Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 8/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 8/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Agosti 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

TOLEO LA FUNZO

SEPTEMBA 30, 2013–OKTOBA 6, 2013

Mmetakaswa

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 125, 66

OKTOBA 7-13, 2013

Usiwe Kamwe na “Ghadhabu Juu ya Yehova”

UKURASA WA 10 • NYIMBO: 119, 80

OKTOBA 14-20, 2013

Mfikiriane na Kutiana Moyo

UKURASA WA 18 • NYIMBO: 124, 20

OKTOBA 21-27, 2013

Fikiria Unapaswa Kuwa Mtu wa Namna Gani

UKURASA WA 23 • NYIMBO: 61, 43

MAKALA ZA FUNZO

▪ Mmetakaswa

Tukiwa watumishi walio wakfu kwa Yehova, tumetakaswa, au tumewekwa kando kwa ajili ya utumishi mtakatifu. Katika funzo hili, tutachunguza Nehemia sura ya 13. Tutachunguza mambo manne yanayoweza kutusaidia kubaki watakatifu.

▪ Usiwe Kamwe na “Ghadhabu Juu ya Yehova”

Makala hii itazungumzia mambo matano yanayoweza kumfanya Mkristo mshikamanifu ‘awe na ghadhabu juu ya Yehova.’ (Met. 19:3) Tutazungumzia kwa undani njia tano za kuepuka kuanza kumlaumu Yehova kwa sababu ya matatizo yetu.

▪ Mfikiriane na Kutiana Moyo

▪ Fikiria Unapaswa Kuwa Mtu wa Namna Gani

Makala ya kwanza inazungumzia jinsi tunavyoweza kusaidiana kubaki thabiti licha ya matatizo tunayokabili. Makala ya pili inaonyesha jinsi tunavyoweza kufanikiwa kupinga vishawishi vinavyotumiwa na Shetani kujaribu kuharibu urafiki wetu pamoja na Mungu.

PIA KATIKA TOLEO HILI

8 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

9 Yehova ‘Hunibebea Mzigo Wangu Kila Siku’

15 Wazazi​—Wazoezeni Watoto Wenu Tangu Wakiwa Wachanga

28 Elisha Aliona Magari ya Vita Yenye Moto​—Je, Unayaona?

31 Kutoka Katika Hifadhi Yetu ya Vitu vya Kale

JALADA: Wahubiri wa Ufalme wakihubiri kutoka nyumba hadi nyumba huko Erap, mojawapo ya vijiji vingi vilivyo milimani katika Jimbo la Morobe nchini Papua New Guinea

PAPUA NEW GUINEA

Idadi ya watu: 7,013,829

Wastani wa Wahubiri: 3,770

Wastani wa Mapainia wa Kawaida: 367

Wastani wa Mafunzo ya Biblia: 5,091

Hudhurio la Ukumbusho mwaka wa 2012: 28,909

Tafsiri: Lugha 14

Kwa wastani, kila mhubiri aliwaalika watu sita hivi wanaopendezwa katika Ukumbusho

[Grafu katika ukurasa wa 2]

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki