Yaliyomo
Machi 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Mei (Mwezi wa 5) 4-10
UKURASA WA 11
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 222, 15
Mei 11-17
UKURASA WA 15
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 199, 129
Mei 18-24
Yehova Anastahili Kusifiwa kwa Umoja
UKURASA WA 20
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 136, 169
Mei 25-31
Waadilifu Watamsifu Mungu Milele
UKURASA WA 24
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 48, 165
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 11-19
Mfululizo huu wenye sehemu mbili unatukumbusha kwa nini ni jambo la maana kukazia macho ile zawadi au thawabu ambayo Mungu ametuahidi. Tunapozungumzia matukio ya pekee yaliyo mbele yetu, tutatiwa moyo kubaki macho.
Makala ya Funzo ya 3 na 4 UKURASA WA 20-28
Makala hizo zinachanganua Zaburi ya 111 na ya 112, ambazo zinakamilishana. Kumbuka kwamba Zaburi ya 111 inamsifu Yehova kwa sababu ya kazi na sifa zake nzuri ajabu. Zaburi ya 112 inaonyesha jinsi kazi kuu za Yehova zinavyopaswa kutuchochea tuogope kumhuzunisha na kuiga sifa zake zenye kuvutia.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
‘Malaika wa Yehova Anapiga Kambi Pande Zote’
UKURASA WA 3
UKURASA WA 6
Unaweza Kuvumilia Jinsi Gani Katika Huduma?
UKURASA WA 29
UKURASA WA 32