Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w97 12/15 uku. 31
  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1997

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1997
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI WETU
  • WALIFANYA MAPENZI YA YEHOVA
  • WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
  • YEHOVA
  • YESU
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
w97 12/15 uku. 31

Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1997

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana

BIBLIA

Biblia ya Makarios, 12/15

Jinsi Biblia Ilivyotufikia, 8/15, 9/15, 10/15

Kitabu cha Pekee, 6/15

Mungu Aliipuliziaje? 6/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Arusi Zinazomheshimu Yehova, 4/15

Dhamiri, 8/1

Dumisha Shangwe Katika Utumishi wa Wakati Wote, 9/15

Funzo la Familia, 8/1

Je, Wewe Hula Vyema Kiroho? 4/15

Je, Wewe Hutamani Kutumikia Kikamili Zaidi? 3/15

Je, Wewe Ni Rafiki ya Mungu?—Sala Hufunua, 7/1

Jihadhari na Kuhesabia Nia Mbaya, 5/15

Jihadhari na “Waepikurea,” 11/1

Kirihi Lililo Ovu, 1/1

Kufahamu Kanuni, 10/15

Kulalamika kwa Namna Zote Ni Kubaya? 12/1

Kuwaheshimu Wazazi Wazee-Wazee, 9/1

Kwa Nini Lililo Baya Liripotiwe? 8/15

‘Mheshimu Yehova kwa Vitu Vyenye Thamani’—Namna Gani? 11/1

Okoa Maisha ya Mtoto Wako! 7/15

Roho ya Ulimwengu Inakutia Sumu? 10/1

Tumaini Katikati ya Hali ya Kukata Tumaini, 5/15

Uaminifu-Maadili, 5/1

Udhaifu wa Kibinadamu Hutukuza Nguvu za Yehova, 6/1

Ufuatiaji wa Haki—Kwa Kutukia au kwa Kuchagua? 5/15

Waogopa Kuwa na Itibari Katika Wengine? 3/1

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Acha Ufahamu Ukulinde Salama, 3/15

Acheni Tuishike Sana Imani Yetu Yenye Thamani! 9/1

Acheni Upendo Wenu wa Kidugu Uendelee! 8/1

Acheni Wote Wamtukuze Yehova! 1/1

Amani ya Kweli—Kutoka Chanzo Gani? 4/15

Baraka za Huduma ya Painia, 10/15

Elekeza Moyo Wako Kwenye Ufahamu, 3/15

‘Endeleeni Kusameheana kwa Hiari,’ 12/1

Fanya Tangazo la Hadharani kwa Ajili ya Wokovu, 12/15

Fuatia Amani ya Kimungu Katika Maisha ya Familia, 6/15

Hakuna Amani kwa Wajumbe Wasio wa Kweli! 5/1

“Hivi Ndivyo Mungu Alivyotupenda,” 2/1

Imani Hutufanya Tuwe Wenye Subira na Wenye Kusali Sana, 11/15

Imani Hutusukuma Tutende! 11/15

“Ingawa Hamkumwona Yeye Kamwe, Mwampenda,” 2/1

Je, Uko Tayari kwa Siku ya Yehova? 3/1

Je, Utakuwa Mwaminifu Kama Eliya? 9/15

Je, Wafuatia Wema wa Adili? 7/15

Jihadharini na Walimu Wasio wa Kweli! 9/1

Jipeni Moyo Kadiri Ukombozi Ukaribiavyo, 4/1

Kubaki Hai Baada ya ‘Siku ya Yehova,’ 12/15

Kudumisha Wema wa Adili Katika Ulimwengu Uliojaa Upotovu wa Adili, 7/15

Kuishi kwa Ajili ya Sasa au kwa Ajili ya Wakati Ujao wa Milele? 8/15

Kumtambua Mjumbe wa Aina Inayofaa, 5/1

Kusaidia Wengine Wajifunze Matakwa ya Mungu, 1/15

Kutegemeza kwa Uaminifu-Mshikamanifu Neno la Mungu Lililopuliziwa, 10/1

Kutumikia kwa Uaminifu-Mshikamanifu Pamoja na Tengenezo la Yehova, 8/1

Kutumikia Tukiwa Wajumbe wa Amani ya Kimungu, 1/15

“Kwa Jumla Ndiyo Impasayo Mtu,” 2/15

Mungu Anataka Tufanye Nini? 1/15

“Mwanamume na Mwanamke Aliwaumba,” 6/15

Neno la Mungu Hudumu Milele, 10/1

Ni Nani Atakayeiokoka “Siku ya Yehova”? 9/15

Siri Ambayo Wakristo Hawathubutu Kuweka! 6/1

Tafuta Sana Amani ya Kweli na Kuifuatia! 4/15

Uhai Wako—Kusudi Lao Ni Nini? 2/15

Uhudumiaji wa Kitheokrasi Katika Enzi ya Ukristo, 5/15

Ukombozi Kuingia Katika Ulimwengu Mpya Mwadilifu, 4/1

Ulimwenguni Lakini Si Sehemu Yake, 11/1

“Utimamu wa Akili” Mwisho Ukaribiapo, 8/15

Utukufu Mkubwa Zaidi wa Nyumba ya Yehova, 1/1

Wajumbe wa Amani ya Kimungu Watamkwa Kuwa Wenye Furaha, 5/1

Wakristo na Ulimwengu wa Wanadamu, 11/1

Waliotengwa Wawe Wasifaji Wenye Shangwe Ulimwenguni Pote, 7/1

Weka Siku ya Yehova Karibu Akilini, 9/1

Wenye Furaha Ni Wale Wakaao Macho! 3/1

Yajapokuwa Majaribu, Shikeni Imani Yenu! 11/15

‘Yehova Hatawatupa Watu Wake,’ 7/1

Yehova Hupendezwa Sana na Utumishi Wako wa Nafsi Yote, 10/15

Yehova—Mungu Afunuaye Siri, 6/1

Yehova, Mungu Aliye “Tayari Kusamehe,” 12/1

Yesu Ajapo Katika Utukufu wa Ufalme, 5/15

MAMBO MENGINE

Amri Kumi, 12/1

Aristarko, 9/15

Aroni, 2/15

Dhambi, 7/15

Ehudi, 3/15

Enoki, 1/15

Epafrasi, 5/15

Furaha—Ufunguo Ni Nini? 10/15

Furaha Yaweza Kupatikana Wapi? 3/15

Harakati ya Kufuata Kanuni za Msingi za Kidini, 3/1

“Hekalu la Mungu” na Sanamu Zilizoko Ugiriki, 2/15

“Hukumu ya Kuchungua”—Ni Fundisho Lenye Msingi wa Biblia? 7/15

Imani Yahitaji Muujiza? 3/15

“Koti Takatifu la Trier,” 4/1

Krismasi, 12/15

Kuteseka Kutakapokuwa Hakupo Tena, 2/15

Kutwaa Umbo Jipya, 5/15

Mahali pa Muziki Katika Ibada ya Kisasa, 2/1

Maponyo, 7/1

Misherehekeo ya Mavuno Humpendeza Mungu? 9/15

Mishnah, 11/15

Miujiza Peke Yayo Haijengi Imani, 3/15

Muungano wa Ulimwengu, 11/1

Naḥmanides Alikanusha Ukristo? 4/15

Ndoa ya Kibikira? (Maria), 10/15

Ndoa ya Miaka 403 Imo Taabani (Kanisa la Sweden), 4/1

Onesiforo, 11/15

Shekemu—Jiji Katika Bonde, 2/1

Shule za Bweni, 3/15

Shunemu—Jiji Lililotiwa Alama na Upendo na Jeuri, 10/1

Sifa ya Kutumainika Katika Ulimwengu Usio Mkamilifu, 5/1

Siku za Mwisho, 4/1

Sosaiti za Siri, 6/1

Tajiri Ingawa Maskini, 9/15

Tertio, 7/15

Uhuru wa Kidini, 2/1

Vijana—Wakati Ujao Ulio Salama? 12/1

Wanasarakasi wa Majabali ya Milima, 7/15

Watamani Sana Ulimwengu Wenye Haki? 11/15

Wenye Taabu Watapata Kuwa na Amani? 4/15

Wokovu, 8/15

Yerusalemu Katika Nyakati za Biblia, 6/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Broshua Anataka, 1/15

Elimu-Maadili ya Kibiolojia na Upasuaji Usiotumia Damu, 2/15

Habari Njema ya Paradiso Tahiti, 10/15

Kuhitimu Gileadi, 6/1, 12/1

Kukinza Mashtaka Yasiyo ya Kweli Katika Ufaransa, 3/15

Kutembelea Shamba Letu la Umishonari la Nyumbani (C. Seymour), 6/15

Kuwaletea Walio Gerezani Uhuru wa Kiroho (Mexico), 2/15

Kuwaonyesha Upendo Wenye Uhitaji, 10/1

Kwa Nini Wote Wamsifu Mungu? (mambo yaliyoonwa), 1/1

Mahakama Kuu Zaidi ya Connecticut Yategemeza Haki za Mgonjwa, 8/1

Michango, 11/1

Mikusanyiko ya Kimataifa, 4/1

Mnyanyaso wa Nazi, 8/15

“Mojawapo Tu ya Maisha Nyingi Ulizoathiri,” 3/1

Ushindi Katika Ugiriki, 2/1

“Wajumbe wa Amani ya Kimungu” Mikusanyiko, 1/15

‘Waliinunua Kweli’! (Ghana), 12/15

Wenye Mfano wa Kondoo Katika Eneo la Navajo, 8/15

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

“Badala ya Dhahabu, Nilipata Almasi” (M. Kaminaris), 3/1

Kuacha Mengi kwa Ajili ya Kitu Bora Zaidi (J. Owo Bello), 1/1

Kumngojea Yehova kwa Subira Tangu Ujana Wangu na Kuendelea (R. Graichen), 8/1

Kushukuru kwa Ajili ya Maisha Marefu Katika Utumishi wa Yehova (O. Mydland), 10/1

Kutegemezwa na Uhakika Katika Yehova (A. Paixão), 2/1

Maisha Ambayo Sikujuta Kamwe (P. Obrist), 7/1

Moyo Wangu Wafurika kwa Shukrani (J. Wynn), 9/1

Mungu Ni Kimbilio Langu na Nguvu Zangu (C. Müller), 5/1

Nilijifunza Kweli ya Biblia Katika Rumania (G. Romocean), 4/1

Nilimwona “Mnyonge” Akipata Kuwa “Taifa Hodari” (W. Dingman), 11/1

Thawabu kwa Ajili ya Utumishi Mtakatifu (H. Bloor), 12/1

Yehova Hutenda kwa Uaminifu-Mshikamanifu (P. Palliser), 6/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI WETU

Adhabu ya kifo, 6/15

Biashara—kwa nini kufanya mkataba ulioandikwa? 8/1

Kazi ya baraza la mahakama, 4/1

“Kizazi” (Mt 24:34) chafanya mwisho uwe mbali? 5/1

Kutakuwako wageuzwa-imani wakati wa “dhiki kubwa”? 2/15

Kutumiwa kwa kondo la nyuma na kiungamwana, 2/1

Kuwekwa wazi kwa maana ya “kizazi” (Mt 24:34) kwaathiri mwaka wa 1914? 6/1

Mashahidi leo wanafanya kazi ya kutenganisha? 7/1

Tetragramatoni imo katika kitabu cha Mathayo cha Shem-Tob? 8/15

Upedofilia, 2/1

WALIFANYA MAPENZI YA YEHOVA

Baba Aliye Tayari Kusamehe (kielezi cha mwana mpotevu), 9/1

Imani ya Wazazi Yathawabishwa (wazazi wa Musa), 5/1

Kielelezo cha Kujidhabihu, Uaminifu-Mshikamanifu (Elisha), 11/1

Kumtafutia Isaka Mke, 1/1

Mwanamke Mwenye Busara Azuia Msiba (Abigaeli), 7/1

Yesu Anakaribishwa Akiwa Mesiya na Mfalme, 3/1

WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI

2/1, 3/1, 4/1, 6/1, 7/1, 8/1, 9/1, 10/1, 12/1

YEHOVA

Hutawala kwa Huruma, 12/15

Mungu Mwenye Utu, 10/1

“Mungu wa Amani” Huwajali Wenye Taabu, 4/15

YESU

Anakaribishwa Akiwa Mesiya na Mfalme, 3/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki