawasawa Neno la Ile Kweli, 1/1

“Kumbukeni Siku Zilizopita”—Kwa Nini? 12/1

Kumwiga Mungu Wetu Asiyebagua? 11/15

Kupanda Juu kwa Mbawa Kama Tai, 6/15

Kupata Shangwe Katika Kufanya Wanafunzi, 2/15

Maoni ya Kimungu juu ya Vinywaji Vyenye Alkoholi, 12/15

Mungu, Serikali na Wewe, 5/1

Tazama Zaidi ya Vitu Uvionavyo! 2/15

Twaa Fursa Hii ya Pekee! 11/15

Ukristo wa Mapema na Serikali, 5/1

Wahitaji Kuomba Radhi? 9/15

Wakati wa Kunyamaza na wa Kunena, 5/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Baba na Mzee—Kutimiza Mafungu Yote Mawili, 10/15

Baraka au Laana—Kuna Chaguo! 6/15

Baraka au Laana—Vielelezo kwa Ajili Yetu Leo, 6/15

Dumisheni Muungano Katika Siku Hizi za Mwisho, 7/15

Elimu—Itumie Kumsifu Yehova, 2/1

Familia ya Yehova Hufurahia Muungano Wenye Thamani, 7/15

“Fuateni Mwendo wa Ukaribishaji-Wageni,” 10/1

“Fulizeni Kunitarajia,” 3/1

Hekalu Kubwa la Kiroho la Yehova, 7/1

“Iweni Watakatifu Katika Mwenendo Wenu Wote,” 8/1

Jambo Kuu Maishani Mwako Ni Nini? 12/15

Jinsi Ambavyo Waangalizi Wasafirio Hutumikia Wakiwa Wasimamizi-Nyumba Waaminifu, 11/15

Jitoe Mwenyewe kwa Usomaji, 5/15

Kondoo wa Yehova Wahitaji Utunzaji Mwororo, 1/15

Kufundishwa Kuyatenda Mapenzi ya Yehova, 12/15

Kuishi Kulingana na Sheria ya Kristo, 9/1

Kuja kwa Yesu au Kuwapo kwa Yesu—Ni Kupi? 8/15

Kukabili Mtihani wa Uaminifu-Mshikamanifu, 3/15

Kukimbilia Usalama Kabla ya “Dhiki Kubwa,” 6/1

Kumpa Kaisari Yaliyo ya Kaisari, 5/1

Kushiriki Faraja Ambayo Yehova Huandaa, 11/1

‘Lazima Mwe Watakatifu kwa Kuwa Mimi Ni Mtakatifu,’ 8/1

Lazima Wote Watoe Hesabu kwa Mungu, 9/15

Mbegu ya Nyoka—Yafunuliwaje? 6/1

“Mikono Yako Isilegee,” 3/1

Msifuni Mfalme wa Umilele! 4/1

“Msifuni Yah, Enyi Watu!” 4/1

Mtegemee Yehova ili Kupata Faraja, 11/1

Mtumaini Yehova na Neno Lake, 2/1

Mume na Mzee—Kusawazisha Hayo Madaraka, 10/15

Mungu na Kaisari, 5/1

“Nyumba ya Sala kwa Mataifa Yote,” 7/1

‘Penda Kweli na Amani’! 1/1

Sababu Kwa Nini Dini ya Kilimwengu Itaisha, 4/15

Sababu Kwa Nini Ibada ya Kweli Hupokea Baraka ya Mungu, 4/15

Sheria ya Kabla ya Kristo, 9/1

Sheria ya Kristo, 9/1

Soma Neno la Mungu na Umtumikie Katika Kweli, 5/15

Tuna Sababu ya Kulia kwa Shangwe, 2/15

Ufalme wa Mungu—Je, Unapata Maana Yao? 2/1

Ukaribishaji-Wageni wa Kikristo Katika Ulimwengu Uliogawanyika, 10/1

Useja—Mlango Uelekeao Kwenye Utendaji Pasipo Kukengeushwa Fikira, 10/15

Ushindi wa Ibada ya Kweli Wakaribia, 7/1

Utaokolewa Mungu Atendapo? 8/15

Vijana Wamkumbukao Muumba Wao, 12/1

Waangalizi Wasafirio—Zawadi Zikiwa Wanadamu, 11/15

Wanadamu Wahitaji Ujuzi juu ya Mungu, 1/15

Watazame Wale Waaminifu-Washikamanifu! 3/15

Wazazi, Pendezweni na Watoto Wenu, 12/1

Wenye Shangwe Sasa na Milele, 2/15

Yehova Hutoa Amani na Kweli kwa Wingi, 1/1

Yehova na Apendezwe na Hesabu Yako, 9/15

MAMBO MENGINE

Akila na Prisila—Wenzi Walio Kielelezo Chema, 12/15

Amani Yaweza Kupatikana? 1/1

Apolo—Mpiga-Mbiu Mfasaha wa Kweli ya Kikristo, 10/1

Biblia Hufundisha Itikadi Katika Ajali? 9/1

Danieli Alimtumikia Mungu kwa Udumifu, 11/15

Dini Zote Humpendeza Mungu? 9/15

Epafrodito—Mjumbe wa Wafilipi, 8/15

Faraday—Mwanasayansi na Mtu wa Imani, 8/1

Faraja kwa Walioonewa, 11/1

Faraja Wakati wa Miaka ya Vita (Bosnia, Croatia), 11/1

Filipo Ambatiza Ofisa Mwethiopia, 7/15

Furahia Urafiki Wenye Kudumu, 3/15

Gamalieli—Alimfundisha Sauli wa Tarso, 7/15

Ista au Ukumbusho—Ni Upi? 4/1

Jeuri Ipo Kila Mahali, 2/15

Kuna Habari Njema Mbele! 4/15

Kuna Uhai Baada ya Kifo? 10/15

Kurudi Mavumbini—Jinsi Gani? 9/15

Kuzuru Bara Lililoahidiwa, 8/15

Kwa Nini Tumtolee Yehova? 11/1

Lazima Tuote Ndoto, 10/1

Lidia—Mwabudu wa Mungu Mkaribishaji-Wageni, 9/15

Maisha Yako Yanadhibitiwa na Ajali? 9/1

Maoni ya Mungu juu ya Ibada ya Jumuiya ya Wakristo, 7/1

Masomo Kutokana na Bara Lililoahidiwa, 8/15

Matukio Yenye Kuongezeka ya Habari Mbaya, 4/15

Mfungo Ni Jambo la Kale? 11/15

Mhasiriwa wa Ubaguzi? 6/1

Misiba Asilia Ipigapo, 12/1

Msichana Mdogo Alisema kwa Moyo Mkuu, 5/15

‘Mungu Ananijali?’ 3/1

Mungu Hutaka Mfungo? 11/15

Musa na Aroni—Wapiga-Mbiu Wenye Moyo Mkuu, 1/15

Mwisho Wenye Kudumu wa Jeuri—Utakujaje? 2/15

Nafsi Ni Isiyoweza Kufa? 8/1

Ndoto Zaweza Kutabiri Wakati Ujao? 10/1

Ni Lazima Tufanye Nini Tuokolewe? 2/1

Ni Nani Astahiliye Kuitwa Rabi, 7/1

Nuru Yamalizia Enzi ya Giza, 1/15

“Nyumba ya Daudi”—Jambo la Hakika au Hadithi Yenye Kubuniwa? 10/15

Petro Ahubiri Wakati wa Pentekoste, 9/15

Theofilo wa Antiokia Alikuwa Nani? 3/15

“Tufundishe Sisi Kusali,” 7/15

Tumaini Zuri Zaidi kwa Ajili ya Nafsi, 8/1

Twahitaji Marafiki wa Kweli, 3/15

Ubaguzi Hautakuwapo Tena! 6/1

Uhai Baada ya Kifo—Jinsi Gani, Wapi, Lini? 10/15

Usalama wa Kweli—Mradi Ulio Mgumu Kufikia, 5/15

Usalama wa Kweli—Sasa na Milele, 5/15

Utajiri wa Mfalme Sulemani Umetiwa Chumvi? 10/15

Wenye Shangwe Katika Ulimwengu Usio na Shangwe, 1/15

Wewe Umeokolewa? 2/1

Yale Ambayo Viumbe “Vyenye Hekima ya Kisilika” Vyatufundisha, 7/15

Yona Ajifunza juu ya Rehema ya Yehova, 5/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Amani Katika Ulimwengu Wenye Msukosuko, 1/1

“Basi Kanisa Lenu Liko Wapi?” (Msumbiji), 12/15

Haki ya Idhini Baada ya Kuarifiwa Yathibitishwa Tena, 11/15

Haki za Wagonjwa Zaheshimiwa, 3/15

Hali Ifaayo Ukuzi (Guinea ya Ikweta), 10/15

Kampeni ya Kutoa Ushahidi Katika Ugiriki, 4/15

Kuandaa Kitulizo Katikati ya Magofu, 12/1

Kueneza Kweli ya Biblia Katika Ureno, 2/15

Kuhitimu Gileadi, 6/1, 12/1

Kutoa Ushahidi Greenland, 6/15

Kutoa Ushahidi Kamerun, 8/15

Uhuru wa Dini Waungwa Mkono Japani, 11/1

Upanuzi kwa Baraka za Yehova (kuwekwa wakfu kwa makao makuu), 4/15

Ustaafu—Mlango Ulio Wazi Kuelekea Utendaji? 7/15

“Wajueni Sana Watu Kama Hao,” 6/15

“Wasifaji Wenye Shangwe” Mikusanyiko ya Wilaya, 1/15

Wategemezwa na Rafiki Mkubwa Kupita Wote (Chekoslovakia), 3/15

Wewe Ni Painia Mwenye Usawaziko? 5/15

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Alimtumikia Yehova kwa Unyenyekevu (J. Booth), 6/15

“Fanyeni Kazi, Si kwa Ajili ya Chakula Ambacho Huharibika” (D. Lunstrum), 4/1

Kukaza Macho na Moyo Kwenye Tuzo (E. Michael), 8/1

Kumtumikia Mungu Mwenye Kutumainika (K. Progakis), 9/1

Kumtumikia Yehova Tukiwa Familia Iliyoungana (A. Santoleri), 10/1

Kutumikia Chini ya Mkono Wenye Upendo wa Yehova (L. Zoumbos), 5/1

Miaka Zaidi ya 50 ya ‘Kuvuka’ (E. Paterakis), 11/1

Neno la Mungu Hufanya “Miujiza” (T. Héon), 7/1

Tumaini Langu la Maisha Yote—Nisife Kamwe (H. Priest), 2/1

Tumeungana Katika Utumishi Kupitia Nyakati Nzuri na Mbaya (M. na B. Muller), 3/1

Yehova Alithibitika Kuwa Pamoja Nami (M. Henning), 6/1

Yehova Amekuwa Kimbilio Langu (P. Makris), 12/1

Yehova Hakutuacha Kamwe (N. Dori), 1/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI WETU

Jina la kila familia (Efe 3:14, 15, NW), 1/15

Kwa nini toʹte (ndipo) latumiwa ili kutanguliza kinachokuja mbele na kinachofuata? 7/15

Mtu aweza kusahau jambo kimakusudi? (Flp 3:13), 5/1

Ni jambo la hekima kumwendea tabibu wa afya ya akili? 9/1

Ufalme wa Mungu uje duniani? 6/1

Wakristo waweza kusamehe dhambi? 4/15

Wakristo wenye tumaini la kidunia wana kiasi kilekile cha roho kama watiwa-mafuta? 6/15

Wapya watiwa-mafuta kwa roho? 8/15

Yesu aijua tarehe ya Har–Magedoni? 8/1

WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI

1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 8/1, 9/1, 10/1, 12/1

YEHOVA

Kumpenda Mungu Humaanisha Nini? 6/15

Mtwike Yehova Mzigo Wako, 4/1

Mungu Akujali Wewe, 3/1

Mungu Hukubali Kila Namna ya Ibada? 7/1

Sababu Iliyofanya Atumie Jina Kuu Kupita Yote, 4/15

Waweza Kwa Kweli Kumpenda Mungu? 6/15

Yehova—Mpenda Uadilifu na Haki, 3/15

YESU KRISTO

Gospeli Kulingana na Wasomi, 12/15

Kutii Maneno ya Yesu ya Kuaga, 3/15

Kweli juu ya Yesu, 12/15

Wewe Ungalimtambua Mesiya? 11/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki