Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w12 4/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 4/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Aprili 15, 2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO

MEI 28, 2012–JUNI 3, 2012

‘Mwana Anapenda Kumfunua Baba’

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 106, 112

JUNI 4-10, 2012

Usaliti Ni Ishara Yenye Kuogopesha ya Siku za Mwisho!

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 63, 32

JUNI 11-17, 2012

Dumisha Moyo Kamili Kumwelekea Yehova

UKURASA WA 13 • NYIMBO: 52, 57

JUNI 18-24, 2012

Yehova Anajua Jinsi ya Kuwakomboa Watu Wake

UKURASA WA 22 • NYIMBO: 133, 131

JUNI 25, 2012–JULAI 1, 2012

Yehova Hutulinda Ili Kutuokoa

UKURASA WA 27 • NYIMBO: 110, 60

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 3-7

Yesu alimfunua Baba yake kwa wanafunzi wake na wengine katika njia gani mbili kuu? Tunawezaje kumwiga Yesu katika kumfunua Baba kwa wengine? Makala hii itatusaidia kujibu maswali hayo.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 8-12

Ukosefu wa ushikamanifu umeenea katika ulimwengu wa leo, lakini haupaswi kuruhusiwa uvuruge amani na umoja wa familia na kutaniko la Kikristo. Makala hii itaonyesha kwamba tunaweza kuendelea kuwa washikamanifu kabisa kwa Mungu na kwa mmoja na mwenzake.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 13-17

Tunaweza kuonyeshaje kwamba moyo wetu uko kamili kumwelekea Yehova? Tunahitaji kuulinda moyo wetu kutokana na hatari gani? Na ni nini kitakachotusaidia kudumisha moyo kamili? Utapata majibu ya maswali hayo katika makala hii.

MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 22-31

Wakati wa “dhiki kuu,” watu wa Mungu watakuwa shabaha ya mashambulizi makali. (Mt. 24:21) Kwa nini tunaweza kuwa na hakika kwamba Yehova atatukomboa? Anatusaidiaje kudumisha utimilifu wetu tunapongojea mwisho? Utapata majibu yenye kuimarisha imani katika makala hizi.

PIA KATIKA TOLEO HILI

18 Miaka Sabini ya Kushikilia Upindo wa Nguo ya Mtu Aliye Myahudi

32 Je, Unakumbuka?

JALADA: Dada akimtolea mwanamke fulani broshua katika lugha ya Inuktitut kwenye fuo zenye theluji za Ghuba ya Frobisher huko Iqaluit, Nunavut, Kanada

KANADA

IDADI YA WATU

34,017,000

WAHUBIRI

113,989

KAZI YA KUTAFSIRI

Ofisi ya tawi ya Kanada inasimamia kazi ya kutafsiri machapisho katika lugha 12 za kienyeji

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki