Yaliyomo
Septemba 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Oktoba (Mwezi wa 10) 24-30, 2011
UKURASA WA 7
Oktoba 31–Novemba (Mwezi wa 11) 6, 2011
Je, Unamfanya Yehova Awe Fungu Lako?
UKURASA WA 11
Novemba 7-13, 2011
Kimbia Shindano la Mbio kwa Uvumilivu
UKURASA WA 16
Novemba 14-20, 2011
‘Kimbieni ili Kwamba Mpate Tuzo’
UKURASA WA 20
Novemba 21-27, 2011
UKURASA WA 25
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-15
Yehova alimaanisha nini alipowaambia Walawi: “Mimi ni fungu lako”? (Hes. 18:20) Je, Walawi tu ndio waliokuwa na pendeleo hilo? Je, leo Yehova anaweza kuwa fungu letu? Ikiwa ndivyo, inawezekana jinsi gani? Makala hizi mbili za funzo zitazungumzia jinsi Yehova anavyoweza kuwa fungu letu.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 16-24
Makala hizi zitatusaidia kuona jinsi tunavyoweza kushinda shindano letu la mbio na kupata tuzo la uzima wa milele. Tunaweza kupata wapi msaada na kitia-moyo? Tunapaswa kuepuka mitego na mambo gani yanayoweza kututatanisha? Na ni nini kitakachotusaidia kukimbia mpaka mwisho?
MAKALA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 25-29
Yehova anawajua na anawakubali watumishi wake waaminifu. Ni sifa gani ambazo zinaweza kutusaidia kuendelea kuwa na msimamo huo wenye thamani mbele za Yehova? Makala hii itamsaidia kila mmoja wetu kujichunguza mwenyewe.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Kusoma Biblia Kumenitia Nguvu Katika Maisha Yangu Yote
30 Je, Unaweza Kuwa Kama Finehasi Unapokabili Hali Ngumu?