Yaliyomo
Machi 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Mei (Mwezi wa 5) 2-8, 2011
Pokea Roho ya Mungu, Bali Si Roho ya Ulimwengu
UKURASA WA 8
Mei 9-15, 2011
Mtegemee Yehova Kadiri Mwisho Unavyokaribia
UKURASA WA 12
Mei 16-22, 2011
UKURASA WA 24
Mei 23-29, 2011
Kaa Macho, Kama Yeremia Alivyofanya
UKURASA WA 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 8-12
Watu wanaotuzunguka wanaonyesha roho ya ulimwengu, basi je, tunaweza kuwa tofauti? Habari hii itatusaidia kuona jinsi roho ya ulimwengu inavyoweza kuwa na uvutano juu yetu. Tutachunguza pia mambo tunayojifunza kutokana na mfano wa Yesu kuhusu kupokea roho ya Mungu.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 12-16
Kumtegemea Yehova kunamaanisha nini? Katika habari hii tutaona kwamba kunamaanisha mengi zaidi ya kuamini tu ahadi zake kuhusu ulimwengu mpya. Kunatia ndani kukubali kwa moyo wote viwango na njia zake na wakati uleule kukataa viwango na njia za ulimwengu.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 24-32
Makala hizi zitazungumzia jinsi Noa na familia yake, Musa, na Yeremia walivyoendelea kuwa tayari kutimiza migawo yao na jinsi watakavyojionea utimizo wa ahadi za Mungu. Ona mambo unayoweza kujifunza kutoka kwa wanaume hao na mtazamo wao.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Usijidanganye Mwenyewe kwa Mawazo Yasiyo ya Kweli
20 Usijitenge Kamwe na Waamini Wenzako