Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w10 1/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
w10 1/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Januari 15, 2010

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Machi (Mwezi wa 3) 1-7

Kwa Nini Ujiweke Wakfu kwa Yehova?

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 7, 106

Machi 8-14

Kuwa Mali ya Yehova Ni Fadhili Zisizostahiliwa

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 62, 107

Machi 15-21

Onyesha Kwamba Wewe Ni Mfuasi wa Kweli wa Kristo

UKURASA WA 12

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 40, 84

Machi 22-28

Utawala wa Shetani Utashindwa Kabisa

UKURASA WA 24

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 132, 133

Machi 29–Aprili (Mwezi wa 4) 4

Utawala wa Yehova Umethibitika Kuwa Bora!

UKURASA WA 28

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 108, 14

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 3-11

Makala hizi zinazungumzia maana ya kujiweka wakfu kwa Yehova na kwa nini mtu anahitaji kuchukua hatua hiyo. Pia, tutachunguza kwa nini tunaweza kuwa na hakika kwamba tunaweza kufanya yale ambayo Yehova anataka tufanye. Kwa kuongezea, tutazungumzia baraka ambazo watu wote ambao ni mali ya Yehova wanapata.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 12-16

Makala hii inazungumzia mambo matano ya maana ambayo kila mmoja wetu anapaswa kujitahidi kumwiga Kristo. Tukifanya hivyo, tutaonyesha kwamba sisi ni wafuasi wa kweli wa Kristo, na tutaweza kuwasaidia watu ambao ni mfano wa kondoo watambue kutaniko la kweli la Kikristo.

MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 24-32

Makala ya nne inazungumzia kwa nini utawala wa wanadamu ambao haumtegemei Mungu umesababisha msiba na jinsi hilo linavyothibitisha kwamba utawala wa Yehova ndio utawala bora. Makala ya tano inazungumzia jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tumekubali utawala wa Yehova.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Wasaidie Watoto Wako Wakabiliane na Matatizo 16

Tumia Kila Siku ya Maisha Yako kwa Utukufu wa Mungu 21

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki