Wimbo Na. 41
Mwabudu Yehova Ujanani
Makala Iliyochapishwa
1. Wana na binti muna thamani;
Yehova anawapenda sana.
Awajali na kuwafadhili,
Kupitia wazazi wapendwa.
2. Waheshimuni wazazi wenu,
Musiwe mukizozana nao.
Mukipendeza Mungu na watu,
Mutakuwa na furaha nyingi.
3. Ujanani mukumbuke Mungu.
Zidini kuupenda ukweli.
Na mukimutumikia Mungu,
Moyo wake mutafurahisha.
(Ona pia Zab. 71:17; Omb. 3:27; Efe. 6:1-3.)