Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 1999
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana
BIBLIA
Hatua Muhimu kwa Wapendao Neno la Mungu (New World Translation), 10/15
Inatusaidia Leo? 11/15
Jerome—Mtangulizi Katika Utafsiri, 1/1
Kufasiriwa—Huathiriwa na Nani? 8/1
Kuutumaini Unabii wa Biblia, 7/15
Maneno ya Hekima Yanayofaa Leo, 4/1
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
‘Ee Nafsi Yangu, Umhimidi Yehova,’ 5/15
Familia Kubwa Zilizoungana Katika Utumishi wa Mungu, 2/15
Familia za Kambo Zinaweza Kufanikiwa, 3/1
Kujifunza Njia Ipitayo Zote ya Upendo, 10/15
Kunufaika na “Nafaka ya Mbinguni,” 8/15
Kutaniko la Kikristo—Msaada Wenye Kutia Nguvu, 5/15
Kutoa Dhabihu Zenye Kukubalika, 2/1
Kuvunjika Moyo, 11/15
Kuwa Mwenye Shukrani, 4/15
Kwa Nini Utimize Ahadi Zako? 9/15
Mawasiliano—Ufunguo wa Kuwa na Ndoa Nzuri, 7/15
Msongo wa Marika, 8/1
Nani Huongoza Kufikiri Kwako? 4/1
Ndoa Yenye Mafanikio, 2/15
Pata Hekima, Kubali Nidhamu, 9/15
Soma na Watoto Wako, 5/1
Tambua na Kushinda Udhaifu wa Kiroho, 4/15
Tumeimarishwa Kukataa Kutenda Kosa, 10/1
Unyenyekevu, 2/1
Upanue Maoni Yako? 6/15
Usiache Uwezo Wako Uwe Udhaifu Wako, 12/1
Usishindwe na Hangaiko, 3/15
Wengine Hulikubali Shauri Lako? 1/15
Zuia Hasira Isikukwaze, 8/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Baraka ya Yehova juu ya “Nchi” Yetu, 3/1
Daima Kaza Uangalifu kwa Kufundisha Kwako, 3/15
Endelea Kutembea Katika Njia ya Yehova, 5/15
Familia, Sifuni Mungu Mkiwa Sehemu ya Kutaniko, 7/1
Fanikisheni Maisha Yenu! 9/1
“Fanyeni Mioyo Yenu Kuwa Imara,” 1/1
Fidia ya Kristo—Njia ya Mungu ya Wokovu, 2/15
Fundisha kwa Ufahamu Wenye Kina na Ushawishi, 3/15
Hazina Yetu Katika Vyombo vya Udongo, 2/1
“Hekalu” na Yule “Mkuu” Leo, 3/1
Inueni Mikono Yenye Uaminifu-Mshikamanifu Katika Sala, 1/15
Iweni Wasomaji Wenye Furaha wa Kitabu cha Ufunuo, 12/1
“Jifungeni Hali ya Akili ya Kujishusha Chini,” 8/1
Jifunzeni Neno la Mungu kwa Ukawaida Mkiwa Familia, 7/1
Kesheni na Mwe na Bidii Yenye Kuendelea! 5/1
Kuishi kwa Imani Katika Ahadi za Mungu, 8/15
Kuthamini “Zawadi Zikiwa Wanadamu,” 6/1
Kuwasaidia Watu Wamkaribie Yehova, 7/15
“Kwa Kila Jambo Kuna Wakati Uliowekwa,” 10/1
Kweli Uhai Udumuo Milele Wawezekana? 4/15
“Mambo Haya Lazima Yatukie,” 5/1
Manufaa za Kupenda Neno la Mungu, 11/1
Mfinyanzi Mkuu na Kazi Yake, 2/1
Mkumbuke Muumba Wako Mtukufu! 11/15
Muumba Aweza Kufanya Maisha Yako Yawe na Maana Zaidi, 6/15
Muumba Wako—Jifunze Jinsi Alivyo, 6/15
“Mwacheni Msomaji Atumie Ufahamu,” 5/1
Nanga Yao Ni Tumaini, Nao Huchochewa na Upendo, 7/15
Njia Pekee Iendayo Kwenye Uhai Udumuo Milele, 4/15
Njia ya Upendo Haishindwi Kamwe, 2/15
Onyesha Wengine Heshima, 8/1
Sala Zako “Hutayarishwa Kama Uvumba”? 1/15
Samehe Kutoka Katika Moyo Wako, 10/15
“Taarifa za Mteremo” Kutoka Kwenye Apokalipsi, 12/1
Tuna Furaha kwa Sababu Yehova Hutuonyesha Njia Yake, 5/15
Tusirudi Nyuma Kamwe Kwenye Uangamivu! 12/15
Tuwe Namna Iliyo na Imani, 12/15
Uhai Baada ya Kifo—Biblia Husema Nini? 4/1
Uhai Baada ya Kifo—Watu Huamini Nini? 4/1
Una Imani Kama ya Abrahamu? 1/1
Unapenda Neno la Mungu Kadiri Gani? 11/1
Unatimiza Wajibu Wako Wote kwa Mungu? 11/15
Unaweza Kumpata Ndugu Yako, 10/15
Unaweza Kuvumilia Hadi Mwisho, 10/1
Vijana—Kinzeni Roho ya Ulimwengu, 9/1
Vijana—Zoezeni Nguvu Zenu za Ufahamu! 9/1
“Wakati wa Amani” Umekaribia! 10/1
Wazazi, Kielelezo Chenu Chafundisha Nini? 7/1
‘Weka Moyoni Mwako’ Hekalu la Mungu! 3/1
Yehova Aitayarisha Njia, 8/15
Yehova Hutaka Mengi Mno Kutoka Kwetu? 9/15
Yehova Hutaka Nini Kutoka Kwetu Leo? 9/15
“Zawadi Zikiwa Wanadamu” ili Kutunza Kondoo za Yehova, 6/1
MAMBO MENGINE
Apokalipsi—Tuiogope au Tuitumainie? 12/1
‘Bibi Mwenye Nywele Nyeusi wa Jangwa la Siria’ (Zenobia), 1/15
Collegiants, 4/15
2000—Ni Mwaka wa Pekee? 11/1
Falsafa ya Kigiriki Iliboresha Ukristo? 8/15
Filipo—Mweneza-Evanjeli Mwenye Bidii, 7/15
Ibada ya Baali, 4/1
Ibilisi Hutufanya Tuwe Wagonjwa? 9/1
“Ikiwa Chumvi Yapoteza Nguvu Yayo,” 8/15
Jitihada ya Kuishi Muda Mrefu, 10/15
“Katika Hatari za Baharini,” 3/15
Kila Mtu Atakuwa Huru, 5/1
Krismasi Katika Mashariki, 12/15
Kuharibu Vitu Kimakusudi, 6/15
Kujenga juu ya Misingi ya Kipagani, 3/15
Kuna Yeyote Anayejali Kikweli? 9/15
Kung’ang’ania Eneo “Takatifu,” 2/15
Kwa Nini Wakati Ni Mchache Sana? 10/1
Matokeo ya Kiburi, 2/1
Melkizedeki, 2/15
Milenia Yenye Maana, 11/1
Mlima Athos—“Mlima Mtakatifu”? 12/1
Msaada Halisi kwa Familia, 1/1
Penda Uhai, 8/15
Rashi—Mfafanuzi wa Biblia Mwenye Uvutano Mkubwa, 3/15
Sauli (Paulo), 5/15, 6/15
Sheria ya Mdomo (Dini ya Kiyahudi), 1/15
Sila—Chanzo cha Kitia-Moyo, 2/15
Timotheo—“Mtoto Halisi Katika Imani,” 9/15
Tumia Wakati Pamoja na Familia Yako, 5/15
Tunaweza Kuishi Muda Mrefu Kadiri Gani? 4/15
Ubaguzi wa Rangi na Dini, 8/1
Usawa, 8/1
Vitendawili vya Mungu, 10/1
Wafanyakazi Wenzi wa Paulo, 6/1
Wakati na Umilele, 6/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
Amani Katika Nchi Yenye Ghasia (Ireland Kaskazini), 12/15
Kuhitimu kwa Gileadi, 6/1, 12/15
Kupenda Wale Ambao ‘Ni Jamaa Katika Imani’ (misiba ya Chile), 6/15
Kutumikia Katika Eneo la Kigeni? 10/15
Kuwekwa Wakfu kwa Kituo cha Elimu cha Watchtower, 11/15
Mikusanyiko ya “Neno la Mungu la Kiunabii,” 2/15
Mikusanyiko ya “Njia ya Mungu ya Maisha,” 1/15
“Mmebadili Maoni Yangu,” 9/15
“Mume Mwenye Furaha wa Mke Anayependeza kwa Wema,” 9/1
Namibia, 7/15
Nchi ya Wavenda Yenye Kuzaa Sana, 5/1
St. Helena, 2/1
‘Tamaa Inayochochea Moyo na Akili’ (kitabu Muumba), 6/15
Ukarimu Unapokuwa Mwingi (michango), 11/1
Wasimamizi Wawasifu, 4/1
Ziara ya Kihistoria Yafanya Kisiwa Kishangilie (Kuba), 5/15
“Ziara Yangu Kwenye Jumba la Ufalme,” 11/15
MASIMULIZI YA MAISHA
Alisaidia Kueneza Nuru (L. Barry), 10/1
Kukubali kwa Shangwe Mwelekezo wa Yehova (U. Glass), 8/1
Kumpa Yehova Kile Anachostahili (T. Vasiliou), 10/1
Kushangilia Kujapokuwa Majaribu (G. Scipio), 2/1
Kutafuta Paradiso (P. Stisi), 4/1
Kutimiza Ahadi Yangu ya Kumtumikia Mungu (F. Gudlikies), 6/1
“Mtenda-Kazi Asiye na Lolote la Kuaibikia” (A. Soppa), 1/1
Toka Ufukara Hadi Utajiri Mkubwa Zaidi (M. Almeida), 7/1
Wazazi Walitufundisha Kumpenda Mungu (E. Tracy), 12/1
Yehova Amekuwa Jabali Langu (E. Lionoudakis), 9/1
Yehova Ni Mungu Mwenye Fadhili-Upendo (J. Andronikos), 11/1
Zaidi ya Miaka 40 Chini ya Marufuku (M. V. Savitskii), 3/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Kazi inayohusisha mali za kidini, 4/15
Kufunga uzazi ili kuzuia mimba, 6/15
Kupiga Kura, 11/1
‘Kutia alama’ (2Th 3:14), 7/15
Uchumba, 8/15
WALIFANYA MAPENZI YA YEHOVA
Maria Achagua “Fungu Jema,” 9/1
Mtu Mkuu Zaidi Afanya Utumishi wa Unyenyekevu (Yesu), 3/1
Paulo Ashinda Janga, 5/1
Tendo la Kusamehe (Yosefu), 1/1
Toleo la Hiari ili Kuendeleza Ibada Safi, 11/1
Ziara Iliyothawabishwa Sana (Malkia wa Sheba), 7/1
WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
2/1, 4/1, 6/1, 8/1, 12/1
YEHOVA
“Bwana Huwapa Watu Hekima,” 11/15
Hufanya Mambo kwa Njia “Zilizopotoka”? 5/1
Jina Larudishwa, 3/1
Jina Latamkwa Nchini Israeli, 7/1
Si wa Polepole, 6/1
“Yehova” au “Yahweh”? 2/1
YESU KRISTO
Jinsi Yesu Awezavyo Kubadili Maisha Yako, 7/1
Mtu Mkuu Zaidi Afanya Utumishi wa Unyenyekevu, 3/1
Siku ya Mwisho ya Maisha ya Kibinadamu, 3/15