Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w00 12/15 uku. 31
  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2000

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2000
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
w00 12/15 uku. 31

Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2000

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yanaonekana

BIBLIA

Gospeli—Ni Kweli au Ni Hekaya Tu, 5/15

Kitabu Kizuri Tu? 12/1

Mwaka Muhimu kwa Ugawanyaji wa Biblia, 1/15

Ujumbe wa Siri? 4/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Arusi Zenye Shangwe Zinazomletea Yehova Heshima, 5/1

“Dhihirisheni Imani Katika Nuru,” 2/15

Dumisha Usafi wa Kiadili Katika Ulimwengu Usio na Maadili (Mit 5), 7/15

Faraja Katika Nguvu za Yehova, 4/15

Heshima kwa Mamlaka, 8/1

Je, Wewe Ni Mkristo “Aliyekua Kabisa”? 8/15

Je, Wewe Ni Mwenye Busara? 10/1

Kiasi Hukuza Amani, 3/15

Kuifanya Roho Takatifu Kuwa Msaidizi wa Mtu Binafsi, 10/15

Kujipendekeza Mwenyewe kwa Wengine, 4/15

Kumkaribia Mungu, 10/15

Kumtafuta Yehova kwa Moyo Ulio Tayari, 3/1

Kunufaika Kutokana na Vielelezo Vizuri, 7/1

Kuza Urafiki wa Karibu Pamoja na Yehova (Mit 3), 1/15

Kwa Nini Hawana Watoto? 8/1

Kwa Nini Unamtumikia Mungu? 12/15

Kwa Nini Uwe Mwenye Kujitolea? 9/15

Linda Jina Lako (Mit 6), 9/15

“Linda Moyo Wako” (Mit 4), 5/15

Matarajio Yenye Kiasi, 8/1

Mkristo Ni Nani? 6/1

Muziki Unaomfurahisha Mungu, 6/1

Shauri la Mama Lenye Hekima (Mit 31), 2/1

Tumikia Mungu kwa Moyo wa Kupenda, 11/15

Twahitaji Tengenezo la Yehova, 1/1

Ukadirieje Mafanikio? 11/1

Ushughulikeje na Kutoelewana? 8/15

Uwaone Wenye Jeuri Kama Mungu Awaonavyo? 4/15

‘Uzishike Amri, Ukaishi’ (Mit 7), 11/15

Wachungaji Wakristo, ‘Panueni Mioyo Yenu’! 7/1

Wajionaje? 1/15

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Dhabihu za Sifa Zinazompendeza Yehova, 8/15

Dhabihu Zilizompendeza Mungu, 8/15

Dhihirisha Mtazamo wa Akili wa Kristo, 9/1

Dumisha ‘Tumaini Lako la Wokovu’! 6/1

‘Ee Mungu, Utume Roho Yako,’ 3/15

“Fulizeni Kulinda,” 1/15

Funzo—Lenye Kuthawabisha na Lenye Kufurahisha, 10/1

“Hekima I Pamoja na Wenye Kiasi,” 8/1

Je, Una “Akili ya Kristo”? 2/15

Je, Unasukumwa Kutenda Kama Yesu? 2/15

Je, Utakuwepo Katika Ulimwengu Mpya? 4/15

Je, Wavipenda Mno Vikumbusha vya Yehova? 12/1

Jinsi Yehova Anavyotuongoza, 3/15

‘Jiokoe Wewe Mwenyewe na Wale Wakusikilizao,’ 6/1

Kimbelembele Hutokeza Aibu, 8/1

Kufanya Vitu Vyote Kuwa Vipya—Kama Ilivyotabiriwa, 4/15

Kuijua “Akili ya Kristo,” 2/15

Kununua Wakati wa Kusoma na Kujifunza, 10/1

Kupanda Mbegu za Kweli ya Ufalme, 7/1

Kutumikia Pamoja na Mlinzi, 1/1

Maoni ya Mungu Juu ya Ufisadi wa Kiadili, 11/1

“Mdogo” Amekuwa “Elfu,” 1/1

Ni Nani Walio Wahudumu wa Mungu Leo? 11/15

“Nyinyi Nyote Ni Akina Ndugu,” 6/15

Onyesha Mtazamo wa Kungoja! 9/1

“Saa Imekuja!” 9/15

“Saa Yake Ilikuwa Haijaja Bado,” 9/15

Saidia Wengine Watembee kwa Kumstahili Yehova, 12/15

Sikia Lile Ambalo Roho Husema, 5/1

Sikiliza Neno la Mungu la Kiunabii kwa Wakati Wetu, 5/15

Sikiliza Neno la Mungu la Kiunabii, 4/1

Simameni Mkiwa Kamili kwa Usadikisho Imara, 12/15

“Tafuteni BWANA na Nguvu Yake,” 3/1

Tangaza Habari Njema kwa Hamu, 7/1

Tegemeza kwa Uthabiti Fundisho la Mungu, 5/1

Tumaini la Ufufuo Lina Nguvu, 7/15

Tumaini la Ufufuo Ni Hakika! 7/15

Ufalme wa Mungu—Utawala Mpya wa Dunia, 10/15

Unaweza Kudumisha Usafi wa Kiadili, 11/1

Urithi Wetu Wenye Thamani—Wamaanisha Nini Kwako? 9/1

Usomaji wa Biblia—Wenye Kufaidi na Wenye Kupendeza, 10/1

Uwe na Imani Katika Neno la Mungu la Kiunabii! 5/15

“Vitu Vinavyotamaniwa” Vinaijaza Nyumba ya Yehova, 1/15

Waheshimuni Waliopewa Mamlaka Juu Yenu, 6/15

Wakristo Hupata Furaha kwa Kutumikia, 11/15

Wanaopigana na Mungu Hawatashinda, 4/1

Waovu Wataendelea Hata Lini? 2/1

Wenye Shangwe Katika Mungu wa Wokovu Wetu, 2/1

Yatakayofanywa na Ufalme wa Mungu, 10/15

Yehova Hatakawia, 2/1

Yehova Humpa Nguvu Aliyechoka, 12/1

Yehova—Mungu Aliye Hodari kwa Nguvu Zake, 3/1

MAMBO MENGINE

Amani ya Ulimwengu—Jinsi Gani? 11/1

Antiokia (Siria), 7/15

Chuki Itaisha? 8/15

Cyril Lucaris—Mtu Aliyeithamini Biblia, 2/15

Imani Inaweza Kubadili Maisha Yako, 1/1

Je, Desturi za Krismasi Ni za Kikristo? 12/15

Je, Kusali Kuna Manufaa Yoyote? 11/15

Je, Ni Lazima Uamini? 12/1

Je, Uamini Usichoweza Kuona? 6/15

Jinsi Roho Itendavyo Kazi Leo, 4/1

Jinsi Unavyoweza Kupata Marafiki, 12/1

Kufanya Kazi Katika “Shamba”—Kabla ya Mavuno, 10/15

Kujifunza Kutokana na Wenzi Wawili wa Kwanza, 11/15

Kupambana na Ufisadi, 5/1

Kupata Amani ya Akili, 7/1

Kwa Nini Ushinde Mwelekeo wa Kutarajia Ukamilifu? 6/15

Maadili ya Biblia Yanafaa? 11/1

Maisha Makamilifu Si Ndoto! 6/15

Maisha ya Baada ya Kifo, 10/1

Maisha Yanaweza Kuwa na Maana Zaidi, 7/15

‘Mbuzi-Mwitu Avutiaye,’ 10/1

Mnyanyasaji Aona Nuru Kubwa (Paulo), 1/15

Mtu Aliye Mfano Bora Ambaye Alikubali Kusahihishwa (Yobu), 3/15

Mungu Hujibu Sala, 3/1

Muungano wa Kidini Wakaribia? 12/1

Mzeituni, 5/15

“Ndugu wa Poland,” 1/1

‘Nitaizunguka Madhabahu Yako,’ 5/1

“Nyakati za Kurudishwa” Zimekaribia! 9/1

Tii Onyo! 2/15

Uchawi, 4/1

Uchunguze Dini Nyingine? 10/15

Ufunguo wa Kupata Mafanikio, 2/1

Ugunduzi Mbalimbali Huko Yezreeli, 3/1

Ulimwengu Usiokatisha Tamaa, 9/15

Unapoweza Kupata Ushauri Mzuri, 6/1

Uzuri wa Ndani, 11/15

Wabeuzi, 7/15

Wajua Jinsi ya Kungoja? 9/1

Yosia, 9/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Altiplano Huko Peru, 11/15

Athawabishwa Baada ya Kutafuta kwa Muda Mrefu (Denmark), 9/1

India, 5/15

Italia, 1/15

“Kielelezo cha Muungano,” 10/15

Kisiwa cha Robinson Crusoe, 6/15

Kitabu cha Danieli Chafafanuliwa! (Kitabu cha Unabii wa Danieli), 1/15

Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 6/15, 12/15

Kutangaza Ufalme Fiji, 9/15

Kuvua Watu Katika Bahari ya Aegea, 4/15

Miili Midogo, Mioyo Mikubwa, 2/15

Mikusanyiko ya “Neno la Mungu la Kiunabii,” 1/15

Mikusanyiko ya “Watekelezaji wa Neno la Mungu,” 2/15

Milima ya Chiapas (Mexico), 12/15

Mnyanyaso wa Nazi (Uholanzi), 4/1

Safari ya Kwenda Kufanya Kazi Katika Visiwa vya Pasifiki! 8/15

Senegal, 3/15

Taiwan, 7/15

Tuvalu, 12/15

Ukarimu Mwingi Huleta Shangwe (michango), 11/1

Washiriki Wapya wa Baraza Linaloongoza, 1/1

MASIMULIZI YA MAISHA

“Hamjui Uhai Wenu Utakuwa Nini Kesho” (H. Jennings), 12/1

“Jinsi Inavyotamanika Imani Isiyofifia”! (H. Müller), 11/1

Kuishi Maisha Sahili Ili Kumtumikia Yehova (C. Moyer), 3/1

Kumkumbuka Muumba Wetu Kutoka Ujanani Kuendelea (D. Hibshman), 1/1

Mchukua-Nuru kwa Mataifa Mengi (G. Young), 7/1

Mtengenezaji wa Silaha Awa Mwokoaji wa Uhai (I. Ismailidis), 8/1

Namshukuru Yehova—Kupitia Utumishi wa Wakati Wote! (S. Reynolds), 5/1

Nilisaidiwa Kuacha Kuwa Mwenye Haya (R. Ulrich), 6/1

Nimebarikiwa kwa Urithi wa Pekee (C. Allen), 10/1

Yehova Huwathawabisha Waaminifu-Washikamanifu Wake Sikuzote (V. Duncombe), 9/1

Yehova Ni Ngome na Nguvu Yangu (M. Filteau), 2/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Damu ya mtu mwenyewe, 10/15

Hasira ya kisasi ya nani? (Rom 12:19), 3/15

Je, ilimpendeza BWANA kumchubua Kristo? (Isa 53:10), 8/15

Kupinga hatua ya talaka, 12/15

Ni nani aliyelalamika juu ya mafuta yaliyomiminiwa Yesu? 4/15

Sehemu zinazotokana na damu, 6/15

WAPIGA-MBIU WA UFALME WARIPOTI

2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 8/1, 9/1, 12/1

YEHOVA

Atakukumbukaje? 2/1

Hujibu Sala, 3/1

Ni Mkubwa Zaidi Kuliko Mioyo Yetu, 5/1

YESU KRISTO

Jinsi Yesu Kristo Awezavyo Kutusaidia, 3/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki