Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1997
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana
BIBLIA
Biblia ya Makarios, 12/15
Jinsi Biblia Ilivyotufikia, 8/15, 9/15, 10/15
Kitabu cha Pekee, 6/15
Mungu Aliipuliziaje? 6/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Arusi Zinazomheshimu Yehova, 4/15
Dhamiri, 8/1
Dumisha Shangwe Katika Utumishi wa Wakati Wote, 9/15
Funzo la Familia, 8/1
Je, Wewe Hula Vyema Kiroho? 4/15
Je, Wewe Hutamani Kutumikia Kikamili Zaidi? 3/15
Je, Wewe Ni Rafiki ya Mungu?—Sala Hufunua, 7/1
Jihadhari na Kuhesabia Nia Mbaya, 5/15
Jihadhari na “Waepikurea,” 11/1
Kirihi Lililo Ovu, 1/1
Kufahamu Kanuni, 10/15
Kulalamika kwa Namna Zote Ni Kubaya? 12/1
Kuwaheshimu Wazazi Wazee-Wazee, 9/1
Kwa Nini Lililo Baya Liripotiwe? 8/15
‘Mheshimu Yehova kwa Vitu Vyenye Thamani’—Namna Gani? 11/1
Okoa Maisha ya Mtoto Wako! 7/15
Roho ya Ulimwengu Inakutia Sumu? 10/1
Tumaini Katikati ya Hali ya Kukata Tumaini, 5/15
Uaminifu-Maadili, 5/1
Udhaifu wa Kibinadamu Hutukuza Nguvu za Yehova, 6/1
Ufuatiaji wa Haki—Kwa Kutukia au kwa Kuchagua? 5/15
Waogopa Kuwa na Itibari Katika Wengine? 3/1
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Acha Ufahamu Ukulinde Salama, 3/15
Acheni Tuishike Sana Imani Yetu Yenye Thamani! 9/1
Acheni Upendo Wenu wa Kidugu Uendelee! 8/1
Acheni Wote Wamtukuze Yehova! 1/1
Amani ya Kweli—Kutoka Chanzo Gani? 4/15
Baraka za Huduma ya Painia, 10/15
Elekeza Moyo Wako Kwenye Ufahamu, 3/15
‘Endeleeni Kusameheana kwa Hiari,’ 12/1
Fanya Tangazo la Hadharani kwa Ajili ya Wokovu, 12/15
Fuatia Amani ya Kimungu Katika Maisha ya Familia, 6/15
Hakuna Amani kwa Wajumbe Wasio wa Kweli! 5/1
“Hivi Ndivyo Mungu Alivyotupenda,” 2/1
Imani Hutufanya Tuwe Wenye Subira na Wenye Kusali Sana, 11/15
Imani Hutusukuma Tutende! 11/15
“Ingawa Hamkumwona Yeye Kamwe, Mwampenda,” 2/1
Je, Uko Tayari kwa Siku ya Yehova? 3/1
Je, Utakuwa Mwaminifu Kama Eliya? 9/15
Je, Wafuatia Wema wa Adili? 7/15
Jihadharini na Walimu Wasio wa Kweli! 9/1
Jipeni Moyo Kadiri Ukombozi Ukaribiavyo, 4/1
Kubaki Hai Baada ya ‘Siku ya Yehova,’ 12/15
Kudumisha Wema wa Adili Katika Ulimwengu Uliojaa Upotovu wa Adili, 7/15
Kuishi kwa Ajili ya Sasa au kwa Ajili ya Wakati Ujao wa Milele? 8/15
Kumtambua Mjumbe wa Aina Inayofaa, 5/1
Kusaidia Wengine Wajifunze Matakwa ya Mungu, 1/15
Kutegemeza kwa Uaminifu-Mshikamanifu Neno la Mungu Lililopuliziwa, 10/1
Kutumikia kwa Uaminifu-Mshikamanifu Pamoja na Tengenezo la Yehova, 8/1
Kutumikia Tukiwa Wajumbe wa Amani ya Kimungu, 1/15
“Kwa Jumla Ndiyo Impasayo Mtu,” 2/15
Mungu Anataka Tufanye Nini? 1/15
“Mwanamume na Mwanamke Aliwaumba,” 6/15
Neno la Mungu Hudumu Milele, 10/1
Ni Nani Atakayeiokoka “Siku ya Yehova”? 9/15
Siri Ambayo Wakristo Hawathubutu Kuweka! 6/1
Tafuta Sana Amani ya Kweli na Kuifuatia! 4/15
Uhai Wako—Kusudi Lao Ni Nini? 2/15
Uhudumiaji wa Kitheokrasi Katika Enzi ya Ukristo, 5/15
Ukombozi Kuingia Katika Ulimwengu Mpya Mwadilifu, 4/1
Ulimwenguni Lakini Si Sehemu Yake, 11/1
“Utimamu wa Akili” Mwisho Ukaribiapo, 8/15
Utukufu Mkubwa Zaidi wa Nyumba ya Yehova, 1/1
Wajumbe wa Amani ya Kimungu Watamkwa Kuwa Wenye Furaha, 5/1
Wakristo na Ulimwengu wa Wanadamu, 11/1
Waliotengwa Wawe Wasifaji Wenye Shangwe Ulimwenguni Pote, 7/1
Weka Siku ya Yehova Karibu Akilini, 9/1
Wenye Furaha Ni Wale Wakaao Macho! 3/1
Yajapokuwa Majaribu, Shikeni Imani Yenu! 11/15
‘Yehova Hatawatupa Watu Wake,’ 7/1
Yehova Hupendezwa Sana na Utumishi Wako wa Nafsi Yote, 10/15
Yehova—Mungu Afunuaye Siri, 6/1
Yehova, Mungu Aliye “Tayari Kusamehe,” 12/1
Yesu Ajapo Katika Utukufu wa Ufalme, 5/15
MAMBO MENGINE
Amri Kumi, 12/1
Aristarko, 9/15
Aroni, 2/15
Dhambi, 7/15
Ehudi, 3/15
Enoki, 1/15
Epafrasi, 5/15
Furaha—Ufunguo Ni Nini? 10/15
Furaha Yaweza Kupatikana Wapi? 3/15
Harakati ya Kufuata Kanuni za Msingi za Kidini, 3/1
“Hekalu la Mungu” na Sanamu Zilizoko Ugiriki, 2/15
“Hukumu ya Kuchungua”—Ni Fundisho Lenye Msingi wa Biblia? 7/15
Imani Yahitaji Muujiza? 3/15
“Koti Takatifu la Trier,” 4/1
Krismasi, 12/15
Kuteseka Kutakapokuwa Hakupo Tena, 2/15
Kutwaa Umbo Jipya, 5/15
Mahali pa Muziki Katika Ibada ya Kisasa, 2/1
Maponyo, 7/1
Misherehekeo ya Mavuno Humpendeza Mungu? 9/15
Mishnah, 11/15
Miujiza Peke Yayo Haijengi Imani, 3/15
Muungano wa Ulimwengu, 11/1
Naḥmanides Alikanusha Ukristo? 4/15
Ndoa ya Kibikira? (Maria), 10/15
Ndoa ya Miaka 403 Imo Taabani (Kanisa la Sweden), 4/1
Onesiforo, 11/15
Shekemu—Jiji Katika Bonde, 2/1
Shule za Bweni, 3/15
Shunemu—Jiji Lililotiwa Alama na Upendo na Jeuri, 10/1
Sifa ya Kutumainika Katika Ulimwengu Usio Mkamilifu, 5/1
Siku za Mwisho, 4/1
Sosaiti za Siri, 6/1
Tajiri Ingawa Maskini, 9/15
Tertio, 7/15
Uhuru wa Kidini, 2/1
Vijana—Wakati Ujao Ulio Salama? 12/1
Wanasarakasi wa Majabali ya Milima, 7/15
Watamani Sana Ulimwengu Wenye Haki? 11/15
Wenye Taabu Watapata Kuwa na Amani? 4/15
Wokovu, 8/15
Yerusalemu Katika Nyakati za Biblia, 6/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
Broshua Anataka, 1/15
Elimu-Maadili ya Kibiolojia na Upasuaji Usiotumia Damu, 2/15
Habari Njema ya Paradiso Tahiti, 10/15
Kuhitimu Gileadi, 6/1, 12/1
Kukinza Mashtaka Yasiyo ya Kweli Katika Ufaransa, 3/15
Kutembelea Shamba Letu la Umishonari la Nyumbani (C. Seymour), 6/15
Kuwaletea Walio Gerezani Uhuru wa Kiroho (Mexico), 2/15
Kuwaonyesha Upendo Wenye Uhitaji, 10/1
Kwa Nini Wote Wamsifu Mungu? (mambo yaliyoonwa), 1/1
Mahakama Kuu Zaidi ya Connecticut Yategemeza Haki za Mgonjwa, 8/1
Michango, 11/1
Mikusanyiko ya Kimataifa, 4/1
Mnyanyaso wa Nazi, 8/15
“Mojawapo Tu ya Maisha Nyingi Ulizoathiri,” 3/1
Ushindi Katika Ugiriki, 2/1
“Wajumbe wa Amani ya Kimungu” Mikusanyiko, 1/15
‘Waliinunua Kweli’! (Ghana), 12/15
Wenye Mfano wa Kondoo Katika Eneo la Navajo, 8/15
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
“Badala ya Dhahabu, Nilipata Almasi” (M. Kaminaris), 3/1
Kuacha Mengi kwa Ajili ya Kitu Bora Zaidi (J. Owo Bello), 1/1
Kumngojea Yehova kwa Subira Tangu Ujana Wangu na Kuendelea (R. Graichen), 8/1
Kushukuru kwa Ajili ya Maisha Marefu Katika Utumishi wa Yehova (O. Mydland), 10/1
Kutegemezwa na Uhakika Katika Yehova (A. Paixão), 2/1
Maisha Ambayo Sikujuta Kamwe (P. Obrist), 7/1
Moyo Wangu Wafurika kwa Shukrani (J. Wynn), 9/1
Mungu Ni Kimbilio Langu na Nguvu Zangu (C. Müller), 5/1
Nilijifunza Kweli ya Biblia Katika Rumania (G. Romocean), 4/1
Nilimwona “Mnyonge” Akipata Kuwa “Taifa Hodari” (W. Dingman), 11/1
Thawabu kwa Ajili ya Utumishi Mtakatifu (H. Bloor), 12/1
Yehova Hutenda kwa Uaminifu-Mshikamanifu (P. Palliser), 6/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI WETU
Adhabu ya kifo, 6/15
Biashara—kwa nini kufanya mkataba ulioandikwa? 8/1
Kazi ya baraza la mahakama, 4/1
“Kizazi” (Mt 24:34) chafanya mwisho uwe mbali? 5/1
Kutakuwako wageuzwa-imani wakati wa “dhiki kubwa”? 2/15
Kutumiwa kwa kondo la nyuma na kiungamwana, 2/1
Kuwekwa wazi kwa maana ya “kizazi” (Mt 24:34) kwaathiri mwaka wa 1914? 6/1
Mashahidi leo wanafanya kazi ya kutenganisha? 7/1
Tetragramatoni imo katika kitabu cha Mathayo cha Shem-Tob? 8/15
Upedofilia, 2/1
WALIFANYA MAPENZI YA YEHOVA
Baba Aliye Tayari Kusamehe (kielezi cha mwana mpotevu), 9/1
Imani ya Wazazi Yathawabishwa (wazazi wa Musa), 5/1
Kielelezo cha Kujidhabihu, Uaminifu-Mshikamanifu (Elisha), 11/1
Kumtafutia Isaka Mke, 1/1
Mwanamke Mwenye Busara Azuia Msiba (Abigaeli), 7/1
Yesu Anakaribishwa Akiwa Mesiya na Mfalme, 3/1
WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
2/1, 3/1, 4/1, 6/1, 7/1, 8/1, 9/1, 10/1, 12/1
YEHOVA
Hutawala kwa Huruma, 12/15
Mungu Mwenye Utu, 10/1
“Mungu wa Amani” Huwajali Wenye Taabu, 4/15
YESU
Anakaribishwa Akiwa Mesiya na Mfalme, 3/1