Yaliyomo
Julai 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Agosti (Mwezi wa 8) 30–Septemba (Mwezi wa 9) 5
Yale Ambayo Siku ya Yehova Itafunua
UKURASA WA 3
Septemba 6-12
“Ninyi Mnapaswa Kuwa Watu wa Namna Gani!”
UKURASA WA 7
Septemba 13-19
Shiriki Kikamili Katika Mavuno Makubwa ya Kiroho
UKURASA WA 16
Septemba 20-26
“Roho Huchunguza Ndani ya . . . Mambo Mazito ya Mungu”
UKURASA WA 20
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 3-11
Katika barua yake ya pili, mtume Petro aliwahangaikia sana Wakristo wanaoishi katika wakati wa mwisho. Makala hizi mbili zitatusaidia kuweka karibu akilini siku ya Yehova. Tutachunguza mambo tunayopaswa kuepuka na mambo tunayopaswa kufanya ili tujitayarishe kwa ajili ya siku kuu ya Yehova.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 16-20
Tunaishi wakati wa mavuno makubwa ya kiroho. Tunahitaji kuwa na sifa gani mbalimbali ili tushiriki kikamili katika kazi ya kuhubiri? Tunaweza jinsi gani kufanya yote tunayoweza tunapokabili hali ngumu sana? Habari hii itajibu maswali hayo.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 20-24
Habari hii inazungumzia mambo ambayo sisi binafsi tunaweza kufanya ili tufaidike kikamili na kazi ambayo roho ya Mungu inatimiza katika kutusaidia kuelewa Neno lake.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
“Usiogope. Mimi Mwenyewe Nitakusaidia” 12
Sitawisha Ndani ya Watoto Wako Tamaa ya Kupenda Kusoma na Kujifunza 25
“Endelea Kufanya Bidii . . . Katika Kufundisha” 29
Kuwa Macho Kunaleta Matokeo Mazuri 32