Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 85
  • Thawabu Kamili Kutoka kwa Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Thawabu Kamili Kutoka kwa Yehova
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • “Malipo Kamili Kutoka kwa Yehova”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kutegemeza Nyumba ya Mungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kumtumikia Yehova kwa Nafsi Yote
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Mwabudu Yehova Ujanani
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 85

Wimbo Na. 85

Thawabu Kamili Kutoka kwa Yehova

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 19:29)

1. Yehova ni mwaminifu ajua,

Kuna nyakati ambazo,

Watumishi wake hupata shida,

Ilitabiriwa kale.

Ikiwa umeacha familia,

Makao au rafiki,

Utapata ndugu na dada sasa,

Na uzima wa milele.

(KORASI)

Yehova Mungu akukumbuke

Upate thawabu toka kwake.

Kimbilio upate kwake.

Yehova kwa kweli; ni mwaminifu.

2. Iwe ni kupenda ama ni hali;

Wengine hawana wenzi.

Wanapoutanguliza Ufalme,

Na kutumikia Mungu.

Wanaoupa useja nafasi,

Tunajua ni wapweke.

Tuwe kama ndugu na dada kwao,

Nasi tuwatie moyo.

(KORASI)

Yehova Mungu akukumbuke

Upate thawabu toka kwake.

Kimbilio upate kwake.

Yehova kwa kweli; ni mwaminifu.

(Ona pia Amu. 11:38-40; Rut. 2:12; Mt. 19:12.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki