Yaliyomo
Januari 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Machi (Mwezi wa 3) 1-7
Kwa Nini Ujiweke Wakfu kwa Yehova?
UKURASA WA 3
Machi 8-14
Kuwa Mali ya Yehova Ni Fadhili Zisizostahiliwa
UKURASA WA 7
Machi 15-21
Onyesha Kwamba Wewe Ni Mfuasi wa Kweli wa Kristo
UKURASA WA 12
Machi 22-28
Utawala wa Shetani Utashindwa Kabisa
UKURASA WA 24
Machi 29–Aprili (Mwezi wa 4) 4
Utawala wa Yehova Umethibitika Kuwa Bora!
UKURASA WA 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 3-11
Makala hizi zinazungumzia maana ya kujiweka wakfu kwa Yehova na kwa nini mtu anahitaji kuchukua hatua hiyo. Pia, tutachunguza kwa nini tunaweza kuwa na hakika kwamba tunaweza kufanya yale ambayo Yehova anataka tufanye. Kwa kuongezea, tutazungumzia baraka ambazo watu wote ambao ni mali ya Yehova wanapata.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 12-16
Makala hii inazungumzia mambo matano ya maana ambayo kila mmoja wetu anapaswa kujitahidi kumwiga Kristo. Tukifanya hivyo, tutaonyesha kwamba sisi ni wafuasi wa kweli wa Kristo, na tutaweza kuwasaidia watu ambao ni mfano wa kondoo watambue kutaniko la kweli la Kikristo.
MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 24-32
Makala ya nne inazungumzia kwa nini utawala wa wanadamu ambao haumtegemei Mungu umesababisha msiba na jinsi hilo linavyothibitisha kwamba utawala wa Yehova ndio utawala bora. Makala ya tano inazungumzia jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tumekubali utawala wa Yehova.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Wasaidie Watoto Wako Wakabiliane na Matatizo 16
Tumia Kila Siku ya Maisha Yako kwa Utukufu wa Mungu 21