Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w11 9/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 9/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Septemba 15, 2011

Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Oktoba (Mwezi wa 10) 24-30, 2011

Yehova Ni Fungu Langu

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 38, 56

Oktoba 31–Novemba (Mwezi wa 11) 6, 2011

Je, Unamfanya Yehova Awe Fungu Lako?

UKURASA WA 11

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 40, 85

Novemba 7-13, 2011

Kimbia Shindano la Mbio kwa Uvumilivu

UKURASA WA 16

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 54, 135

Novemba 14-20, 2011

‘Kimbieni ili Kwamba Mpate Tuzo’

UKURASA WA 20

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 81, 129

Novemba 21-27, 2011

Je, Yehova Anakujua?

UKURASA WA 25

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 107, 4

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-15

Yehova alimaanisha nini alipowaambia Walawi: “Mimi ni fungu lako”? (Hes. 18:20) Je, Walawi tu ndio waliokuwa na pendeleo hilo? Je, leo Yehova anaweza kuwa fungu letu? Ikiwa ndivyo, inawezekana jinsi gani? Makala hizi mbili za funzo zitazungumzia jinsi Yehova anavyoweza kuwa fungu letu.

MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 16-24

Makala hizi zitatusaidia kuona jinsi tunavyoweza kushinda shindano letu la mbio na kupata tuzo la uzima wa milele. Tunaweza kupata wapi msaada na kitia-moyo? Tunapaswa kuepuka mitego na mambo gani yanayoweza kututatanisha? Na ni nini kitakachotusaidia kukimbia mpaka mwisho?

MAKALA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 25-29

Yehova anawajua na anawakubali watumishi wake waaminifu. Ni sifa gani ambazo zinaweza kutusaidia kuendelea kuwa na msimamo huo wenye thamani mbele za Yehova? Makala hii itamsaidia kila mmoja wetu kujichunguza mwenyewe.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Kusoma Biblia Kumenitia Nguvu Katika Maisha Yangu Yote

30 Je, Unaweza Kuwa Kama Finehasi Unapokabili Hali Ngumu?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki