Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w07 12/15 uku. 31
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2007

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2007
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • YEHOVA
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • YESU KRISTO
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • MAMBO MENGINE
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • MAKALA ZA FUNZO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
w07 12/15 uku. 31

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2007

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Biblia ya Kwanza Katika Kireno, 7/1

Biblia za Lugha za Kiafrika, 1/15

Faida ya “Agano la Kale,” 9/1

Je, Inafaa? 4/1

Kazi Ngumu ya Glück (Tafsiri ya Kilatvia), 6/15

Kitabu cha Kukunjwa Hadi Kodeksi, 6/1

Mambo Makuu Katika Danieli, 9/1

Mambo Makuu Katika Ezekieli, 7/1, 8/1

Mambo Makuu Katika Hagai, Zekaria, 12/1

Mambo Makuu Katika Hosea, 9/15

Mambo Makuu Katika Isaya—II, 1/15

Mambo Makuu Katika Malaki, 12/15

Mambo Makuu Katika Maombolezo, 6/1

Mambo Makuu Katika Nahumu, Habakuki, Sefania, 11/15

Mambo Makuu Katika Obadia, Yona, Mika, 11/1

Mambo Makuu Katika Yeremia, 3/15

Mambo Makuu Katika Yoeli, Amosi, 10/1

Ni Rahisi, Lakini Je, Ni Sahihi? (100-Minute Bible), 2/1

Vigae Vinaunga Mkono, 11/15

Waandishi wa Kale, 3/15

Yesu Alikuwa na Biblia? 12/1

“Zawadi Kubwa” kwa Poland, 8/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

“Akatushurutisha Kwelikweli,” 3/15

Dhabihu Zinazompendeza Mungu, 4/1

Elekea Ilipo Nuru, 10/15

Furahia Kumngojea Yehova, 3/1

Hali ya Kiroho, 8/1

‘Hekima Ni Ulinzi’ (Met 16), 7/15

Huruma, 12/15

Imani Katika Unabii, 4/1

Kujifunza Kutoka kwa Watoto, 2/1

Kukabiliana na Ukosefu wa Haki, 8/15

Kumsaidia Mtoto Ampende Mungu Kutoka Moyoni, 9/15

Kupanuka Katika Upendo, 1/1

‘Kusitawi Wakati wa Kichwa Chenye Mvi,’ 9/15

Kutahiriwa—Ishara ya Mtu Mzima? 6/1

Kuwajali Wengine, 6/15

Kwa Nini Tukutanike? 5/15

Maadili, 6/15

Maamuzi Yanayoongoza Kwenye Furaha, 10/1

Maisha Yenye Kusudi, 11/15

Matarajio Yanapokosa Kutimizwa, 4/15

Mfundishe Mtoto Awe Mwenye Kufanya Amani, 12/1

‘Mipango Itafanywa Imara’ (Met 16), 5/15

Mtazamo wa Kupita Kiasi, 2/15

Mtoto Anapoasi, 1/15

Mwanamume na Mwanamke—Wajibu Wenye Kuheshimika, 1/15

Nguvu za Ulimi, 6/1

Nuru Ni ya Ajabu! 3/15

Pongezi, 9/1

Tuseme Kweli, 2/1

Uishi kwa Ajili ya Leo? 10/15

Unawaburudisha Wengine? 11/15

‘Unijaribu,’ 8/15

Unyenyekevu, 11/1

Vijana—Mnagusa Mioyo ya Wazazi, 5/1

Wasaidie Watoto Waelimike Kikweli, 5/15

YEHOVA

Jina Katika Muziki wa Kirusi, 9/1

Kwa Nini Anaruhusu Uovu? 9/15

Macho ya Mungu Yako Juu Yako? 8/1

Mbuni, 8/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Dhahabu Ni Yangu na Fedha Ni Yangu (michango), 11/1

Imani ya Mama Inashinda, 8/1

Kielelezo cha Unyoofu, 2/15

Kuhitimu Gileadi, 1/1, 7/1

Kushinda Magumu Ili Kupeleka Habari Njema (Afrika), 10/15

“Mfuateni Kristo!” Makusanyiko, 3/1

“Miujiza” Miwili Katika Kusanyiko Moja (Georgia), 8/1

Mlemavu Lakini Ana Tamaa ya Kutumika, 4/15

Mzee Aliye na Kusudi, 1/15

“Nilivutiwa na Azimio Lake Lenye Kustaajabisha” (Ujerumani), 10/15

“Nyumba ya Mawe” (Zimbabwe), 2/15

“Pokeeni Zawadi Yangu Ndogo” (Urusi), 11/15

Shamba “Jeupe kwa Ajili ya Kuvunwa” (Rasi ya Guajira), 4/15

Tamaa ya Adryana, 4/15

“Ukombozi Umekaribia!” Makusanyiko ya Wilaya ya (2006), 7/1

Unatumia Kila Nafasi Kuzungumzia Imani Yako? (wanashule-wenzi), 11/1

Ushindi Katika Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu (Urusi), 5/15

“Zawadi Yako Yenye Thamani Sana” (Ubelgiji), 12/15

YESU KRISTO

Kuja, 3/15

MASIMULIZI YA MAISHA

Kufanya Wanafunzi Kumefinyanga Maisha Yangu (L. Peters), 4/1

Kumtumikia Yehova—Ni Heshima na Pendeleo (Z. Stigers), 8/1

Kushangilia “Ushindi Pamoja na Mwana-Kondoo” (C. Barber), 10/15

Kusonga Kuelekea Ulimwengu Mpya (J. Pramberg), 12/1

Kutafuta Hazina Kulituletea Utajiri wa Kudumu (D. Smith na D. Ward), 5/1

Kuungojea Ufalme Ambao “Si Sehemu ya Ulimwengu” (N. Gutsulyak), 3/1

Kwa Nini Ninafurahia Kufanya Wanafunzi (P. Moseley), 2/1

Maamuzi Mazuri, Baraka za Kudumu (P. Kushnir), 1/1

Mtu Aliyependa Uhai na Watu (D. Sydlik), 1/1

Tulijifunza Kumtegemea Yehova (A. Baxter), 11/1

Tuliokoka Serikali za Kimabavu (H. Dornik), 9/1

Tunaazimia Kutimiza Huduma Yetu (L. Davison), 6/1

MAMBO MENGINE

Amani Kati ya Jamii, 7/1

Amosi—Mkusanyaji au Mminyaji wa Tini? 2/1

Barzilai, 7/15

Beroya, 4/15

“Bwana, Mbona Ulikaa Kimya?” (Papa huko Auschwitz), 5/15

Chanzo cha Uovu, 6/1

Dada ‘Waliojenga Israeli’ (Lea, Raheli), 10/1

Dimbwi la Siloamu, 7/15

Dunia Inafaa Kabisa, 2/15

Faraja kwa Wazazi Wanaoomboleza, 5/1

Haidhuru Dini Gani? 3/1

Hana, 3/15

John Milton, 9/15

Kuandika Katika Israeli la Kale, 8/15

Kuitambua Ibada ya Kweli, 3/1

“Kweli Ni Nini?” 10/1

Luka—Mfanyakazi Mwenzi Mpendwa, 11/15

Mafanikio, 1/1

“Meli za Kitimu,” 10/15

Mwaka Katika “Nchi Nzuri,” 6/15

Nafsi Isiyoweza Kufa? 7/15

Samweli, 1/15

Sauli Akutana na Marafiki, Maadui, 6/15

“Shahidi Mwaminifu Angani,” 7/15

Sikukuu ya Kipagani Yageuzwa Iwe ya Kikristo? 12/15

Sirakusa—Safari ya Paulo, 10/15

Ukatili Utakwisha? 4/15

Ukristo Unaingia Asia Ndogo, 8/15

Ulimwengu Wenye Umoja Ni Ndoto? 12/1

Una Mshauri wa Kiroho? 12/15

Unatazamia Wakati Ujao kwa Woga au Tumaini? 5/15

Wessel Gansfort—Mrekebishaji, 3/1

Yeftha, 5/15

Yonathani, 9/15

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Kuinua bilauri, 2/15

Kutiwa Muhuri (Ufu 7:3), 1/1

Kuwinda na Kuvua, 12/1

Kwa nini Sauli aliuliza Daudi ni mwana wa nani? (1Sa 17:58), 8/1

Kwa nini Yesu alitumia kitu chenye chachu (divai) katika Ukumbusho? 9/15

“Mke wa mume mmoja” (1Ti 5:9), 4/1

Mtumwa mwaminifu mwenye “busara”? (Mt 24:45), 9/1

“Mwanamume mmoja kati ya elfu moja” (Mhu 7:28), 1/15

Mwito wa tumaini la kimbingu wakoma 5/1

Ni nani aliyevuna shayiri iliyotolewa Nisani 16? 7/15

Nyoka wa Edeni alikuwa na miguu? (Mwa 3:14), 6/15

Uepuke kafeni? 4/15

Uhudhurie arusi ya mtu asiye Shahidi? 11/15

‘Vita kwenye Har–Magedoni’ ni nini? (Ufu 16:14, 16), 2/1

Wanyama wangapi safi ndani ya safina? 3/15

Watoto wakizoezwa ifaavyo hawatamwacha Yehova? (Met 22:6), 6/1

Yakobo alikosea alipojifanya kuwa Esau? (Mwa 27:18, 19), 10/1

MAKALA ZA FUNZO

Acha Neno la Mungu Liongoze Hatua Zako, 5/1

“Baba Yenu Ni Mwenye Rehema,” 9/15

“Endelea Kuushinda Ubaya kwa Wema,” 7/1

Enzi Kuu ya Yehova na Ufalme wa Mungu, 12/1

Fundisha Yale Ambayo Biblia Inafundisha Hasa, 1/15

Furahia Maisha Katika Kumwogopa Yehova, 3/1

Hakuna Silaha Itakayofanywa Juu Yako Itakayofanikiwa, 12/15

Isikie Sauti Inayotoka Ndani, 10/15

Iikilize Dhamiri Yako, 10/15

Je, ‘Utaendelea Kutembea kwa Roho’? 7/15

Je, Ufufuo Ni Halisi Kwako? 5/15

Je, Uko Tayari kwa Ajili ya Siku ya Yehova? 12/15

Je, Umeitendea Dhambi Roho Takatifu? 7/15

Je, Unaitegemeza Enzi Kuu ya Yehova? 12/1

Je, Wewe Ni “Tajiri kwa Mungu”? 8/1

‘Jilinde na Kila Namna ya Tamaa,’ 8/1

Jinsi Malaika Wanavyohusika Katika Maisha ya Wanadamu, 3/15

Kuchunguza Ndani ya Mambo Mazito ya Mungu, 11/1

Kufuatia Kusudi la Mungu Leo, 10/1

Kufuatia Kusudi Lenye Maana Maishani, 10/1

Kuingojea Siku ya Yehova kwa Uvumilivu, 7/15

Kujitiisha kwa Unyenyekevu Chini ya Wachungaji Wenye Upendo, 4/1

Kukombolewa Kutoka Katika Mitego ya Mwindaji wa Ndege, 10/1

Kusitawi Kiroho Wakati wa Kichwa Chenye Mvi, 6/1

Kutaniko na Lijengwe, 4/15

Kutaniko na Limsifu Yehova, 4/15

Mshikamanifu kwa Kristo na kwa Mtumwa Wake Mwaminifu, 4/1

“Msimlipe Yeyote Uovu kwa Uovu,” 7/1

Mwige Mfanya-Wanafunzi Mkuu, 11/15

Na Tulikweze Jina la Yehova Pamoja, 3/1

Neno la Yehova Halikosi Kamwe Kutimia, 11/1

Sababu Kwa Nini Mateso Yote Yatakwisha Karibuni, 5/15

“Simameni Imara Muuone Wokovu wa Yehova,” 12/15

Sitawisha Sifa Zinazoweza Kukusaidia Kufanya Wanafunzi, 11/15

‘Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu,’ 6/15

Tunaweza Jinsi Gani Kutenda kwa Rehema? 9/15

Tunaweza Kufaidika kwa Kuvumilia Mateso, 8/15

Tunaweza Kuwapinga Roho Waovu Jinsi Gani? 3/15

“Ufufuo wa Kwanza”—Unaendelea Sasa! 1/1

Usiache Kamwe Kukuza Uthamini Wako, 2/1

Usitenganishe Kile Ambacho Mungu Ameunganisha, 5/1

“Utakuwa na Shangwe Kwelikweli,” 1/1

Vijana—Fuatieni Miradi Inayomletea Mungu Heshima, 5/1

Wafundishe Watoto Wako Kumpenda Yehova, 9/1

Wake, Waheshimuni Sana Waume Wenu, 2/15

Waliozeeka Ni Baraka kwa Vijana, 6/1

Wasaidie Wengine Watii Mambo Ambayo Biblia Inafundisha, 1/15

“Watoto, Watiini Wazazi Wenu,” 2/15

Waume, Tambueni Ukichwa wa Kristo, 2/15

Wazazi—Wazoezeni Watoto Wenu kwa Upendo, 9/1

Yehova Anathamini Utii Wako, 6/15

Yehova Ni Mpenda-Haki, 8/15

Yehova Ni Mungu Anayethamini, 2/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki