Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w99 12/15 uku. 31
  • Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 1999

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 1999
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1999
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • WALIFANYA MAPENZI YA YEHOVA
  • WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1999
w99 12/15 uku. 31

Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 1999

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana

BIBLIA

Hatua Muhimu kwa Wapendao Neno la Mungu (New World Translation), 10/15

Inatusaidia Leo? 11/15

Jerome—Mtangulizi Katika Utafsiri, 1/1

Kufasiriwa—Huathiriwa na Nani? 8/1

Kuutumaini Unabii wa Biblia, 7/15

Maneno ya Hekima Yanayofaa Leo, 4/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

‘Ee Nafsi Yangu, Umhimidi Yehova,’ 5/15

Familia Kubwa Zilizoungana Katika Utumishi wa Mungu, 2/15

Familia za Kambo Zinaweza Kufanikiwa, 3/1

Kujifunza Njia Ipitayo Zote ya Upendo, 10/15

Kunufaika na “Nafaka ya Mbinguni,” 8/15

Kutaniko la Kikristo—Msaada Wenye Kutia Nguvu, 5/15

Kutoa Dhabihu Zenye Kukubalika, 2/1

Kuvunjika Moyo, 11/15

Kuwa Mwenye Shukrani, 4/15

Kwa Nini Utimize Ahadi Zako? 9/15

Mawasiliano—Ufunguo wa Kuwa na Ndoa Nzuri, 7/15

Msongo wa Marika, 8/1

Nani Huongoza Kufikiri Kwako? 4/1

Ndoa Yenye Mafanikio, 2/15

Pata Hekima, Kubali Nidhamu, 9/15

Soma na Watoto Wako, 5/1

Tambua na Kushinda Udhaifu wa Kiroho, 4/15

Tumeimarishwa Kukataa Kutenda Kosa, 10/1

Unyenyekevu, 2/1

Upanue Maoni Yako? 6/15

Usiache Uwezo Wako Uwe Udhaifu Wako, 12/1

Usishindwe na Hangaiko, 3/15

Wengine Hulikubali Shauri Lako? 1/15

Zuia Hasira Isikukwaze, 8/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Baraka ya Yehova juu ya “Nchi” Yetu, 3/1

Daima Kaza Uangalifu kwa Kufundisha Kwako, 3/15

Endelea Kutembea Katika Njia ya Yehova, 5/15

Familia, Sifuni Mungu Mkiwa Sehemu ya Kutaniko, 7/1

Fanikisheni Maisha Yenu! 9/1

“Fanyeni Mioyo Yenu Kuwa Imara,” 1/1

Fidia ya Kristo—Njia ya Mungu ya Wokovu, 2/15

Fundisha kwa Ufahamu Wenye Kina na Ushawishi, 3/15

Hazina Yetu Katika Vyombo vya Udongo, 2/1

“Hekalu” na Yule “Mkuu” Leo, 3/1

Inueni Mikono Yenye Uaminifu-Mshikamanifu Katika Sala, 1/15

Iweni Wasomaji Wenye Furaha wa Kitabu cha Ufunuo, 12/1

“Jifungeni Hali ya Akili ya Kujishusha Chini,” 8/1

Jifunzeni Neno la Mungu kwa Ukawaida Mkiwa Familia, 7/1

Kesheni na Mwe na Bidii Yenye Kuendelea! 5/1

Kuishi kwa Imani Katika Ahadi za Mungu, 8/15

Kuthamini “Zawadi Zikiwa Wanadamu,” 6/1

Kuwasaidia Watu Wamkaribie Yehova, 7/15

“Kwa Kila Jambo Kuna Wakati Uliowekwa,” 10/1

Kweli Uhai Udumuo Milele Wawezekana? 4/15

“Mambo Haya Lazima Yatukie,” 5/1

Manufaa za Kupenda Neno la Mungu, 11/1

Mfinyanzi Mkuu na Kazi Yake, 2/1

Mkumbuke Muumba Wako Mtukufu! 11/15

Muumba Aweza Kufanya Maisha Yako Yawe na Maana Zaidi, 6/15

Muumba Wako—Jifunze Jinsi Alivyo, 6/15

“Mwacheni Msomaji Atumie Ufahamu,” 5/1

Nanga Yao Ni Tumaini, Nao Huchochewa na Upendo, 7/15

Njia Pekee Iendayo Kwenye Uhai Udumuo Milele, 4/15

Njia ya Upendo Haishindwi Kamwe, 2/15

Onyesha Wengine Heshima, 8/1

Sala Zako “Hutayarishwa Kama Uvumba”? 1/15

Samehe Kutoka Katika Moyo Wako, 10/15

“Taarifa za Mteremo” Kutoka Kwenye Apokalipsi, 12/1

Tuna Furaha kwa Sababu Yehova Hutuonyesha Njia Yake, 5/15

Tusirudi Nyuma Kamwe Kwenye Uangamivu! 12/15

Tuwe Namna Iliyo na Imani, 12/15

Uhai Baada ya Kifo—Biblia Husema Nini? 4/1

Uhai Baada ya Kifo—Watu Huamini Nini? 4/1

Una Imani Kama ya Abrahamu? 1/1

Unapenda Neno la Mungu Kadiri Gani? 11/1

Unatimiza Wajibu Wako Wote kwa Mungu? 11/15

Unaweza Kumpata Ndugu Yako, 10/15

Unaweza Kuvumilia Hadi Mwisho, 10/1

Vijana—Kinzeni Roho ya Ulimwengu, 9/1

Vijana—Zoezeni Nguvu Zenu za Ufahamu! 9/1

“Wakati wa Amani” Umekaribia! 10/1

Wazazi, Kielelezo Chenu Chafundisha Nini? 7/1

‘Weka Moyoni Mwako’ Hekalu la Mungu! 3/1

Yehova Aitayarisha Njia, 8/15

Yehova Hutaka Mengi Mno Kutoka Kwetu? 9/15

Yehova Hutaka Nini Kutoka Kwetu Leo? 9/15

“Zawadi Zikiwa Wanadamu” ili Kutunza Kondoo za Yehova, 6/1

MAMBO MENGINE

Apokalipsi—Tuiogope au Tuitumainie? 12/1

‘Bibi Mwenye Nywele Nyeusi wa Jangwa la Siria’ (Zenobia), 1/15

Collegiants, 4/15

2000—Ni Mwaka wa Pekee? 11/1

Falsafa ya Kigiriki Iliboresha Ukristo? 8/15

Filipo—Mweneza-Evanjeli Mwenye Bidii, 7/15

Ibada ya Baali, 4/1

Ibilisi Hutufanya Tuwe Wagonjwa? 9/1

“Ikiwa Chumvi Yapoteza Nguvu Yayo,” 8/15

Jitihada ya Kuishi Muda Mrefu, 10/15

“Katika Hatari za Baharini,” 3/15

Kila Mtu Atakuwa Huru, 5/1

Krismasi Katika Mashariki, 12/15

Kuharibu Vitu Kimakusudi, 6/15

Kujenga juu ya Misingi ya Kipagani, 3/15

Kuna Yeyote Anayejali Kikweli? 9/15

Kung’ang’ania Eneo “Takatifu,” 2/15

Kwa Nini Wakati Ni Mchache Sana? 10/1

Matokeo ya Kiburi, 2/1

Melkizedeki, 2/15

Milenia Yenye Maana, 11/1

Mlima Athos—“Mlima Mtakatifu”? 12/1

Msaada Halisi kwa Familia, 1/1

Penda Uhai, 8/15

Rashi—Mfafanuzi wa Biblia Mwenye Uvutano Mkubwa, 3/15

Sauli (Paulo), 5/15, 6/15

Sheria ya Mdomo (Dini ya Kiyahudi), 1/15

Sila—Chanzo cha Kitia-Moyo, 2/15

Timotheo—“Mtoto Halisi Katika Imani,” 9/15

Tumia Wakati Pamoja na Familia Yako, 5/15

Tunaweza Kuishi Muda Mrefu Kadiri Gani? 4/15

Ubaguzi wa Rangi na Dini, 8/1

Usawa, 8/1

Vitendawili vya Mungu, 10/1

Wafanyakazi Wenzi wa Paulo, 6/1

Wakati na Umilele, 6/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Amani Katika Nchi Yenye Ghasia (Ireland Kaskazini), 12/15

Kuhitimu kwa Gileadi, 6/1, 12/15

Kupenda Wale Ambao ‘Ni Jamaa Katika Imani’ (misiba ya Chile), 6/15

Kutumikia Katika Eneo la Kigeni? 10/15

Kuwekwa Wakfu kwa Kituo cha Elimu cha Watchtower, 11/15

Mikusanyiko ya “Neno la Mungu la Kiunabii,” 2/15

Mikusanyiko ya “Njia ya Mungu ya Maisha,” 1/15

“Mmebadili Maoni Yangu,” 9/15

“Mume Mwenye Furaha wa Mke Anayependeza kwa Wema,” 9/1

Namibia, 7/15

Nchi ya Wavenda Yenye Kuzaa Sana, 5/1

St. Helena, 2/1

‘Tamaa Inayochochea Moyo na Akili’ (kitabu Muumba), 6/15

Ukarimu Unapokuwa Mwingi (michango), 11/1

Wasimamizi Wawasifu, 4/1

Ziara ya Kihistoria Yafanya Kisiwa Kishangilie (Kuba), 5/15

“Ziara Yangu Kwenye Jumba la Ufalme,” 11/15

MASIMULIZI YA MAISHA

Alisaidia Kueneza Nuru (L. Barry), 10/1

Kukubali kwa Shangwe Mwelekezo wa Yehova (U. Glass), 8/1

Kumpa Yehova Kile Anachostahili (T. Vasiliou), 10/1

Kushangilia Kujapokuwa Majaribu (G. Scipio), 2/1

Kutafuta Paradiso (P. Stisi), 4/1

Kutimiza Ahadi Yangu ya Kumtumikia Mungu (F. Gudlikies), 6/1

“Mtenda-Kazi Asiye na Lolote la Kuaibikia” (A. Soppa), 1/1

Toka Ufukara Hadi Utajiri Mkubwa Zaidi (M. Almeida), 7/1

Wazazi Walitufundisha Kumpenda Mungu (E. Tracy), 12/1

Yehova Amekuwa Jabali Langu (E. Lionoudakis), 9/1

Yehova Ni Mungu Mwenye Fadhili-Upendo (J. Andronikos), 11/1

Zaidi ya Miaka 40 Chini ya Marufuku (M. V. Savitskii), 3/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Kazi inayohusisha mali za kidini, 4/15

Kufunga uzazi ili kuzuia mimba, 6/15

Kupiga Kura, 11/1

‘Kutia alama’ (2Th 3:14), 7/15

Uchumba, 8/15

WALIFANYA MAPENZI YA YEHOVA

Maria Achagua “Fungu Jema,” 9/1

Mtu Mkuu Zaidi Afanya Utumishi wa Unyenyekevu (Yesu), 3/1

Paulo Ashinda Janga, 5/1

Tendo la Kusamehe (Yosefu), 1/1

Toleo la Hiari ili Kuendeleza Ibada Safi, 11/1

Ziara Iliyothawabishwa Sana (Malkia wa Sheba), 7/1

WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI

2/1, 4/1, 6/1, 8/1, 12/1

YEHOVA

“Bwana Huwapa Watu Hekima,” 11/15

Hufanya Mambo kwa Njia “Zilizopotoka”? 5/1

Jina Larudishwa, 3/1

Jina Latamkwa Nchini Israeli, 7/1

Si wa Polepole, 6/1

“Yehova” au “Yahweh”? 2/1

YESU KRISTO

Jinsi Yesu Awezavyo Kubadili Maisha Yako, 7/1

Mtu Mkuu Zaidi Afanya Utumishi wa Unyenyekevu, 3/1

Siku ya Mwisho ya Maisha ya Kibinadamu, 3/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki