Yaliyomo
Agosti 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Septemba (Mwezi wa 9) 28–Oktoba (Mwezi wa 10) 4
Uzima wa Milele Duniani—Tumaini Ambalo Tumepewa na Mungu
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 76, 222
Oktoba 5-11
Uzima wa Milele Duniani—Je, Ni Tumaini la Kikristo?
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 187, 15
Oktoba 12-18
Uzima wa Milele Duniani—Tumaini Lililofunuliwa Tena
UKURASA WA 12
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 4, 220
Oktoba 19-25
“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
UKURASA WA 18
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 114, 85
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
Makala ya 1-3 ya Funzo UKURASA WA 3-16
Makala hizi zinazungumzia msingi wa Kimaandiko wa tumaini la uzima wa milele duniani. Zitatia nguvu imani yako katika tumaini hilo ambalo linawatofautisha Wakristo wa kweli na dini zinazodai kuwa za Kikristo. Na imani yenye nguvu inaweza kukuletea shangwe na kukupa ujasiri wa kuwaambia wengine kuhusu tumaini lako.
Makala ya 4 ya Funzo UKURASA WA 18-22
Makala hii inazungumzia njia tatu ambazo tunaweza kujitunza katika upendo wa Mungu. (Yuda 21) Tunaweza kufanya hivyo kwa (1) kuwapenda wale ambao Yehova anawapenda, (2) kuwaheshimu wenye mamlaka, na (3) kujitahidi kuwa safi machoni pa Yehova.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
UKURASA WA 16
UKURASA WA 23
‘Yehova Ameufanya Uso Wake Ung’ae Kuwaelekea’
UKURASA WA 24
Epuka Kukengeushwa Fikira Katika Hii “Siku ya Habari Njema”
UKURASA WA 28
Umewahi Kuwa na Mapendeleo ya Utumishi? Je, Unaweza Kutumikia Tena?
UKURASA WA 30