Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w11 1/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 1/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Januari 15, 2011

Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Februari (Mwezi wa 2) 28–Machi (Mwezi wa 3) 6, 2011

‘Pata Kimbilio Katika Jina la Yehova’

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 49, 74

Machi 7-13, 2011

Heshimu Ndoa kwa Kuwa Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu

UKURASA WA 13

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 36, 94

Machi 14-20, 2011

Tumia Vizuri Kabisa Useja Wako

UKURASA WA 17

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 85, 121

Machi 21-27, 2011

Tunatiwa Nguvu ili Kushinda Vishawishi na Kutovunjika Moyo

UKURASA WA 22

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 81, 17

Machi 28, 2011–Aprili (Mwezi wa 4) 3, 2011

Tunatiwa Nguvu ili Kushinda Jaribu Lolote

UKURASA WA 26

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 133, 100

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7

Tunaweza kupata wapi kimbilio katika wakati huu mgumu? Neno la Mungu linaeleza kwamba tunaweza kupata kimbilio katika jina la Yehova. Habari hii inazungumzia jinsi tunavyoweza kupata ulinzi sasa na pia wakati “ile siku kuu ya Yehova” itakapokuja ghafula. Habari hii inakazia andiko la mwaka wa 2011.

MAKALA YA 2 NA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 13-21

Ndoa na useja ni zawadi kutoka kwa Mungu, na kila moja ina baraka zake. Iwe tumefunga ndoa au sisi ni waseja, makala hizi zitaonyesha kwa nini tunapaswa kuthamini zawadi hizo na kueleza jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunazithamini.

MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 22-30

Tunahitaji msaada wa Yehova ili tuishi kulingana na wakfu wetu kwake. Makala hizi zitazungumzia jinsi roho takatifu inavyotusaidia kupambana na majaribu, kukabiliana na hali tunapovunjika moyo, kuvumilia mateso, kukataa kusongwa isivyofaa na marafiki, na kuvumilia matatizo.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

7 Unaweza Kuona Jina la Mungu Katika Bonde Hili

9 Ninashukuru Kwamba Nimemtumikia Yehova, Hata Chini ya Majaribu

31 Tafakari Mambo Ambayo Yehova Amekufanyia

[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]

© Stähli Rolf A/age fotostock

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki