Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w10 1/1 kur. 30-31
  • Mtu Mwenye Unyenyekevu na Ujasiri

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mtu Mwenye Unyenyekevu na Ujasiri
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Habari Zinazolingana
  • Somo Kuhusu Rehema ya Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Uharibifu wa Sodoma na Gomora
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Yesu Anawaponya Watu Kimuujiza
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Yesu Ashinda Vishawishi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
w10 1/1 kur. 30-31

Kwa Ajili ya Vijana

Mtu Mwenye Unyenyekevu na Ujasiri

Yona—Sehemu ya 1

Maagizo: Fanya zoezi hili katika mazingira matulivu. Unaposoma maandiko, jiwazie ukiwa katika matukio yanayozungumziwa. Wazia kikao. Sikia sauti. Hisi kama wahusika wakuu wanavyohisi. Wazia kwamba masimulizi haya ni halisi kabisa.

1 CHUNGUZA TUKIO HILI.—SOMA YONA 1:1-17; 2:10–3:5.

Unaweza kuwazia dhoruba hiyo na jinsi upepo unavyovuma?

․․․․․

Unatambua hisia gani katika sauti ya Yona na ya mabaharia walio katika meli?

․․․․․

Eleza mambo ambayo huenda Yona alikuwa akifikiria alipokuwa akizama baharini na baada ya kumezwa na samaki mkubwa. (Soma Yona 2:1-9.)

․․․․․

2 CHIMBA ZAIDI.

Ni watu wa aina gani walioishi Ninawi, na kwa nini huenda mwanzoni Yona alisita kuzungumza nao? (Nahumu 3:1)

․․․․․

Unafikiri Ninawi lilikuwa “jiji kubwa kwa Mungu” kwa njia gani? (Yona 3:3; 2 Petro 3:9)

․․․․․

Kwa kutaja mambo waziwazi anapozungumza kuhusu kosa lake na kumhusu Mungu, Yona anafunua nini kujihusu? (Soma tena Yona 1:9, 10.)

․․․․․

Huenda Yona alijua jinsi gani yaliyotukia katika meli baada ya yeye kutupwa baharini? (Soma tena Yona 1:15, 16.)

․․․․․

3 TUMIA MAMBO ULIYOJIFUNZA. ANDIKA MAMBO ULIYOJIFUNZA KUHUSU . . .

Woga.

․․․․․

Unyenyekevu.

․․․․․

Ujasiri.

․․․․․

Maoni ya Yehova kuwahusu watu, hata wale ambao huenda wakaonekana kuwa waovu.

․․․․․

4 NI MAMBO GANI KATIKA SIMULIZI HILI AMBAYO YAMEKUGUSA MOYO SANA, NA KWA NINI?

․․․․․

Ili kufanya utafiti zaidi, ona gazeti la Mnara wa Mlinzi la Januari 1, 2009, ukurasa wa 25-28.

SOMA HABARI ZAIDI ZA BIBLIA, KWENYE INTANETI www.watchtower.org

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki