Yaliyomo
Agosti 15, 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
TOLEO LA FUNZO
SEPTEMBA 30, 2013–OKTOBA 6, 2013
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 125, 66
OKTOBA 7-13, 2013
Usiwe Kamwe na “Ghadhabu Juu ya Yehova”
UKURASA WA 10 • NYIMBO: 119, 80
OKTOBA 14-20, 2013
UKURASA WA 18 • NYIMBO: 124, 20
OKTOBA 21-27, 2013
Fikiria Unapaswa Kuwa Mtu wa Namna Gani
UKURASA WA 23 • NYIMBO: 61, 43
MAKALA ZA FUNZO
▪ Mmetakaswa
Tukiwa watumishi walio wakfu kwa Yehova, tumetakaswa, au tumewekwa kando kwa ajili ya utumishi mtakatifu. Katika funzo hili, tutachunguza Nehemia sura ya 13. Tutachunguza mambo manne yanayoweza kutusaidia kubaki watakatifu.
▪ Usiwe Kamwe na “Ghadhabu Juu ya Yehova”
Makala hii itazungumzia mambo matano yanayoweza kumfanya Mkristo mshikamanifu ‘awe na ghadhabu juu ya Yehova.’ (Met. 19:3) Tutazungumzia kwa undani njia tano za kuepuka kuanza kumlaumu Yehova kwa sababu ya matatizo yetu.
▪ Mfikiriane na Kutiana Moyo
▪ Fikiria Unapaswa Kuwa Mtu wa Namna Gani
Makala ya kwanza inazungumzia jinsi tunavyoweza kusaidiana kubaki thabiti licha ya matatizo tunayokabili. Makala ya pili inaonyesha jinsi tunavyoweza kufanikiwa kupinga vishawishi vinavyotumiwa na Shetani kujaribu kuharibu urafiki wetu pamoja na Mungu.
PIA KATIKA TOLEO HILI
9 Yehova ‘Hunibebea Mzigo Wangu Kila Siku’
15 Wazazi—Wazoezeni Watoto Wenu Tangu Wakiwa Wachanga
JALADA: Wahubiri wa Ufalme wakihubiri kutoka nyumba hadi nyumba huko Erap, mojawapo ya vijiji vingi vilivyo milimani katika Jimbo la Morobe nchini Papua New Guinea
PAPUA NEW GUINEA
Idadi ya watu: 7,013,829
Wastani wa Wahubiri: 3,770
Wastani wa Mapainia wa Kawaida: 367
Wastani wa Mafunzo ya Biblia: 5,091
Hudhurio la Ukumbusho mwaka wa 2012: 28,909
Tafsiri: Lugha 14
Kwa wastani, kila mhubiri aliwaalika watu sita hivi wanaopendezwa katika Ukumbusho